This is how the Democrats stole the American Election

I don't know the reasons to why Trump is not loved by black people grobally. To me Trump deserves credits onto humanity especially the tendencies of mass kilings to countries seemed to go against the US and her allies,though the issue of Palestine and Yemen he failed and voted wrong by UN.
Kuna vijana wawili blacks huko nyuma waliwahi kusingiziwa wamembaka mtoto wa kizungu na wakafungwa jela muda mrefu sana.

Trump wakati huo akanunua Column kwenye gazeti la The Washington post akawa akiandika makala ya kushnikiza wanyongwe.

You know wamarekani hawaishi kwa kumshobokea Mtu wala kunipendekeza uchawa kwa Takataka yoyote ndio maana mostly watu weusi wote Marekani hawamtaki Trump, wanamchikia mnooo.

Hata hao wachache maarufu unaowaona wanamuunga mkono ilimuwa ni Kwasababu za kikodi ( TX plan ya Trump inawabeba wenye hela ).

Ukiona Trump ana ukaribu na mtu mweusi unue kaona fursa ya pesa kama ilivyokuwa kwa Tyson na siyo vinginevyo.
 
Biden will be the 46th POTUS.Hizi nyingine ni story za vijiwe vya kahawa
Hakuna aliyepinga kwamba hatakuwa,ila I pity humanity for that.Mtu mwenye akili anaona what is going on in the World and America na hatashindwa kujua why and who is responsible for the chaos we see.This should then provide an insight of what will befall America under Joe Biden.I can't imagine the situation of an America fully controlled by the Deep State.It's an unimaginable state of affairs.
 
Hakuna aliyepinga kwamba hatakuwa,ila I pity humanity for that.Mtu mwenye akili anaona what is going on in the World and America na hatashindwa kujua why and who is responsible for the chaos we see.This should then provide an insight of what will befall America under Joe Biden.I can't imagine the situation of America fully controlled by the Deep State.It's an unimaginable state of affairs.
Unfortunately you can only see mass killings and cruelty abroad and never in your motherland.

We live like hell, innocent people are taken to jails, torture chambers or assassinated.

But, you keep shouting blindly here as if everything done by black peopke to their felkow blacks is right
 
Kuna vijana wawili blacks huko nyuma waliwahi kusingiziwa wamembaka mtoto wa kizungu na wakafungwa jela muda mrefu sana.

Trump wakati huo akanunua Column kwenye gazeti la The Washington post akawa akiandika makala ya kushnikiza wanyongwe.

You know wamarekani hawaishi kwa kumshobokea Mtu wala kunipendekeza uchawa kwa Takataka yoyote ndio maana mostly watu weusi wote Marekani hawamtaki Trump, wanamchikia mnooo.

Hata hao wachache maarufu unaowaona wanamuunga mkono ilimuwa ni Kwasababu za kikodi ( TX plan ya Trump inawabeba wenye hela ).

Ukiona Trump ana ukaribu na mtu mweusi unue kaona fursa ya pesa kama ilivyokuwa kwa Tyson na siyo vinginevyo.
Mkuu najua Trump ni racist.But make no mistake about it Biden is also a racist.Biden amekuwa kwenye serikali ya Marekani for more than 30 yes and as a Vice President for 8 yrs, but segregative laws have not changed.Kwa hivyo kudhani kwamba Joe is better than Trump is outrageous.Infact out of the two,Trump is better kwa kuwa ameonyesha wazi he is anti-establishment a.k.a NWO,ambayo ndio enemy No.1 of humanity.

Hata hivyo nikubali vijana waliosomea kwenye awamu kuanzia ya Mwinyi Snr. mpaka ya Kikwete ni ngumu kuyaelewa haya kwa kuwa NWO ndiyo iliyowakuza na kuwalea.
 
Trump is just dumb, and so are trumpists. Keep falling for conspiracies,, just know that its true people voted him out, fact.
 
