kutakuwa na muda wkufanya correction au hawatoagiMkuu wengi sana wamefanya hivyo sijui kama kuna effect
Sidhani mkuukutakuwa na muda wkufanya correction au hawatoagi
ko ikiwa hiyo ni mistke then inakua ni hadi mwakani?Sidhani mkuu
Unaweza kuaaply ukifika chuo,,,,ko ikiwa hiyo ni mistke then inakua ni hadi mwakani?
ThanksUnaweza kuaaply ukifika chuo,,,,
Note, aya mambo hayatabiriki, unaweza kuhis umekosea kujaza ukashitukia umepata loan tena batch ya kwanza tuu,, Subili mda utasema
Hakina shida as long as hao maafisa ni wafanyakazi wa RITA waliopo kwenye branch zao Mimi mwaka Jana nilihakiki vyeti iringa ofisi ndogo za Rita mkoa huo na mkopo nimepataMessage…nilituma maombi bodi ya mikopo ila cheti changu cha kuzaliwa kilihakikia na maafisa wa RITA wa wilaya kikasainiwa na kupigwa muhuli na mahakama. Je kuna shida naweza kutana nayo katika kupata mkopo
Muda wa kufanya correction huwa wanatoa, kuanzia mwezi ujao wataanza kutoa majina ya wote wenye makosa madogo madogo yaliyojitikeza wakati wana apply na watatakiwa waende Bodi ya mikopo wakayarekebishe.kutakuwa na muda wkufanya correction au hawatoagi
KweliMuda wa kufanya correction huwa wanatoa, kuanzia mwezi ujao wataanza kutoa majina ya wote wenye makosa madogo madogo yaliyojitikeza wakati wana apply na watatakiwa waende Bodi ya mikopo wakayarekebishe.