The wind of change!

Kwa sababu vijana wengi wa wanaCCM leo hawana kazi nje ya chama, Elimu na ujuzi wameshindwa kupata ajira ktk mashirika binafsi na last resort ndio mkombozi CCM na ndio maana wengi wamefunga tera nyuma ya Ridhwan au Nnauye.

Hata wale mawaziri wenye elimu utu uzima umewakurubia kiasi kwamba hawawezi kupata ajira ktk ulimwengu wa leo wakavuta fedha kama wanazovuta serikalini. Kwa hiyo wakifikiria kuikosoa serikali mwajiri wao watapoteza kivunia tumbo. Na wazee wetu wengi wao wanakula pension ya chama (serikali) kumalizia kumi lao. Na wale wenye ujasiri mkubwa kama wa binti yetu hapa, wanaifahamu mifano ya kina Kolimba ambalo linahitaji moyo mkubwa zaidi ya uzalendo..

Kwa hiyo ukichunguza sana utagundua kwamba Upinzani wa CCM unatoka kwa watu waliajiriwa nje ya serikali, watu wenye kujiajiri, wafanyabiashara na kadhalika lakini wale wote wanaotegemea serikali hawathubutu kuonyesha wazi upinzani kwa sababu roho zao ziko ICU mikononi mwa serikali...

Acha kutukana baba zako na wakubwa zako
 
Hata kama sijui kiingereza ila naweza kuhisi.Mabadiliko ya serikali zambia hayajaanza leo hivyo huwezi kulinganisha na tanzania.The wind of change took place in zambia is not similar to tz.The wind of change in tz is taking place in the ruling party and that wind wil transform the party into the better and the best political party we have ever seen in the continent and in 2015 people wil vote to Magufuri of CCM.WAIT AND SEE.I ASSURE YOU.

Magufuli asiposilimu, bakwata watatoa tamko la kuto kipigiwa kura!
 
What you don't konw is that change of power in Zambia is not uncommon. Zambians have seen three political parties transfer power to one another.


I'm beginning to question your reading comprehension skills. I went through the whole speech, and there was no mention of change originating from Zambia. Is this how we also sign our contracts, which we find fault in reading a clause, Often too late and we all end up facing the unbearable consequence of deciphering our own resources?
 
Back
Top Bottom