Those Days, Walituchukulia sana - Kisasi time!!!!

thread za majigambo ya namana hii ni bora uzianzishie status kule FB.eti una pesa za kutosha.....je mimi na rafiki yangu riz1 tujiweke kwenye kundi gani..aaah jiangalie weweeee.
 
Dah hoja yako ya kulipa kisasi inatoa tafsiri kubwa kiupande wangu. Ina maana wakati unajiunga hapo chuo lengo la mwanzo lilikuwa ni kupata warembo na la pili ndo kusoma. Me nilizani utalipiza kisasi labda aliwahi tokea kati ya hao mapedeshee kukuchania vifaa vyako vya masomo kumbe unalipiza kisasi kwa kuchukuliwa warembo ambao hukuwa na uhusiano nao. Umegraduate lakini ujinga unatawala kichwa chako
 
wadau,

wakati nipo nasoma graduate, mapedeshee walitinga sana pale ifm kubeba vimwana!!
Mademu tunagonga nao discussion mchana na jioni, usiku tunashuhudia getini wakiwa wametinga vinguo vyao vya mitego wanatoka, benzi, cruisers, n.k. Zikiwa zimepaki nje.

Ilikua ikiniuma sana kwa kweli, mpaka nikawa nawachukia mademu class, hasa wale waliokua wakivuka geti enzi hizo.
Yaani wanatuacha sisi makapuku tunao-survive wote kusolve papers na test, wankwenda kuwapa mapedeshee wa mtaani, kisa wanawa-finance!!??

After seven years, nami ni mojawapo ya hao mapedeshee, nina hela za kunitosha pamoja na kuhonga na life ikaenda tu!! Labda tofauti yangu na hao mapedeshee waliokua wakituchukulia ni kua wao walikua wazee kidogo, waheshmiwa fulani hivi maofisini wakati mimi bado kijana.

Kwakua ile image ya kuchukuliwa bado ipo, na uwezo wa kulipiza sasa upo, akili inanituma nianze kuzungukia vyuoni kusaka mabinti. Tena navyoona posts za selection zinavyojaa, najiambia sooner time will arrive for revenge!!

My time is now, nilivumilia sana kipindi kile kapuku nategemea boom. Nieleweke kua mi sio kicheche, wala sitegemei kupita kila chuo na kila siku, wala sintolazimisha mtu, bali ile hali ya kuji-feel guilty nisipolipa kisasi!!!

mkuu njoo ufanyiwe maombi
 
Wadau mnaoniponda jaribuni kuvaa viatu vyangu ndio mtagundua namaanisha nini!!

Yaani demu unasoma nae lakini hana hata presha ya kupata kazi maana anajua akimaliza kibuzi chake kitampigia pande.

Sometimes tunapiga ndefu boom limekata, wao wako njema tu.
Maana kuna Mzazi, Mimi, Pedeshee e.t.c na wote tuna-provide.

Acha na mimi nianze kuwakosesha raha classmates zao kama mi nlivyokosa those days!!!
 
Mi niko nawe mkuu Shakir
Imagine mnapanga disscusion na dem mida ya usiku halaf hatokei.
Mida unatoka kula labda unapishana nae getini "anatoka", inazingua sana for sure!!

Ahsante sana kaka,
Hata shetani nae ana wafuasi, ingawa ni mbaya!!

But those days, we acha tu.
Yaani class heshima hakuna kisa wanatoka na mababa umri wa baba zetu!!

Those days, hata kutokea demu mkali naogopa maana mshiko wenyewe nategemea boom!!

Those days, nang'ang'ania kufundisha ili anipende, kumbe ye anapenda hela. Nilifikiri uwezo wangu wa kushuka namba na kubalansisha makabati ungeniletea warembo, kumbe walikuja kuchota materials tu!!

Those days, nkikumbuka nakosa raha sana!!
 
How will such attitude enhance your self improvement. You are heading for trouble fellow by wasting precious time on useless thoughts instead of thinking on how better you can positively improve yourself, family, community and the nation. Anyway it is your choice and mark you there is a saying that goes like this, "You can do any thing in this world but be prepared to face the consequences" Kazi kwako endelea kupoteza muda kwenye upuuzi.
 
wewe unatakiwa uangalie kwanza hao waliokuja na hayo magari leo wakowapi, then jiulize kama uko tayari pia kuwafuata maana njia yako inajinyesha, wewe unaelekea kaburini walahi, me ntakuchangia angalau pempas ukianza kuharisha.....R.I.P shakir
 
Jamani watanzania lazima tuwe waelewa. Shakir ameathirika kisaikolojia. Kumbeza na kumkebehi haitamsaidia. Huyu anahitaji mshauri nasaha aliyebobea. Alikuwa anaamini umahiri wake wa darasani ungefanya warembo wajigonge kwake. Lakini haikuwa hivyo, roho ikamuuma. Na hivi sasa anaamini pesa zake na gari vitafanya warembo wajigonge kwake. Kuna kila dalili kwamba pamoja na pesa zako na accesories zote.hizo, bado warembo hawatokubabaikia. Shakir nakuuliza, mrembo unayemfuatilia pamoja na gari yako na pesa zako, anakutosa na kwenda kujigonga kwa sharobaro anayeimba Bongo fleva. Utachukua hatua gani? Naomba mshauri nasaha aje kumsaidia huyu jamaa ye2.
 
