Things you didn't know about Zanzibar

ha ha ha haaaaaaa, umenifurahisha sana!
 

Kwa bahati mbaya huko Zanzibar watu kama huyo jamaa wengi, sio tu wavivu wa kufanya kazi bali kufikiri pia.Vitu hivi viwili vinapokua pamoja vinazaa watu kama huyo jamaa badala ya kufanya kazi na kufikiri wanajikita katika soga zisizona kichwa wala miguu "pwagu na Pwaguzi"Na kujifariji kwa vitu vya ajabu.Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikua ume-base katika misingi kisiasa Zaidi kuliko kiuchumi muungano huu ni matokeo wa mashindano na vita baridi kati ya Ukomunist na ubepari,Mabepari(Nchi za magharibi zilimtumia Nyerere kuineutralize Zanzibar ambayo ilikua imeisha nasa mikononi mwa ukomonist.Na katika muungano huu aliepoteza na kuendelea kupoteza ni Tanganyika.Na kwa sasa muungano huu unalindwa na vitu viwili kwanza ni za kibinadamu katika kipindi cha muungano wetu mchanganyiko wa watu wa bara na visiwani wameisha kua kitu kimoja ukiondoa hao wachache wenye uvivu wa kufikiri na kufanya kazi ambao chokochoko,uchochezi na cheap palitics ambapo kwao vitu hivyo nilivyovitaja ndiyo kazi.Pili kisiasa katika kipindi cha miaka ya 60 kama vita kubwa ilikua kwa mataifa ya magharibi na mashariki vita kuu ilikua imeelekezwa kwa nchi hizo kutafuta influence kwa zinazoendelea kwa gharama yoyote na kwa nchi zinazoendelea ilikua rahisi kujiendesha kwa gharama za nchi hizo pinzani ilikua inatosha nchi kutaja msimamo wake inafuata msimamo upi wakikomunist au kibepari hii ilikua inatosha kupata misaada hili sasa halipo baada ya kufa kwa vita baridi.Swala la muungano bado la kisiasa kwa sababu zifuatazo.Zanzibar kama ilivyo hivi sasa ikiwa na idadi kubwa ya watu wasionakazi na kati ya hao wasio na kazi wingi ni wavivu wa kufanyakazi na kufikiri wanataka kuufanya uchochezi na siasa za majukwaani kazi ya kuwapatia kipato.Katika hali hii ni rahisi kupitisha au kupenyeza siasa chafu zenye mwelekeo wa ki al-qaid na kiaramia kama uzoefu ilivyoishaonyesha katika ukanda huo Somalia,Jibut,Ethiopia n.k.Kwa kufahamu hilo nchi za ulaya zinauona muungano wetu ni muhimu kwao kwani ni rahisi kudhibiti Zanzibar ndani ya muungano kuliko nje ya muungano.ZANZIBAR BILA MUUNGANO NI SOMALIA YA KESHO(UHARAMIA NA AL-QAID)UKWELI NDIO HUO.
 
Narudia tena, Zanzibar ikitoka ktk huu muungano na kuwa nchi huru without a doubt itakuwa better off kiuchumi na kimaendeleo kuliko ilivyo sasa. Tanzania bara tunawalostisha wazenj.
 
ZANZIBAR BILA
MUUNGANO NI SOMALIA YA KESHO
(UHARAMIA NA AL-QAID)UKWELI NDIO
HUO. Quote by Advocate Jasha
 
Do you know that Zanzibar Gold Reserve
before and after the Revolution was
estimated at more than 5,000 tons?

Hapo ni tani 5,000 au kilo 5,000 (Tani 5)?
 

Kuwa mpole mkuu! Huenda alikuwa anatafuna miraa kabla hajaandika thread yake. Wanaotafuna miraa huwa victim wa hallucination!
 
Huu muungano, duhh, mimi nafikiri Serikali ya Tanganyika inahitajika. Hii thread ssilewi. anyway napitia tu.
 
Zanziba bila muungano ni Singapore ya Africa
Nyie si wavivu tu wa kufikiria, Nyerere aliwaambieni baada ya miaka ishirini Znz itamezwa na bahari, kwa hiyo mkombozi wenu pekee ni Tz bara. Wacha tuwaburuzeni kadiri tutakavyo
 
Nchi ya kwanza Afrika kuwa na umeme, taa za barabarani, balozi za nje? Je, South Africa, Egypt, etc vitu hivyo havikuwepo? Na kuhusu umeme kwa nini hawalipii umeme wa Tanesco, wanavuna wasipopanda?

Soma historia Zanzibar vilikuwepo kabla ya hao uliowataja. Kwa kuanzia tu:

[h=2]Captain "Zanzibar" Smith [/h]
Not a Zanzibari but one of the first American friends to Zanzibar, he traded extensively with the east African coast in the 1800's. As a merchant Captain sailing out of Salem, Mass. he found something in common with the men of the trading houses of Zanzibar whose own shipping fortunes were made in the Dhow trade. He became known as a shrewd trader but also a man whose word could be trusted. Together these sailor/merchants made hard bargains and fast friendships.
The Americans traded cotton cloth, ("Americani") for ivory, spices and gum Copal, which was used to make varnish in the factories of New England. The American trade helped establish Zanzibar as the commercial capital of the Region. By the 1830's, in one 18 month period, a total of 32 American vessels called at the Zanzibar harbor. In 1836 the amount of commerce between the two countries warranted the assignment of a permanent American Consul, in residence in Stone Town. Capt. William Smith sailed 'round the horn' on so many long voyages between America and the Islands that he became referred to as Zanzibar Smith on both sides of the equator.
 
Nyie si wavivu tu wa kufikiria, Nyerere aliwaambieni baada ya miaka ishirini Znz itamezwa na bahari, kwa hiyo mkombozi wenu pekee ni Tz bara. Wacha tuwaburuzeni kadiri tutakavyo

Mimi sio mzanzibari lakini naamini kabisa muungano ukifa Zanzibar itapiga hatua sana kimaendeleo kuliko bongolala. Kama hamuamini basi vunjeni muungano muone.
 
na wewe umeamua kuanika ujinga wako hapa! Ukitaka jua kua ni pumba zimeandikwa hapo tuambie ni vita gani ya kagera ya mwaka 1982,mnashauriwa kila siku kuficha ujinga wenu lakini mnawashwa washwa....
 
dan wazanj kwa kulalamika duh cwawez..!
 
Ikumbukwe kuwa Zanzibar ilikuwa ni Capital ya Sultanate of Oman and Zenjibar (Zenj Empire), sidhani kama ni kitu kikubwa sana kwa empire kubwa namna hiyo kuwa na tani 5,000 za dhahabu. Zanzibar ilitawala Cost ya East Africa yote na zaidi, empire yake ilifika mpaka kongo na rwanda urundi, cha kushangaza ni nini?
 
Hivi tujuze bibie,hawa wa Oman na Zenjbar walikuwa waarabu au waafrika?
Na walikuwa na origin yao hapo unguja au walikuwa wa kuja na kutawala tu.
Hebu tueleze zaidi bibie,WALIOPINDULIWA mwaka 1964 walikuwa watu gani?.
KIKUBWA zaidi WEWE Faizafoxy , mswahili titii babu zako walikuwa WATWANA wa familia ipi ya kiarabu, tujuze tu!
 
Human being cannot know the truth as it is but as it appears to him
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…