The World Need to Stop Over-Relying on China

Haha hapo ndipo hua nashangaa watanzania, mnajihisi ka vile ni special sana kua dunia inawazunguka, kama unahisi kutrain manpower inachukua siku mbili endelea kujidanganya hujui hata unachoongelea wewe. Ushawahi kwenda kwenye manufacturing plant hata moja ukaona kazi inavyofanywa kweli au unatoa data hapa bila kua na backup?

Tanzania hiyo smart labour unayoiongelea sijui iko wapi vilaza wamejaa kila kona. Kwa Tanzania it would take at least 5years kua na manufacturing plant moja yenye vijana wachache kuweza kuproduce product chache sana. Hao unaosema wanatoka Tanzania wanaenda nje wanakua smart hadi watu wanawashangaa sijui umewasikia wapi hua mnajidanganya story za kahawa tu leta data wataje majina.
kitu gani kinachofanyika kwenye smartphone zaidi ya assembling? Hivi haujui part za smartphone zinatengenezwa nchi na makampuni tofauti tofauti na kupelekwa china mostly for assembling? Mbona kenya tu hapo yanatengenezwa hadi magari? we jamaa unaongea kwa confidence kabisa.
 
West haikufanya strategic investment India kama ilivyofanya kwa China.

Pili kuna problem ya caste system huko India, system ambayo mtu wa chini ni marufuku kuplay role za watu wa caste ya juu, system hii imeleta social na economical imbalance kubwa.
Sababu kuu ni kwamba india ina population kubwa ya watu ambao hawana elimu ya kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto kubwa zinazopata nchi za magharibi ni kuwa pale wanapozalisha kwenye "Automated Industries" gharama ya uzalishaji inakuwa na tofauti ndogo na zile za China ila wengi wanakosa ajira.

Pia moja ya kosa la kijinga (Foolish Blunder) walilofanya Wachina, tofauti na Japan, ni kutumia fursa ya uchumi wao kukua kujiingiza kwenye kutafuta kuwa (Global Military Power) kitu ambacho automatically kimewaleta at loggerheads na Marekani na nchi za magharibi kiujumla.

All in all, mpango wa kuhakikisha China haiwi economic wala super power militarily is on the table and implementation is at the primary stage.
Hivi unajua china ina nguvu kubwa ya manunuzi kuliko hata europe yote?

Wale jamaa hata soko lao la ndani tu wako poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa tungekuwa na akili huu ndio muda wa kujipanga na ku lobby kama alternative ya China kwenye uwekezaji. Japan wameanza na inawezekana nchi nyingine zikafuata. Ni nafasi ambayo hatupaswi kuipoteza. Ila sioni aggresiveness kwenye kuidaka...
 
Hii ya kwamba ukitrain Watanzania kufunga smartphone itachukua muda ni nonsense. Tuna watu bright sana, hata vijana wetu huwa wakienda kusoma nje watu huwa wanawashangaa jinsi walivyo smart.

Tofauti ya China na Afrika ni:

1. Wachina ni extremely hardworking people
2. Wanatii order za mabosi wao, kiufupi wanamheshimu sana mkuu wa kazi
3. Wako wengi mno na kila mtu anataka kazi, kwa hiyo ukipata kazi na kuichezea inaweza kula kwako
4. Wana skilled labor nyingi (haimaanishi hiyo labor ni smarter), kule China vijana wasiokwenda chuo kikuu wanapelekwa vyuo vya ufundi kwa idadi ya mamilioni kwa mamilioni, kwa hiyo viwanda vikija vinakuta hii skilled labor ipo ya kutosha.

5. Labor ya China siyo cheap tena kama zamani, Sasa hivi vijana wengi wamesoma zaidi, Bei za nyumba ziko juu sana kwa hiyo vijana wanataka mishahara mizuri sana, kwa hiyo ile cheap labor advantage ambayo China ilivutia makampuni ya west haipo tena kwa kiwango cha zamani.

