This is what Kagame does to avoid meeting other World leaders at Mandela memorial!

Mkuu sio kweli kwani mpaka mida hii ndege bado iko hewani kuelekea south
kutoa heshima zake za mwisho kwa mzee Madiba.Jaribu kufatilia vyombo tofauti
vya habari.

PaKa kaona aibu...... tumemshangaa sana walimwengu..... mpaka kaamua kwenda msibani teh.... teh... teh... wewe uliwahi ona wapi mtu atume wawakilishi (kwa mujibu wa Murutongore - PA wake)..... halafu yeye tena aende du hilo ni balaa.....
 
Kagame asingeweza kuhudhuria msiba wa Mandela..... Maana ulikuwa msiba wa mtu asiye penda visasi kwa yeyote aliyemfanyia ubaya.... Kitu ambacho Paulo Kagame hawezi....... yeye anawaza visasi tu.... hata ukimshauri kitu....kama ushauri wako haupendi basi lazima anafikiria jinsi ya kulipiza kisasi kwa sababu ulimshauri kitu asichopenda.....

Hivyo Paulo Kagame si muumini wa kusamehe na kusahau yaliyopita.
/

He attended.
 

Attachments

  • Screenshot_2013-12-14-23-16-15.png
    Screenshot_2013-12-14-23-16-15.png
    459.6 KB · Views: 226
MY TAKE
This is too low of him the instigator of COW trying to forge relevance while receiving backlashes to an extent of ending up being a servant to deliver a thank you note to not even Warren but Howard (a son of the billionaire) on an occasion to honor him in an exchange of mere US$ 3.7 million! This dude is in illusion trying to run away from his own shadow!

Lazima utakuwa mwehu wewe,na uko bitter sana with neighbouring countries sijui una matatizo gani?hata Mandela angependa mkae kwenu mfanye maendeleo kuliko kuchoma millions of jet fuel,security,time,per diem,expensive hotels etc mtu wa ajabu sana wewe with your fake patriotism ideas zako unazopost humu,watu kam nyie ndio mnarudisha nchi nyuma and i hope huna rank yeyote katika maamuzi ya nchi maana itakuwa disaster!!!
 
Kagame asingeweza kuhudhuria msiba wa Mandela..... Maana ulikuwa msiba wa mtu asiye penda visasi kwa yeyote aliyemfanyia ubaya.... Kitu ambacho Paulo Kagame hawezi....... yeye anawaza visasi tu.... hata ukimshauri kitu....kama ushauri wako haupendi basi lazima anafikiria jinsi ya kulipiza kisasi kwa sababu ulimshauri kitu asichopenda.....

Hivyo Paulo Kagame si muumini wa kusamehe na kusahau yaliyopita.



Mbona kocha wa visasi duniani jk kaenda
 
oops i hear Kagame was barred from delivering a speech at Mandela funeral as a representative of EAC chairman poor him :frusty: !
 
PaKa kaona aibu...... tumemshangaa sana walimwengu..... mpaka kaamua kwenda msibani teh.... teh... teh... wewe uliwahi ona wapi mtu atume wawakilishi (kwa mujibu wa Murutongore - PA wake)..... halafu yeye tena aende du hilo ni balaa.....
Elimu yako ya madrasa ni hasara tupu.
 
oops i hear Kagame was barred from delivering a speech at Mandela funeral as a representative of EAC chairman poor him :frusty: !
This is nonsense! Sasa huyu mleta hii topic Mona anatuchanganya, nashindwa kuelewa maana kaanza kwa kutueleza kuwa Kagame ameavoid kukutana na Viongozi mbalimbali wa Dunia kwa kukwepa kuhudhuria mazishi ya Mzee Mandela, lakini Katika kuchangia Hoja anadai Kagame kazuiwa kutoa speech kwenye mazishi hayo hayo, sasa ukweli Ni upi? Ameenda Au hakwenda? Nadhani topic Kama hii ziwe zinawekwa na vyanzo vyake, na Kama chanzo Ni mleta Hoja mwenyewe basi tuwe tunajaribu kufanya japo ka utafiti kidogo otherwise habari inaonekana Kama just porojo za mtaani Au za Gezaulole kabisa Au Ukonga. Na kwa bahati mbaya baadhi ya watu ambao wana chuki binafsi na Kagame inapokuja kutaka kumpaka basi wako tayari hata kuota ndoto na kuzileta ndani ya JF na Mara nyingi mtu huota kile kinachomzunguka kichwani mwake, so topic yenye such source inabaki kichekesho tu.Kwa kweli with just a simple research, unaweza kupata ukweli wrote kuhusu habari hii. Unless unatumia zaidi makamasi badala ya ubongo. Kwani kwa taarifa yako, sio Viongozi wote walihudhuria mazishi ya Mzee Mandela, in fact kulikuwa na Diplomatic chaos siku hiyo, maandalizi yalikuwa so poor na so disorganized kiasi kwamba hata waliokwenda wengi hawakuhudhuria. Kuhusu Kagame yeye arikwenda kutoa rambirambi zake Kama Viongozi wengine walivyofanya Katika kile kip indi cha Maombolezo so yeye alienda Friday, hata Obama naye alienda siku nyingine tofauti na sio siku ya Mazishi. Kwa Kagame siku ya Mazishi irigongana na siku ambayo Mkutano mukuu wa Chama chake chama kinacho tawala Rwanda kwa sasa RPF ulikuwa umepangwa na ulikuwa Mkutano muhimu sana, jaribu kufanya uchunguzi Kuhusu umuhimu wa Mkutano huo ndio uweze kuanzisha mada Kama hii.
 
