This goes to all men

This goes to all men

Joined
Mar 6, 2013
Posts
13
Reaction score
3
Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????
 
Hii ni tabia mbayatu ya mtu na kamwe haiwezi kuwa generalized kuwa ni tabia ya wanaume wote. Mimi sifnyi hivyo na nikiwa nje ya nchi hata kwa zaidi ya mwaka huwa naweza kujizuia. Wanaotoka nje ya ndoa kisa mwanamke ni mjamzito wajichungze
 
Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????

mbona mnapenda kuludia mada tena za upuuzi
 
Nani kasema hutakiwi ku-sex na mkeo wakati wa ujauzito? kwanza ndio unatakiwa ufanye ili upanue njia na ni kipindi ambacho mkeo anakuhitaji sana, kwa upande wangu huwa tuna-do hata the latest minutes, yaani kama kesho ndio anaenda hospital basi leo ni lazima.....
 
Wewe unasema ukiwa mjamzito watu wanao hata wake zao hawana ujawepesi
'
But still, kumcheat mkeo ni upuuzi,mwanaume anaejitambua hafanyi huo upuuzi!
'
Hivi unadhani hata ukijifungua wataachana?Mumeo akionja pembeni haachi kamwe
'
Mahawara hawaachani,sosi: Fidel80 !
 
Last edited by a moderator:
Nani kasema hutakiwi ku-sex na mkeo wakati wa ujauzito? kwanza ndio unatakiwa ufanye ili upanue njia na ni kipindi ambacho mkeo anakuhitaji sana, kwa upande wangu huwa tuna-do hata the latest minutes, yaani kama kesho ndio anaenda hospital basi leo ni lazima.....

ITS POSSIBLE BUT ITS JUST TACKY!!!!!!!!!!!! Haswaa mimba kuanzia miezi 7! Inakuwa kama unafanya rituals wala sio recreaional activity kabisaaa!

Im just sayin!
 
Hii ni tabia mbayatu ya mtu na kamwe haiwezi kuwa generalized kuwa ni tabia ya wanaume wote. Mimi sifnyi hivyo na nikiwa nje ya nchi hata kwa zaidi ya mwaka huwa naweza kujizuia. Wanaotoka nje ya ndoa kisa mwanamke ni mjamzito wajichungze

mmmh! ????????????????????:censored::censored::behindsofa:
 
ITS POSSIBLE BUT ITS JUST TACKY!!!!!!!!!!!! Haswaa mimba kuanzia miezi 7! Inakuwa kama unafanya rituals wala sio recreaional activity kabisaaa!

Im just sayin!
Hahahhaaaa kumbe you just said....ukweli ndio huo bhana, sio kwamba mnafanya hadi mimba itoke ni namna fulani ya kuridhishana tu, sio zile za kukomoana
 
ITS POSSIBLE BUT ITS JUST TACKY!!!!!!!!!!!! Haswaa mimba kuanzia miezi 7! Inakuwa kama unafanya rituals wala sio recreaional activity kabisaaa!

Im just sayin!
mmmh! lara 1, haiwez kuwarituals bana, ni kawaida na kama mama haumwi inaruhusiwa. so far huwa ni zoezi zuri sana kwaajili ya kutanua njia na easy delivery. ukimudu sarakasi miezi ya mwisho inamaana hata kwenye kuzaa pumzi itakuwepo na utafyatua bila hata tearing
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa kuniiunga mkono my Dear, mimba ya mwisho ya mke wangu tuli-do hadi kesho yake nampeleka Leba, kikubwa ni kufanya kwa ustaarabu sio vita.....tatizo wengi wetu wanajua ilekitu ni hadi utoke jasho, umkunje mwenzio as if unapiga mwizi......
na kimsingi mimba so ugonjwa bana na wala sio ulemavu, kwa raha zangu hadi siku naingia leba
 
Asante kwa kuniiunga mkono my Dear, mimba ya mwisho ya mke wangu tuli-do hadi kesho yake nampeleka Leba, kikubwa ni kufanya kwa ustaarabu sio vita.....tatizo wengi wetu wanajua ilekitu ni hadi utoke jasho, umkunje mwenzio as if unapiga mwizi......

pamoja sana mkuu.
 
Ha,ha,ha....mi nadhani najua kuliko wewe , I think ni tabia tu ya mtu sijui wewe mwenzangu unajuaje???

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

kumbe unajua kuliko mimi haya nipe darasa la tution
 
Tabia ya mtu mmoja mmoja, hiyo suala la mimba inakuwa kisingizio tu.
 
Ni tabia tu ya mtu ila anasingizia kuwa mkewe mjamzito. Uzinzi tu huo
 
Back
Top Bottom