This is weird !

This is weird !

Laser

Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
47
Reaction score
13
Za sahizi humu ndani?

Naenda moja kwa moja kwenye point. Mimi niko tigo, nampigia mtu wa tigo halafu nakutana na hii kitu "Thank you for choosing Vodacom blah blah blah." Ni mara kadhaa sasa.

Sasa hapo Voda wamehusikaje? Ni kwamba Voda wamenimiss au mitandao siku hizi wamekuwa marafiki?? Hehehh
Seriously though, hii kitu inakuaje hii watu wa masuala hayo??
Asante.
 
Mkuu simu yako sio ya line mbili? Labda umejisahau ukapiga kwa voda, Au unaempigia labda uli save namba mbili ya voda na tigo kwa jina moja so ukajisahau ukapiga ya voda?
 
Mkuu simu yako sio ya line mbili? Labda umejisahau ukapiga kwa voda, Au unaempigia labda uli save namba mbili ya voda na tigo kwa jina moja so ukajisahau ukapiga ya voda?

Sio, ni line moja tu. Sasa sijui ni vipi hiyo.
 
Labda Voda na Tigo wanayo makubaliano ya kushare minara.
 
Back
Top Bottom