This is nonsense! Sasa huyu mleta hii topic Mona anatuchanganya, nashindwa kuelewa maana kaanza kwa kutueleza kuwa Kagame ameavoid kukutana na Viongozi mbalimbali wa Dunia kwa kukwepa kuhudhuria mazishi ya Mzee Mandela, lakini Katika kuchangia Hoja anadai Kagame kazuiwa kutoa speech kwenye mazishi hayo hayo, sasa ukweli Ni upi? Ameenda Au hakwenda? Nadhani topic Kama hii ziwe zinawekwa na vyanzo vyake, na Kama chanzo Ni mleta Hoja mwenyewe basi tuwe tunajaribu kufanya japo ka utafiti kidogo otherwise habari inaonekana Kama just porojo za mtaani Au za Gezaulole kabisa Au Ukonga. Na kwa bahati mbaya baadhi ya watu ambao wana chuki binafsi na Kagame inapokuja kutaka kumpaka basi wako tayari hata kuota ndoto na kuzileta ndani ya JF na Mara nyingi mtu huota kile kinachomzunguka kichwani mwake, so topic yenye such source inabaki kichekesho tu.Kwa kweli with just a simple research, unaweza kupata ukweli wrote kuhusu habari hii. Unless unatumia zaidi makamasi badala ya ubongo. Kwani kwa taarifa yako, sio Viongozi wote walihudhuria mazishi ya Mzee Mandela, in fact kulikuwa na Diplomatic chaos siku hiyo, maandalizi yalikuwa so poor na so disorganized kiasi kwamba hata waliokwenda wengi hawakuhudhuria. Kuhusu Kagame yeye arikwenda kutoa rambirambi zake Kama Viongozi wengine walivyofanya Katika kile kip indi cha Maombolezo so yeye alienda Friday, hata Obama naye alienda siku nyingine tofauti na sio siku ya Mazishi. Kwa Kagame siku ya Mazishi irigongana na siku ambayo Mkutano mukuu wa Chama chake chama kinacho tawala Rwanda kwa sasa RPF ulikuwa umepangwa na ulikuwa Mkutano muhimu sana, jaribu kufanya uchunguzi Kuhusu umuhimu wa Mkutano huo ndio uweze kuanzisha mada Kama hii.
wewe punguani Kagame hawezi kuitwa kwenye mazishi ya Mandela! Hana sifa hiyo hata Mandela hakumzimikia huyu muuaji na mahusiano kati ya SA na Rwanda si mazuri hata kidogo wakati huu! Kagame ameenda baada ya kuwa shamed maana media attention was after him ila hakutaka kwenda na instead alienda marekani kukutana na mtoto wa Buffet
 
wewe punguani Kagame hawezi kuitwa kwenye mazishi ya Mandela! Hana sifa hiyo hata Mandela hakumzimikia huyu muuaji na mahusiano kati ya SA na Rwanda si mazuri hata kidogo wakati huu! Kagame ameenda baada ya kuwa shamed maana media attention was after him ila hakutaka kwenda na instead alienda marekani kukutana na mtoto wa Buffet

Lol,seems unatumia ------ kufikiria,FYI Kagame hakuwa States ni mtoto wa Buffet ndio alikuwa Kigali,na media gani unaongelea?labda media za ant Kagame wa JF ambao Kagame hajui hata kama mna exist,na sio maraisi au wakuu wa nchi zote duniani walikuwa SA,pelekeni huu ----- kwenye udaku kule mfurahi na watindiga wenzako
 
Elimu yako ya madrasa ni hasara tupu.

