No sio kwa wachangiaji but kwa mtazamo wako mwenyewe coz sio kila kilichochangiwa sana kikawa bora ukumbuke huwa kunaibuka thread nyingi tu ndani ya thread moja so unakuta ina coments nyingi lakini kumbe wanacoment zile sub threadsilihit kwa upande upo topic au idadi ya comments?
Hahahahaaa, haya bhana kama ni kweli ila angalia usije kuwa umeambikizwa tabia za Kongosho
Mi naomba nihifadhi maoni yangu kwa sasa nitayatoa baadae sana ili kama facilitator niendelee kuwa neutral
Hahahahaaa, haya bhana kama ni kweli ila angalia usije kuwa umeambikizwa tabia za Kongosho
Mh yeah these were just more than just athread, u know they showed that from just being FB, members have turned to be ndugu who can hear a cry of another nduguBinafsi tread mbili ambazo sinto kaa nisahau maishani mwangu ni hizi
ya Babu Asprin kuhusu mwanajamvi mwenzetu "Chentuntu"
Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!
na thread nyingine iliyonigusa sana ni
jinsi wana JF walivyojitolea kumsaidia kijana
Abbasi..
Wana JF tumsaidie kijana huyu!
Hizo ndo thread zangu za mwaka huu na miaka mia ijayo sintokaa nizisahau..
Yuko Chi Chat huko anafundishwa kutongoza
Top 2
1. Jf udaku- Tanmo
2. Tofauti ya wavulana na wanamme-The Boss
Nyie mlokuwa mnanisema natafuta dawa yenu.