logania JF-Expert Member May 19, 2016 464 313 Nov 8, 2017 #2 Seems some sort of intelligence guy or a conman...Hard to say...
haa mym JF-Expert Member Jul 7, 2014 4,823 4,557 Nov 8, 2017 #3 Usalama wa Taifa wa chadema huyo(Red Brigade) hiyo miwani inasemekana inaona mpaka ndani ya tumbo.
Jizi JF-Expert Member Dec 28, 2015 297 299 Nov 8, 2017 #5 Hiyo miwani inayo redio kwa ajili ya mawasiliano,vinasa sauti na kamera. Wanatumia sana TISS na Polisi kwa asiyeijua ataona ni miwani kawaida au ya kishororo
Hiyo miwani inayo redio kwa ajili ya mawasiliano,vinasa sauti na kamera. Wanatumia sana TISS na Polisi kwa asiyeijua ataona ni miwani kawaida au ya kishororo