Wewe tulishawahi gombana humu..... hivyo sitaki hilo lijirudie..... sitaki majibizano na wewe...... mimi naongea mtazamo wangu kuhusu PaKa..... sasa wewe unaleta mambo ya elimu...... kobA sitaki kujibizana na wewe...... maana wewe ni mtu wa ajabu ambaye jamii yangu haikubaliani kukaa karibu na wewe Please leave me along....go on walking on your vice.....

 
Nilishawaambia kuwa raisi wangu ana prior engagement ambayo for someone who values commitment and fulfilling them he could not not go.

Manistique ya Madiba ni muhimu kwa Rwanda na tuliwakilishwa na kiongozi wa juu kabisa (waziri mkuu) ambaye alitoa heshima kwa niaba ya Rwanda. Raisi wetu alikuwa amekubali mwaliko huo miezi mingi kabla and he had to attend to show his commitment.

Rais wako? rais wa wananchi wote? Ukiamua kuongea kingereza ongea kingereza, ukiamua kiswahili ongea kiswahili. Lakini ndo kawaida yenu watutsi kudandia lugha za watu, hata hicho kinyarwanda ni lugha ya wahutu mmefanya kudandia tu.
 
Nilishawaambia kuwa raisi wangu ana prior engagement ambayo for someone who values commitment and fulfilling them he could not not go.

Manistique ya Madiba ni muhimu kwa Rwanda na tuliwakilishwa na kiongozi wa juu kabisa (waziri mkuu) ambaye alitoa heshima kwa niaba ya Rwanda. Raisi wetu alikuwa amekubali mwaliko huo miezi mingi kabla and he had to attend to show his commitment.

Wewe acha uongo wako ,waongopee hao wanyankole wenzako!! Kagame asingeweza kwenda bondeni kwasababu serikali ya Zuma inawapa hifadhi wale mahasimu wake wakuu ambao wananmyima usingizi!!
 
Kagame asingeweza kuhudhuria msiba wa Mandela..... Maana ulikuwa msiba wa mtu asiye penda visasi kwa yeyote aliyemfanyia ubaya.... Kitu ambacho Paulo Kagame hawezi....... yeye anawaza visasi tu.... hata ukimshauri kitu....kama ushauri wako haupendi basi lazima anafikiria jinsi ya kulipiza kisasi kwa sababu ulimshauri kitu asichopenda.....

Hivyo Paulo Kagame si muumini wa kusamehe na kusahau yaliyopita.


That is how most of tutsis are!...ni watu waliojaa kiburi, majivuno na kujihesabia haki (kwamba wao ni wasafi, watakatifu) kumbe wamejaa roho chafu za kishetani; na mikono iliyojaa damu za watu!...
 
Wewe acha uongo wako ,waongopee hao wanyankole wenzako!! Kagame asingeweza kwenda bondeni kwasababu serikali ya Zuma inawapa hifadhi wale mahasimu wake wakuu ambao wananmyima usingizi!!
UPO SAHIHI KABISA MKUU BULESI!...hawezi kwenda kwenye mazishi ya mtu kama Mandela; kagame na MANDELA ni kama "malaika wa giza / shetani" na MALAIKA WA NURU!
 
Wewe acha uongo wako ,waongopee hao wanyankole wenzako!! Kagame asingeweza kwenda bondeni kwasababu serikali ya Zuma inawapa hifadhi wale mahasimu wake wakuu ambao wananmyima usingizi!!

Mijitu mingine bwana. Sijui wewe taarifa zako unazipata wapi? Kagame ameenda kwenye mazishi na amesharudi. Kwani zuma tu ndio anehifadhi mahasimu wake? Hata hapo tanzania wako wengi tu lakini anakuja kila siku. Raisi wetu hafanyi kazi kwa kubahatisha wewe...
 
UPO SAHIHI KABISA MKUU BULESI!...hawezi kwenda kwenye mazishi ya mtu kama Mandela; kagame na MANDELA ni kama "malaika wa giza / shetani" na MALAIKA WA NURU!

Hili nalo sijui linaibukiaga wapi..."mashetani..giza" wewe utakuwa ulilelewa na mganga wa kienyeji
 
That is how most of tutsis are!...ni watu waliojaa kiburi, majivuno na kujihesabia haki (kwamba wao ni wasafi, watakatifu) kumbe wamejaa roho chafu za kishetani; na mikono iliyojaa damu za watu!...

Wewe lazima ulifanywa tu...sio bure..na ukiendelea utafanywa tena tu.
 
Back
Top Bottom