Kitu kingine
1. Usisahau Geopolitics, West iliamua kuinvest China makusudi ili kumnyong'onyesha Soviet Union

2. Kwa miaka yote 30 ambayo West iliinvest China makampuni yalienjoy cheap labor, sheria dhaifu za mazingira, na soko kubwa ndani ya China

3. China ilikuwa smart kuplay low profile ilikuwa haigusi hegemonic power ya west, siku hizi Wachina wamekuwa over ambitious, wamekuwa over confident, wameamua kuchallenge hegemony ya west katika masuala ya uchumi na mahusiano ya kimataifa, kitakachotokea ni Western block kuungana na kuimaginalize China, Ifahamike tu kuwa Western block kamwe haitokubali kugive up brettonwood system kirahisi maana inawapa utajiri kilaini. Serikali ya sasa ya Xi Jinping inakosea kwa kuacha kufuata principle za baba wa mageuzi wa China Deng Xiaoping aliyetaka China ifanye mambo kimyakimya bila kumstua Mmarekani, Sasa West ikiungana dhidi ya mchina, mchina atapata tabu sana

4. China walikuwa wanaplay smart sana kutengeneza economic alliances Africa na Latin America, ila kwa vitendo vya ubaguzi walivyovifanya kipindi hiki dhidi ya Waafrika, Waafrika wamestuka na kugundua kuwa hawa siyo peaceful partners bali wanaheshimu Rasilimali za Afrika bila kuheshimu Waafrika wenyewe. Hii itaathiri future dealings za Wachina katika bara hili, things will never be the same again

6.Kiufupi West bado wana mtaji mkubwa wa ushawishi duniani, na wanaweza kuhamishia vianda vyao India, Afrika na Brazil na wakaendelea kufanya biashara nzuri tu

7. West ina levarage juu ya siasa za ndani ya China, Chama cha Kikomunisti cha China kinajua kuwa kikishindwa kudeliver kwenye uchumi kutakuwa na social unrest ya kutisha ndani ya nchi hiyo, watu watariot na hata civil war inaweza kutokea. Kwa hiyo kama west itaamua kuondoa mtaji wake huko China itakuwa ni pigo kubwa mno kwa hicho chama kwa hiyo lazima serikali ya China itatoa concenssions kwa nchi za magharibi itake isitake.

8. Kutokana na jinsi serikali ya China ilivyomess up kwenye issue ya COVID-19 hasa ziku za mwanzoni za mlipuko kwa kuficha taarifa inazozijua kuhusu man to man transmission, kujaribu kutumia propaganda kuishutumu Marekani kuwa ndo chanzo cha virusi hivi vya Korona West imeiona China kama nchi ongo, isiyoaminika na ukichanganya na vifo na maumivu ambayo maradhi haya yameleta maumivu kwenye familia za watu huko West na duniani kiujumla, Wanasiasa katika nchi hizo watashindana kuonyesha namna gani ya kudeal na China kwa ukali zaidi, na hili litainfluence sera nyingi na mikataba mingi ya kibiashara baadae ambayo haitokuwa necessary mizuri sana kwa wachina kama zamani. Kwa mfano issue ya Huawei kujenga 5G katika nchi za west itapata pigo, Mradi wa Belt and Road utaangaliwa kwa suspicion sana, Long term settelment ya wachina kupitia miradi kama bandari itakuwa very unpopular duniani. Kwa hiyo Mchina ajiandae, Things will never be the same again

8. China ni nchi kubwa na yenye nguvu za kijeshi na kiuchumi lakini uchumi wao siyo sustainable bila axis ya west, GDP per Capita yao iko Chini kuliko nchi tajiri za west, internally, socially and politically kuna recentments za minorities jinsi inavyowatreat Wauighurs kule Xinjiang, inavyowaweka kwenye concentration camps, na kuwatreat vibaya mno watu hawa, Kuna issue ya Wahongkong ambao wanataka demokrasia na kutoingiliwa na serikali ya China kwenye demokrasia yao, kuna issue ya Tibet na baada ya hapo kuna mgogoro na Taiwan, Iwapo China itaamua kuichukua Taiwan kimabavu inaweza kushinda pambano lakini ikapoteza vita maana gharama za kiuchumi zitakazofuata hapo ni. kubwa mno, kunaweza kukatokea uharibifu wa miji ya ukanda wote wa mashariki mwa China ambako kuna maendeleo na kuirudisha China miaka mingi nyuma kimaendeleo
Tuna wachambuzi kama hawa afu utasikia lijitu likisema watz ni wajinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajua china ina nguvu kubwa ya manunuzi kuliko hata europe yote?

Wale jamaa hata soko lao la ndani tu wako poa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Kweli, Wachina wengi wao hata wale wenye ajira vipato vyao ni viduchu. China income nzuri wanapata kwa ku-export na sio kwa kutegemea soko la ndani.

Mfano, angalia sasa hivi ambapo exports zinapungua na uchumi wao pia unaporomoka, na kadri exports zitakavyozidi kupungua ndivyo Wachina wengi watakavyozidi kukosa ajira.

Ujue viwanda vyote sio vyao uwekezaji mwingi ni wa wageni especially wamarekani waliowekeza kwa sababu ya Low Labour Costs ambazo hata hivyo zimekuwa zikipanda kila uchao.
 
