Kwahiyo Slaa ni mtume au nabii kwako au siyo? kuna nabii aliishi kwa kudanganya wewe acha kuwa zobe?
Umeguswa kwenye ini na ukweli..pole nabii wenu ni mchafu sasa sisi tufanyeje? mleteni nabii mwingine msafi tutaelewana tu.
There is thin line between personal behaviour and altitude
And Potential Public Leader (he wanted to be President)
Niko Tanzania, na Slaa ni tatizo zaidi kwa taifa kuliko faida, sasa hivi anatumika na mafisadi bila aibu..ameanza ku-attack personalities ambazo wewe unazipinga..hana jipya..ni hoax
wewe nani!
Yap God is not unjust,
Hatasahau alichomfanyia mume na mke wa mtu atalipwa vema
Hatasahau uongo na chuki alizopandikiza watu kwa kinywa chake
Hatasahau ahadi yake ya kumtumikia kama padre akasepa...
list goes on..namshauri aombe msamaha kabla hajafa...
There is thin line between personal behaviour and altitude
And Potential Public Leader (he wanted to be President)
Niko Tanzania, na Slaa ni tatizo zaidi kwa taifa kuliko faida, sasa hivi anatumika na mafisadi bila aibu..ameanza ku-attack personalities ambazo wewe unazipinga..hana jipya..ni hoax