TIASSA live interview on DJ sepetu kikaangoni!

TIASSA live interview on DJ sepetu kikaangoni!

utaangalia marudio tumeshalipia airtime
Duhhh basi mororo mkuu ntakua naenda na kurudi naona ndo alichotufanyia DJ leo. Kweli men hamnaga muda wa kusubiri subiri.. Angekuwa mrembo hapa najua mwenyewe mida hii angekua anakula ubuyu kule.. DJ angechomeshwa mahindi...

Haya Nimekuelewa mkuu




Cc Smart911
 
mimi ni kijana wa kitanzania upende wa kaskazini, miaka 25-30, ni Ba udsm ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na pia nimejiajiri kwenye kilimo, kuhusu familia ndiyo najipanga kimaisha ili niweze kumvuta mama watoto
Warembo Wa jf Kazi kwenu
Una mchumba unayetegemea kumuoa
 
Back
Top Bottom