Evidence hakuna na mahakama zote mmeangukia pua. Democracy won. Au mmekumbukia Ile ya usaidizi wa Russia 2016? This time mmenyooshwa. Joe Biden, the President Elect Your empty trump will be evicted from the office come January 2021. He is crying like a baby. He fears leaving the office as he knows his illegal businesses will suffer much. Wanamsubiri kwa hamu. Time will tell
 
Unfortunately you can only see mass killings and cruelty abroad and never in your motherland.

We live like hell, innocent people are taken to jails, torture chambers or assassinated.

But, you keep shouting blindly here as if everything done by black peopke to their felkow blacks is right
Siioni hivyo hell inayoiongelea.You must have been part and parcel of the old establishment and getting free kicks.Mimi sikuwa,I am getting what I used to get,kwa hiyo sioni tofauti.Zoea vya kuchinja mkuu,vya kunyonga ni haramu.
 
Siioni hivyo hell inayoiongelea.You must have been part and parcel of the old establishment and getting free kicks.Mimi sikuwa,I am getting what I used to get,kwa hiyo sioni tofauti.Zoea vya kuchinja mkuu,vya kunyonga ni haramu.
Akwilini aliuluwa kikatili na CCM, hiyo ni damu ya kuku.

Azory Gwanda Alphonce Mawazo Ben Saanane kama walishauliwa watoe miili kwa ndugu zako wazike.

Maana huku tuma miungu inaamua nani aishi nani afe
 
Evidence hakuna na mahakama zote mmeangukia pua. Democracy won. Au mmekumbukia Ile ya usaidizi wa Russia 2016? This time mmenyooshwa. Joe Biden, the President Elect Your empty trump will be evicted from the office come January 2021. He is crying like a baby. He fears leaving the office as he knows his illegal businesses will suffer much. Wanamsubiri kwa hamu. Time will tell
Mimi sina ushabiki wa kijinga,yaani Kiyanga na Simba kati ya hao wawili.Naangalia zaidi nani atawasaidia wanadamu katika ustawi wao.Kumchagua Biden ni kujiweka katika mdomo wa Simba,wenye ufahamu wa ndani wa jinsi dunia inavyoendeshwa wanaliona hili wazi.Maamuma ni vigumu kuyaelewa.Unajua kama kulivyo na maamuma kwenye Uislamu,wapo maamuma pia kwenye world affairs.
 
Akwilini aliuluwa kikatili na CCM, hiyo ni damu ya kuku.

Azory Gwanda Alphonce Mawazo Ben Saanane kama walishauliwa watoe miili kwa ndugu zako wazike.

Maana huku tuma miungu inaamua nani aishi nani afe
Wangapi wameuwawa Marekani in state machinery hands,mnajua?Acheni umaamuma nyinyi.
 
Wangapi wameuwawa Marekani in state hands,mnajua?Acheni umaamuma.
Wamarekani wanajenga taifa lao na sisi tunajenga taifa letu.

Ni lazima tujue ndugu , zetu wako wapi kavla hatufualia ya ulaya.

Na hata kama marekani wanaua hiyo haiwezi kuwa justification ya sisi pia kukua.

Ubolizozo
 
Trump is just dumb, and so are trumpists. Keep falling for conspiracies,, just know that its true people voted him out, fact.
Mpaka May 2021 when the NWO will be in full bloom,ndipo mtakapo kumbuka Uzi huu.May be and may be there is still a possibility of humanity to do something,then it will be too late.
 
Mpaka May 2021 when the NWO will be in full bloom,ndipo mtakapo kumbuka Uzi huu.May be and may be there is still a possibility of humanity to do something,then it will be too late.
What's humanity in your own asshole perspective ???
 
Wamarekani wanajenga taifa lao na sisi tunajenga taifa letu.

Ni lazima tujue ndugu , zetu wako wapi kavla hatufualia ya ulaya.

Na hata kama marekani wanaua hiyo haiwezi kuwa justification ya sisi pia kukua.

Ubolizozo
Hakuna aliyesema kuna justification mkuu,na wala sijaongelea juu ya mile kinachoendelea Tanzania,naomba uelewe mada,tafadhali discuss mada.
What's humanity in your own asshole perspective ???
This is a silly question.
 