Jamani watanzania lazima tuwe waelewa. Shakir ameathirika kisaikolojia. Kumbeza na kumkebehi haitamsaidia. Huyu anahitaji mshauri nasaha aliyebobea. Alikuwa anaamini umahiri wake wa darasani ungefanya warembo wajigonge kwake. Lakini haikuwa hivyo, roho ikamuuma. Na hivi sasa anaamini pesa zake na gari vitafanya warembo wajigonge kwake. Kuna kila dalili kwamba pamoja na pesa zako na accesories zote.hizo, bado warembo hawatokubabaikia. Shakir nakuuliza, mrembo unayemfuatilia pamoja na gari yako na pesa zako, anakutosa na kwenda kujigonga kwa sharobaro anayeimba Bongo fleva. Utachukua hatua gani? Naomba mshauri nasaha aje kumsaidia huyu jamaa ye2.

Natumia simu vinginevyo ningekugongea like!
Mleta mada ni mgonjwa kisaikolojia (ana majeraha ya kunyanyapaliwa) Tupo watu wengi wenye shida hii,
 
Wadau,

Wakati nipo nasoma Graduate, mapedeshee walitinga sana pale IFM kubeba vimwana!!
Mademu tunagonga nao discussion mchana na Jioni, usiku tunashuhudia getini wakiwa wametinga vinguo vyao vya mitego wanatoka, Benzi, Cruisers, n.k. zikiwa zimepaki nje.

Ilikua ikiniuma sana kwa kweli, mpaka nikawa nawachukia mademu class, hasa wale waliokua wakivuka geti enzi hizo.
Yaani wanatuacha sisi makapuku tunao-survive wote kusolve papers na test, wankwenda kuwapa mapedeshee wa mtaani, kisa wanawa-finance!!??

After seven years, nami ni mojawapo ya hao mapedeshee, nina hela za kunitosha pamoja na kuhonga na life ikaenda tu!! Labda tofauti yangu na hao mapedeshee waliokua wakituchukulia ni kua wao walikua wazee kidogo, waheshmiwa Fulani hivi maofisini wakati mimi bado kijana.

Kwakua ile image ya kuchukuliwa bado ipo, na uwezo wa kulipiza sasa upo, akili inanituma nianze kuzungukia vyuoni kusaka mabinti. Tena navyoona posts za selection zinavyojaa, najiambia sooner time will arrive for revenge!!

My time is now, nilivumilia sana kipindi kile kapuku nategemea boom. Nieleweke kua mi sio kicheche, wala sitegemei kupita kila chuo na kila Siku, wala sintolazimisha mtu, bali ile hali ya kuji-feel guilty nisipolipa kisasi!!!

ahaaahaaa...Imeandikwa jambo ambalo hupend kufanyiwa na wewe usimfanyie mwenzako
 
tatizo watanzania tunalizika mapema yaan akaunt ikisoma 2 kidogo na unagar umemaliza kabisa ukumbuki your goals before that duh!
GO 4 IT BRA! ila usisahau feedback kurejesha afu kumbe unaish kama m2 fulan anavoish instead of living your life
HII NDO BONGOLAND
 
Richard Branson (Virgin Group) ana makampuni zaidi ya 400 na bado anaendeleza fikra za kupanua biashara zake, sijawahi kuona akiandika upumbavu kama huu katika status zake; kweli wai-TZ tunaridhika mapema sana, yaani hiyo kazi ya kutumwa na huo ufisadi unaofanya ndio unakusukuma kuwa na fikira hizi. Tunahitaji ukombozi wa fikira kwanza.....!!
 
Richard Branson (Virgin Group) ana makampuni zaidi ya 400 na bado anaendeleza fikra za kupanua biashara zake, sijawahi kuona akiandika upumbavu kama huu katika status zake; kweli wai-TZ tunaridhika mapema sana, yaani hiyo kazi ya kutumwa na huo ufisadi unaofanya ndio unakusukuma kuwa na fikira hizi. Tunahitaji ukombozi wa fikira kwanza.....!!

jamaa haon ile napia ajui atazeeka fasta mtu anakazi ya kusulutishwa asubuh mpaka jion badala ukitoka apo upumzishe akil bado unawaza vitu vinavyochosha akil tn unafikir atapata wapi mda wa kufikilia kua self relianc
 
duh aisee pole kijana. as I got to read between the lines I realized u were terribly destroyed inside. wakati hayo yanatokea hukupata namna yoyote ya kuyatoa maumivu yako and that is y u r now thinking of revenge. hii ni hali ya kawaida kutokea kwa mtu aliyeathirika kisaikolojia kama alivyostate Infopaedia.

I believe u understand very well the meaning of "Karma"...what goes around,comes around, what goes up, comes down"...on that note, I can only tell u one thing, perfect Karma comes naturally, so dnt waste ur time n energy cooking it up, hata vitabu vya dini haviruhusu...ishi maisha yako kwa raha bila kuumiza watu kwa makusudi...hukupenda yaliyofanywa na wale jamaa sasa kwanini na wewe uwe kama wao? achana na hizo habari...life is very sweet dnt abuse ur youth kwa style hiyo bana...ni ushauri tu!
 
kwahiyo mskikaji unajisifia na kujiona mjanjaa eeee
utaliwa tu hela zako kwani kuna baadhi wamo humu jamii forum wakiona hii watakutafuta kwa lengo la kukufunga kamba (kukuchuna) kwani ww si lingombe lao usishangae ukapata private message kutoka humu humu na kujisahau ukaona kuwa unapendwa
mwisho wa siku urudi tena hapa kutuomba ushauri mm sikusaidii kwani mwandiko wako naujua hatakama utabadilisha jina umesikia
 
limbukeni toka kijijini wewe shakir,ukifukuzwa kazi kesho?hizo tambo zitakufikisha wapi,wanawake sio ishu tena,yaani unatamba na kamshahara wa bongo wenzio wajasiriamali hiyo ni hela ya siku na kwenye jamii wanaelewana vizuri na watu.Acha tambo kaka badilika!
 
Back
Top Bottom