There is no template for relationship

Haya Mambo Hayana Formula Yoyote
Haa
Kubwa Kuishi Uwezavyo, Wengine Hawajaoa, Kuolewa Lakini Wana Sababu Nzuri Na Nzito
 
Hapo unakuwa hujakwepa stress mkuu, bali umezibadilisha uelekeo tu.
Then nifanye mpango wa kutafuta dawa ya kuondoa hisia za kimapenzi. Nibakize hamu za kugegeda ila sio ile kuzama kwenye mapenzi niwe kama beberu, huwa halifumanii wala halina ndoa
 
nakuheshimu mkuu. Ila hata hivyo siwezi mlaumu mtu anayeumia au kulia sababu ya mapenzi regardless jinsia yake. Hizi mambo zinaumiza saaana.
Sanaaaa🥺🥺🥺🥺🥺
 
Mimi nikipenda content ya thread LAZIMA Ni comment...basi nasema

Upo sahihi Mr Analyse..love haina formula.
Naona Bado unasoma Vipi Bado unalima Tangawizi.?
 
Bila bikra hakuna mke Boss.

Hizo zingine ni porojo.

Bikra sio uaminifu kwa mwanamke tuu bali hata uzao wako unakuwa wa baraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…