ahh AD madaraka matamu sidhani kama aliomba kushushwa title au ni sheria zao. Lakini ye mwenyewe anadai bado moderating tools anazo.. labda wameshusha cheo kama onyo lakini anaendelea kuwa MOD .. sababu bado hatujatangaziwa Mod mpya Kule.
Mi sikujua kwamba Mods wanapigana Ban! hehe! nilishangaa kweli