Trump is just dumb, and so are trumpists. Keep falling for conspiracies,, just know that its true people voted him out, fact.
Mimi sio cheap kiasi cha kuzungumzia characters,I am interested zaidi on what either Trump or Biden will do to humanity.
 
Mimi siandiki kitu ambacho sina ushahidi nacho.Yaani wewe usichokijua ni conspiracy.Fanya utafiti na wewe,usikalie Simba na Yanga,Manchester United na Arsenal nk.,huko ni kufukuza upepo.
Kwanza Trumpism is a cult,
Pili DT anaongoza Dunia kwa Misinformation, naturally DT is a Conman, a Conman by both Birth and a self made.
DT Alishaanza siku nyingi kabla ya uchaguzi kuwa atakubali matokeo tu iwapo atashinda uchaguzi, Pili DT alitumia muda mwingi sana kufanya Voters Supression kwa madai ya Kwamba Mail Balot canot be trusted while its not true, In American Federal Govt haina Election, Elections ni mali ya States na kila States kuna Sheria zake, Kwa hiyo Mawazo yake aliyaandaa kucontest election results akitaka kutumia Cases za 2000 Election Bush Vs Gore,
N a nyinginezo,
Ukimsikiliza DT ni mtu aliyechanganyikiwa,anatupa lawama popote kule na malalamiko yasiyo na ushahidi.
Bill Barr, Gavana wa Georgia , Mkurugenzi wa CISA wote wamemueleza ukweli, Lakini hataki, anyway vyovyote atakavyofanya he is already OUT, anamtuhumu Biden na Democrat wakati yeye kama Rais ana kila source ya taarifa! Anafanya makusudi kwa sababu anajua anachpjaribu kufanya.
Wakati analalamikia Matokeo Biden alipoulizwa kama wataenda Mahakamani akasema no, alipoulizwa una uhakika majimbo yatacertify results zako, akasema Ndio, Alipoulizwa kama ELECTO COLLEGE Itapitisha Ushindi wako kasema ndio.
Trump ameshindwa kihalali, asilalamike.
 
Kwanza Trumpism is a cult,
Pili DT anaongoza Dunia kwa MisinfoKinachoendelearally DT is a Conman, a Conman by both Birth and a self made.
DT Alishaanza siku nyingi kabla ya uchaguzi kuwa atakubali matokeo tu iwapo atashinda uchaguzi, Pili DT alitumia muda mwingi sana kufanya Voters Supression kwa madai ya Kwamba Mail Balot canot be trusted while its not true, In American Federal Govt haina Election, Elections ni mali ya States na kila States kuna Sheria zake, Kwa hiyo Mawazo yake aliyaandaa kucontest election results akitaka kutumia Cases za 2000 Election Bush Vs Gore,
N a nyinginezo,
Ukimsikiliza DT ni mtu aliyechanganyikiwa,anatupa lawama popote kule na malalamiko yasiyo na ushahidi.
Bill Barr, Gavana wa Georgia , Mkurugenzi wa CISA wote wamemueleza ukweli, Lakini hataki, anyway vyovyote atakavyofanya he is already OUT, anamtuhumu Biden na Democrat wakati yeye kama Rais ana kila source ya taarifa! Anafanya makusudi kwa sababu anajua anachpjaribu kufanya.
Wakati analalamikia Matokeo Biden alipoulizwa kama wataenda Mahakamani akasema no, alipoulizwa una uhakika majimbo yatacertify results zako, akasema Ndio, Alipoulizwa kama ELECTO COLLEGE Itapitisha Ushindi wako kasema ndio.
Trump ameshindwa kihalali, asilalamike.
This is the usual ridicule of NWO stooges,sishangai.Mmetoka kwenye rat holes because the forces of darkness are under attack. And you know what,we will continue to enlighten people regarding the evil tactics of the forces of darkness mpaka kieleweke.Kinachoendelea Marekani ni vita kati ya good and evil,Biden akiwa in the evil side.
 
Back
Top Bottom