Japan Sio Kama Hawatamani Ama hawapendi Kua Global Super Power Ama Hawawez Wanatamani wanataka na wanaweza ila kuna mikataba ambayo ilisainiwa baada ya vita yapili ya DUNIA Ndio Inawabana wajapan Wajapan Hawaruhusiwi Kua Najeshi Kubwa Nalenye Maguvu Kama ilivyo UCHINA Unahisi kama wangeruhusika na Walivyo Nauhasimu na UCHINA Wangekaa Kiboya Kama Walivyokaa Sasa hvHalafu jengine suala la Silaha Sasa Hv Nimoja Yabiashara kubwa kabisa Ulimwenguni Ambayo Inaingiza Kiasi Kikubwa Sanaaa Chapesa Kwahio Ikitokea Taifa Lolote likawa vizuri kiuchumi lazma Lijitengenezee mazingira hayo ili lipate kuuza silaha wapige hela kama ilivyo kwa US RUSSIA
Ikumbukwe kwa sasa CHINA Muuzaji Namba Mbili Wasilaha DUNIANI Nyuma Ya US

Lakini pia Kunakufanya uweze kua nasauti DUNIANI Uweze kujihakikishia usalama wako Kama Unapeda Tajiri Nakila Kitu Halaf Ukawa Huna Nguvu Unakua Hutishi Naunakosa Kuheshimiwa .

Sent using My COVID-19
Huo mkataba uliishapitwa na wakati na PM wa Japan aliishasema wanalenga kubadilisha katiba yao ili wawe na nguvu zaidi kijeshi.

Hiyo mikataba ya kale haiwezi kuwa in force leo ambapo nchi zina sovereignty na vitisho vya silaha za nuclear vikizidi kushamiri. Hata Germany leo Marekani akiwatilia ngumu kwenye mambo ya ulinzi itabidi wajijenge upya kijeshi, hakuna wa kumkataza. Asikudanganye mtu.
 
Wakuu mjitahid basi kuchambu chambua na hali ya Tanzania ifanye nini ili iwe na influence kubwa Africa

Ifanye nini na yenyew isiwe tegemez tuwe wabinafs na nchi yetu japokuwa kuna mda inazingua

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani atasikiliza hayo maoni na kuyafanyia kazi??

Maoni mengi humu JF niya kujifurahisha tu hayana impact yoyote kuanzia Local government mpaka Central government.....Tumechagua viongozi ambao uwezo au nia ya kufanya mabadaliko haipo kabisa
 
Kula like yangu mzee upo vizuri nyie ndio mlitakiwa muajiriwe TISS ili kuisaidia nchi kwenye kutengeneza mikakati na sera za kuinyanyua inchi kwenye mambo ya usalama na uchumi.
TISS umizeni vichwa kwa kudeal na issue sensitive za kuisaidia nchi tuachane na U TISS wa kumtafuta nani kalopoka vibaya kwa raisi

Hii ya kwamba ukitrain Watanzania kufunga smartphone itachukua muda ni nonsense. Tuna watu bright sana, hata vijana wetu huwa wakienda kusoma nje watu huwa wanawashangaa jinsi walivyo smart.

Tofauti ya China na Afrika ni:

1. Wachina ni extremely hardworking people
2. Wanatii order za mabosi wao, kiufupi wanamheshimu sana mkuu wa kazi
3. Wako wengi mno na kila mtu anataka kazi, kwa hiyo ukipata kazi na kuichezea inaweza kula kwako
4. Wana skilled labor nyingi (haimaanishi hiyo labor ni smarter), kule China vijana wasiokwenda chuo kikuu wanapelekwa vyuo vya ufundi kwa idadi ya mamilioni kwa mamilioni, kwa hiyo viwanda vikija vinakuta hii skilled labor ipo ya kutosha.

5. Labor ya China siyo cheap tena kama zamani, Sasa hivi vijana wengi wamesoma zaidi, Bei za nyumba ziko juu sana kwa hiyo vijana wanataka mishahara mizuri sana, kwa hiyo ile cheap labor advantage ambayo China ilivutia makampuni ya west haipo tena kwa kiwango cha zamani.

