Habari zenu wakuu,
TCU wameruhusu maombi ya mara ya tatu ikiwa bado baadhi ya vyuo mfano Mzumbe Mbeya, NIT hawajatoa majina ya second round. Je, kwa walio na taarifa profile ya mtu anayetakiwa kuomba third round ina taarifa gani?
Habari zenu wakuu,
TCU wameruhusu maombi ya mara ya tatu ikiwa bado baadhi ya vyuo mfano Mzumbe Mbeya, NIT hawajatoa majina ya second round. Je, kwa walio na taarifa profile ya mtu anayetakiwa kuomba third round ina taarifa gani?
Habari zenu wakuu,
TCU wameruhusu maombi ya mara ya tatu ikiwa bado baadhi ya vyuo mfano Mzumbe Mbeya, NIT hawajatoa majina ya second round. Je, kwa walio na taarifa profile ya mtu anayetakiwa kuomba third round ina taarifa gani?
Jamani mbona inanionyesha nimechaguliwa tena nikiriew selections zinakuja zile kozi nilizoziomba awamu ya kwanza?
Zile nilizoziomba awamu ya pili hazionekani kabisa! Nisaidieni jamani
Habari zenu wakuu,
TCU wameruhusu maombi ya mara ya tatu ikiwa bado baadhi ya vyuo mfano Mzumbe Mbeya, NIT hawajatoa majina ya second round. Je, kwa walio na taarifa profile ya mtu anayetakiwa kuomba third round ina taarifa gani?