mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Nikikumbuka miaka hiyo form three and four tulisomaga tamthilia ya this time tomorrow iliyoandikwa na mtunzi toka 254 bwana Ngugi wa Thiong'o mwalimu wa ngugi wa mirii
Kiufupi
Mwandishi anaelezea kisa cha familia iliyokuwa imepangwa kubomolewa makazi yake siku ya kesho wakijiuliza watakuwa wapi kesho yakee?
POINT
Kutokana siasa za Tanzania zenye madai ya uonevu na unyanyasaji bila kusahau ufisadi uliofanywa nchi hii kwa miaka 60 na zaidi hii mitano.Hivi lissu akishinda uraisi watakuwa wapi hawa wafuatao kwanzia 1/11/2020 baada ya kuapishwaa?
Kundi la kwanza
DPP ,Biswalo maganga
Rc mstafuu makonda
Spika ndugai
Kamishna wa polisi Fonatus Msilimu
Jumanne muliro,mambo sasa na Siro wa Polisi?
Kangi lugola
Polepole na Bashiru
Na Albert chalamila
Kundi la pili
Mbowe
Zitto
Mnyika
Mdee
Sugu
Mchg msigwaa
Jesca kishoa??
Kwambali naona watu wanaenda kubadilishana nafasi
Unadhani nani ataanza kufunguliwa kesi kisutu???
Kwangu naona lissu akiingia anaanza na Mwenyekiti wa tibisii
Kiufupi
Mwandishi anaelezea kisa cha familia iliyokuwa imepangwa kubomolewa makazi yake siku ya kesho wakijiuliza watakuwa wapi kesho yakee?
POINT
Kutokana siasa za Tanzania zenye madai ya uonevu na unyanyasaji bila kusahau ufisadi uliofanywa nchi hii kwa miaka 60 na zaidi hii mitano.Hivi lissu akishinda uraisi watakuwa wapi hawa wafuatao kwanzia 1/11/2020 baada ya kuapishwaa?
Kundi la kwanza
DPP ,Biswalo maganga
Rc mstafuu makonda
Spika ndugai
Kamishna wa polisi Fonatus Msilimu
Jumanne muliro,mambo sasa na Siro wa Polisi?
Kangi lugola
Polepole na Bashiru
Na Albert chalamila
Kundi la pili
Mbowe
Zitto
Mnyika
Mdee
Sugu
Mchg msigwaa
Jesca kishoa??
Kwambali naona watu wanaenda kubadilishana nafasi
Unadhani nani ataanza kufunguliwa kesi kisutu???
Kwangu naona lissu akiingia anaanza na Mwenyekiti wa tibisii