Kitu kingine
1. Usisahau Geopolitics, West iliamua kuinvest China makusudi ili kumnyong'onyesha Soviet Union

2. Kwa miaka yote 30 ambayo West iliinvest China makampuni yalienjoy cheap labor, sheria dhaifu za mazingira, na soko kubwa ndani ya China

3. China ilikuwa smart kuplay low profile ilikuwa haigusi hegemonic power ya west, siku hizi Wachina wamekuwa over ambitious, wamekuwa over confident, wameamua kuchallenge hegemony ya west katika masuala ya uchumi na mahusiano ya kimataifa, kitakachotokea ni Western block kuungana na kuimaginalize China, Ifahamike tu kuwa Western block kamwe haitokubali kugive up brettonwood system kirahisi maana inawapa utajiri kilaini. Serikali ya sasa ya Xi Jinping inakosea kwa kuacha kufuata principle za baba wa mageuzi wa China Deng Xiaoping aliyetaka China ifanye mambo kimyakimya bila kumstua Mmarekani, Sasa West ikiungana dhidi ya mchina, mchina atapata tabu sana

4. China walikuwa wanaplay smart sana kutengeneza economic alliances Africa na Latin America, ila kwa vitendo vya ubaguzi walivyovifanya kipindi hiki dhidi ya Waafrika, Waafrika wamestuka na kugundua kuwa hawa siyo peaceful partners bali wanaheshimu Rasilimali za Afrika bila kuheshimu Waafrika wenyewe. Hii itaathiri future dealings za Wachina katika bara hili, things will never be the same again

6.Kiufupi West bado wana mtaji mkubwa wa ushawishi duniani, na wanaweza kuhamishia vianda vyao India, Afrika na Brazil na wakaendelea kufanya biashara nzuri tu

7. West ina levarage juu ya siasa za ndani ya China, Chama cha Kikomunisti cha China kinajua kuwa kikishindwa kudeliver kwenye uchumi kutakuwa na social unrest ya kutisha ndani ya nchi hiyo, watu watariot na hata civil war inaweza kutokea. Kwa hiyo kama west itaamua kuondoa mtaji wake huko China itakuwa ni pigo kubwa mno kwa hicho chama kwa hiyo lazima serikali ya China itatoa concenssions kwa nchi za magharibi itake isitake.

8. Kutokana na jinsi serikali ya China ilivyomess up kwenye issue ya COVID-19 hasa ziku za mwanzoni za mlipuko kwa kuficha taarifa inazozijua kuhusu man to man transmission, kujaribu kutumia propaganda kuishutumu Marekani kuwa ndo chanzo cha virusi hivi vya Korona West imeiona China kama nchi ongo, isiyoaminika na ukichanganya na vifo na maumivu ambayo maradhi haya yameleta maumivu kwenye familia za watu huko West na duniani kiujumla, Wanasiasa katika nchi hizo watashindana kuonyesha namna gani ya kudeal na China kwa ukali zaidi, na hili litainfluence sera nyingi na mikataba mingi ya kibiashara baadae ambayo haitokuwa necessary mizuri sana kwa wachina kama zamani. Kwa mfano issue ya Huawei kujenga 5G katika nchi za west itapata pigo, Mradi wa Belt and Road utaangaliwa kwa suspicion sana, Long term settelment ya wachina kupitia miradi kama bandari itakuwa very unpopular duniani. Kwa hiyo Mchina ajiandae, Things will never be the same again

8. China ni nchi kubwa na yenye nguvu za kijeshi na kiuchumi lakini uchumi wao siyo sustainable bila axis ya west, GDP per Capita yao iko Chini kuliko nchi tajiri za west, internally, socially and politically kuna recentments za minorities jinsi inavyowatreat Wauighurs kule Xinjiang, inavyowaweka kwenye concentration camps, na kuwatreat vibaya mno watu hawa, Kuna issue ya Wahongkong ambao wanataka demokrasia na kutoingiliwa na serikali ya China kwenye demokrasia yao, kuna issue ya Tibet na baada ya hapo kuna mgogoro na Taiwan, Iwapo China itaamua kuichukua Taiwan kimabavu inaweza kushinda pambano lakini ikapoteza vita maana gharama za kiuchumi zitakazofuata hapo ni. kubwa mno, kunaweza kukatokea uharibifu wa miji ya ukanda wote wa mashariki mwa China ambako kuna maendeleo na kuirudisha China miaka mingi nyuma kimaendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye IT marekani amejitahidi kuitumia nguvu kazi ya India. Vitengo vya programming na Call centers za support zipo nyingi sana India kwa kampuni za marekani.
West haikufanya strategic investment India kama ilivyofanya kwa China.

Pili kuna problem ya caste system huko India, system ambayo mtu wa chini ni marufuku kuplay role za watu wa caste ya juu, system hii imeleta social na economical imbalance kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo mkataba uliishapitwa na wakati na PM wa Japan aliishasema wanalenga kubadilisha katiba yao ili wawe na nguvu zaidi kijeshi.

