Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Vita ya Teknolojia inazidi kushika Kasi Watanzania tukiendelea kujitesa kisa mapenzi, mavazi wenzetu wanazidi kuwa imara.
Meta wametangaza vita dhidi ya Elon musk wa Kampuni ya Tesla.
Kampuni ya ๐ ๐ฒ๐๐ฎ wametangaza ujio app mpya inaitwa Instagram threads kama ilivyo Twitter, Facebook , tumblr ambapo watu watakua na uwezo wa ku share picha, videos, pamoja na message kwa marafiki zao.
Uzinduzi wa threads unakuja baada ya mmiliki wa Twitter Elon Musk Toka anunue Twitter ameweka vingepele vingi vigumu kwa watumiaji wake.
Threads inafanya kazi pamoja na Instagram japo Iko kivyake ukipakua lazima Unganishe na Akaunti yako ya Instagram hivyo followers pamoja na username unaenda nao kwenye app mpya ya threads.
Pia kuna feature nyingine nyingi tu kama vile
โข uwezo wa kushare, picha, videos pamoja na text message
โข Kuna feature inaitwa story utakua na uwezo wa kuweka stories zako na kukaa ndani ya saa 24hrs kisha kupotea
โข kutakua na feature inaitwa short status message kwa ajili ya kutuma jumbe fupi fupi kwenye threads kama ilivyo Instagram note Pia nyingine ni kamera, inbox , status screen nk.
Jinsi ya Kutengeneza Akaunti kwenye app ya threads ni Rahisi sana
1. Pakua app ya threads an Instagram app kupitia soko la play store na app store
2. Tumia taarifa zako za Instagram kutengeneza Akaunti kwenye app ya threads
3. Hivyo itakua Rahisi watu kuweza kukutafuta kupitia app ya threads kupitia jina la Akaunti yako ya Instagram mfano ni bongotech255
Itaanza kupatikana siku ya alhamic kwa watu wa marekani kupitia soko la app store.
Tafuta app inaitwa Threads an Instagram App pia watumiaji wa android siku ya jumatatu.
Unaionaje hii app ni kweli atakua mshindani wa Twitter au bado sana tuachie maoni yako?
Meta wametangaza vita dhidi ya Elon musk wa Kampuni ya Tesla.
Kampuni ya ๐ ๐ฒ๐๐ฎ wametangaza ujio app mpya inaitwa Instagram threads kama ilivyo Twitter, Facebook , tumblr ambapo watu watakua na uwezo wa ku share picha, videos, pamoja na message kwa marafiki zao.
Uzinduzi wa threads unakuja baada ya mmiliki wa Twitter Elon Musk Toka anunue Twitter ameweka vingepele vingi vigumu kwa watumiaji wake.
Threads inafanya kazi pamoja na Instagram japo Iko kivyake ukipakua lazima Unganishe na Akaunti yako ya Instagram hivyo followers pamoja na username unaenda nao kwenye app mpya ya threads.
Pia kuna feature nyingine nyingi tu kama vile
โข uwezo wa kushare, picha, videos pamoja na text message
โข Kuna feature inaitwa story utakua na uwezo wa kuweka stories zako na kukaa ndani ya saa 24hrs kisha kupotea
โข kutakua na feature inaitwa short status message kwa ajili ya kutuma jumbe fupi fupi kwenye threads kama ilivyo Instagram note Pia nyingine ni kamera, inbox , status screen nk.
Jinsi ya Kutengeneza Akaunti kwenye app ya threads ni Rahisi sana
1. Pakua app ya threads an Instagram app kupitia soko la play store na app store
2. Tumia taarifa zako za Instagram kutengeneza Akaunti kwenye app ya threads
3. Hivyo itakua Rahisi watu kuweza kukutafuta kupitia app ya threads kupitia jina la Akaunti yako ya Instagram mfano ni bongotech255
Itaanza kupatikana siku ya alhamic kwa watu wa marekani kupitia soko la app store.
Tafuta app inaitwa Threads an Instagram App pia watumiaji wa android siku ya jumatatu.
Unaionaje hii app ni kweli atakua mshindani wa Twitter au bado sana tuachie maoni yako?