Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Salaam wakuu,
Kesho Ijumaa januari 11, 2013 Mjadala Mkuu katika kipindi cha Tuongee Asubuhi utaangazia mabadiliko ya mfumo wa Digitali na changamoto zake kwa watumiaji, Mamlaka ya Mawasiliano Nchini TCRA na Watoa Huduma (Kampuni zenye leseni ya kusambaza vingamuzi CONTINENTAL, BTL, TING, ZOUK, EASY TV, STAR TIMES na wengineo).
Mjadala huu utalenga kujibu hoja za kisera ambazo zinatokana na changamoto zilizowakumba wadau wote katika mfumo huu.
Maswali yatakayoulizwa yatasomwa kesho katika Kipindi.
STUDIO DSM atakuwepo:
Karibuni kwa Mjadala
Kesho Ijumaa januari 11, 2013 Mjadala Mkuu katika kipindi cha Tuongee Asubuhi utaangazia mabadiliko ya mfumo wa Digitali na changamoto zake kwa watumiaji, Mamlaka ya Mawasiliano Nchini TCRA na Watoa Huduma (Kampuni zenye leseni ya kusambaza vingamuzi CONTINENTAL, BTL, TING, ZOUK, EASY TV, STAR TIMES na wengineo).
Mjadala huu utalenga kujibu hoja za kisera ambazo zinatokana na changamoto zilizowakumba wadau wote katika mfumo huu.
Maswali yatakayoulizwa yatasomwa kesho katika Kipindi.
STUDIO DSM atakuwepo:
- Innocent Mungi - Meneja Uhusiano TCRA
- Joel Chacha - Mhandisi Masuala ya Utangazaji
Karibuni kwa Mjadala