Hiyo mikataba ya kale haiwezi kuwa in force leo ambapo nchi zina sovereignty na vitisho vya silaha za nuclear vikizidi kushamiri. Hata Germany leo Marekani akiwatilia ngumu kwenye mambo ya ulinzi itabidi wajijenge upya kijeshi, hakuna wa kumkataza. Asikudanganye mtu.
Ishapitwa na wakati una elewa maana ha mkataba MKUU

Nakupitia Hio Ama Huo Mkataba Ndio Unakuta US Naapiga Pesa Nyingi JAPAN KOREA Kwakujifanya Anawadhaminia Ulinzi Dhidi Ya KIDUKU

Mikataba Inaheshimiwa Ama Labda Waamue Kujitoa Rasmi Jambo Ambalo Hawajafanya Kama Hawajafanya Maana Yake bado Wanaheshimu Mikataba Nawanaifanyia Kazi

Sio Kisa Mkataba Umesainiwa Zamani Ndio Uache Kufanya Kazi Sababu Ulisainiwa Zamani Kama ndio unawaza hv mkuu unakosea sanaa maana kwa asilimia 80 mikataba mingi yasasa hasa kuhusiana na masuala ya ulinzi na usalama ilisainiwa zamani na unakuta ina zaidi ya miaka 30 sasa hv Mengine Inafika Mpaka 50+



Sent using My COVID-19
 
Ishapitwa na wakati una elewa maana ha mkataba MKUU

Nakupitia Hio Ama Huo Mkataba Ndio Unakuta US Naapiga Pesa Nyingi JAPAN KOREA Kwakujifanya Anawadhaminia Ulinzi Dhidi Ya KIDUKU

Mikataba Inaheshimiwa Ama Labda Waamue Kujitoa Rasmi Jambo Ambalo Hawajafanya Kama Hawajafanya Maana Yake bado Wanaheshimu Mikataba Nawanaifanyia Kazi

Sio Kisa Mkataba Umesainiwa Zamani Ndio Uache Kufanya Kazi Sababu Ulisainiwa Zamani Kama ndio unawaza hv mkuu unakosea sanaa maana kwa asilimia 80 mikataba mingi yasasa hasa kuhusiana na masuala ya ulinzi na usalama ilisainiwa zamani na unakuta ina zaidi ya miaka 30 sasa hv Mengine Inafika Mpaka 50+



Sent using My COVID-19
Hakuna mkatabada humu duniani ambao ni "Sacrosanct" hata wa Russia na former Soviet States ulivunjwa, na ule wa former Yugoslavia ulivunjwa.

Hata hii ya Marekani na waathirika wake haitadumu milele. Hata wa Tanganyika na Zanzibar utakuja kuvunjika tu.
 
Hakuna mkatabada humu duniani ambao ni "Sacrosanct" hata wa Russia na former Soviet States ulivunjwa, na ule wa former Yugoslavia ulivunjwa.

Hata hii ya Marekani na waathirika wake haitadumu milele. Hata wa Tanganyika na Zanzibar utakuja kuvunjika tu.
Ndio maana nikakwambia hapo juu kama mikataba yao haijavunjika ina operate kama awali

suala lakuvunjika lipo na halipingiki kama wataamua kuivunja wanavunja yah ila kwa ss bado ipo kama ilivyo sainiwa.

Sent using My COVID-19
 
Ndio maana nikakwambia hapo juu kama mikataba yao haijavunjika ina operate kama awali

suala lakuvunjika lipo na halipingiki kama wataamua kuivunja wanavunja yah ila kwa ss bado ipo kama ilivyo sainiwa.

Sent using My COVID-19
Naona hatutaelewana, we read from different scripts. Let's put the issue to rest.
 
Huyo jamaa hajaenda kwa vijana wetu mafundi simu na kuona jinsi vijana wetu wanavyozichambua chambua hizo simu na kuziassemble upya bila wasiwasi wowote na kuzifix, sembuse wakipewa training maalum ya kufanya shughuli hizo viwandani.
Computer learning centre S.Africa ni deal japo hatujaona.
Vijana wanatoka wanaweza kutengeneza mifumo mingi hard na software. Hata hivi visimbuzi vya Dstv vinatengenezwa vizur lkn sisi hapa wachache wanafundishwa kutengeneza. Hata gharama ya kitengeneza kisimbuzi cha dstv kinacost kuanzia dola 20.
Bado hatujielewi.
Binafsi soon nitatuma mwizi huko
 
Back
Top Bottom