fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,379
- 11,523
Mkuu tuambie vikwazo unavijuwaje wewe ili tujuwe tofauti yako na sisi!Nina wasiwasi na uelewa wa watu kuhusu hili neno vikwazo
Mkuu tuambie vikwazo unavijuwaje wewe ili tujuwe tofauti yako na sisi!Nina wasiwasi na uelewa wa watu kuhusu hili neno vikwazo
Umemsahau msemaji wa pentagon Luteni ze kokuyo na msemaji wa Whitehouse@Nalendwa na kina@dudusHizo S- 400 Marekani anaziogopa sana lkn wamarekani waishio Tanzania kama vile nyani ngabu na wengine wengi wanasema hazina kitu wajuzi was mambo hebu tusaidieni hapa lipo ni kipi?
Wenyewe wanayaita machumachuma sijui chakavuHizo S- 400 Marekani anaziogopa sana lkn wamarekani waishio Tanzania kama vile nyani ngabu na wengine wengi wanasema hazina kitu wajuzi was mambo hebu tusaidieni hapa lipo ni kipi?
HahahahahhaHizo S- 400 Marekani anaziogopa sana lkn wamarekani waishio Tanzania kama vile nyani ngabu na wengine wengi wanasema hazina kitu wajuzi was mambo hebu tusaidieni hapa lipo ni kipi?
Marekani inatarajia kuongeza vikwazo katika idadi yake dhidi ya raia wa Urusi zaidi ya 33 wanaojishughulisha na ulinzi na upelelezi wa nchi hiyo.
Muda huohuo, vikwazo vitawekwa katika vitengo vya ulinzi vya jeshi la China, baada ya China kununua ndege za kivita na mifumo ya usalama ya anga kutoka urusi.
Marekani anadai kwamba China amedharau vikwazo alivyowekewa Urusi na marekani