The Truth Has Been Revealed (KQ wana ndege 3 tu)

Fursakibao

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
6,681
11,120
Ni mara kibao hawa jirani zetu wa +254 wamekuwa wakitukejeli kuhusu ndege zetu zinazo nunuliwa.
Wamekuwa wakijinadi jinsi walivyo na ndge nying na za kisasa kumbe wana ndege 3 tu; zingine zote ni za kukodi.

Siri hii imefichuka baada ya wabunge wa kenya kuingilia kati sakata la KQ kutaka kuchukua uwanja wa JKIA .

Nandi Hills MP, Alfred Keter, a friend of the committee, sought clarification of the ownership of the 28 airliners operated by Kenya Airways.
Of these, only three are owned by Kenya Airways, raising questions about who owns the others, said to be leased from private entities.
The airline currently controls 34 per cent of air traffic, down from the 50 per cent it held in 2011, yet it has brought KLM on board as a shareholder controlling 23 per cent.
“KQ is a loss-making entity, hence, cannot be entrusted with the management of a profit-making airport,” PIC chairman Abdulswamad Nassir said.



habari kamili hapa

JKIA takeover: MPs link Kenyatta family

MK254 Njoo huku ukanushe
 
Ni mara kibao hawa jirani zetu wa +254 wamekuwa wakitukejeli kuhusu ndege zetu zinazo nunuliwa.
Wamekuwa wakijinadi jinsi walivyo na ndge nying na za kisasa kumbe wana ndege 3 tu; zingine zote ni za kukodi.

Siri hii imefichuka baada ya wabunge wa kenya kuingilia kati sakata la KQ kutaka kuchukua uwanja wa JKIA .

Nandi Hills MP, Alfred Keter, a friend of the committee, sought clarification of the ownership of the 28 airliners operated by Kenya Airways.
Of these, only three are owned by Kenya Airways, raising questions about who owns the others, said to be leased from private entities.
The airline currently controls 34 per cent of air traffic, down from the 50 per cent it held in 2011, yet it has brought KLM on board as a shareholder controlling 23 per cent.
“KQ is a loss-making entity, hence, cannot be entrusted with the management of a profit-making airport,” PIC chairman Abdulswamad Nassir said.



habari kamili hapa

JKIA takeover: MPs link Kenyatta family

MK254 Njoo huku ukanushe
mimi siwashangai hata wasanii na vitu vizuri wanasema vipo kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipi muhimu na Bora,kununua Ndege Kwa cash then zijiendeshe Kwa hasara Kwa kutumia Kodi za Wananchi au kukodisha ndege na kuziendesha kibiashara kwa faida kubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekuambia KQ wanapata faida ni nani.
FYI mwaka jana walipata hasara ya 4b za KE na mwakajuzi walipa zaidi ya 5b hasara

God save us
 
Aliekuambia KQ wanapata faida ni nani.
FYI mwaka jana walipata hasara ya 4b za KE na mwakajuzi walipa zaidi ya 5b hasara

God save us
Kama nikweli kQ walipata hasara hivo sasa nimeelewa biashara ya ndege haina faida uwanja wa Jomo kinyata uko bzy kwelili kila baada ya dakika 10 ndege kutua au kupaa, sidhhani kama ATCL itapata faida yoyote kwa uwanja wetu ambao umedolora kwa abiria wa nje na pia Tz tunakosa tabaka la kati 'serious middle class' linalo tumia usafiri waanga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nikweli kQ walipata hasara hivo sasa nimeelewa biashara ya ndege haina faida uwanja wa Jomo kinyata uko bzy kwelili kila baada ya dakika 10 ndege kutua au kupaa, sidhhani kama ATCL itapata faida yoyote kwa uwanja wetu ambao umedolora kwa abiria wa nje na pia Tz tunakosa tabaka la kati 'serious middle class' linalo tumia usafiri waanga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usichanganye mafaili ndugu.
Hapa tunazungumzia shilika la ndege na sio uwanja wa ndege.

God save us
 
Ni mara kibao hawa jirani zetu wa +254 wamekuwa wakitukejeli kuhusu ndege zetu zinazo nunuliwa.
Wamekuwa wakijinadi jinsi walivyo na ndge nying na za kisasa kumbe wana ndege 3 tu; zingine zote ni za kukodi.

Siri hii imefichuka baada ya wabunge wa kenya kuingilia kati sakata la KQ kutaka kuchukua uwanja wa JKIA .

Nandi Hills MP, Alfred Keter, a friend of the committee, sought clarification of the ownership of the 28 airliners operated by Kenya Airways.
Of these, only three are owned by Kenya Airways, raising questions about who owns the others, said to be leased from private entities.
The airline currently controls 34 per cent of air traffic, down from the 50 per cent it held in 2011, yet it has brought KLM on board as a shareholder controlling 23 per cent.
“KQ is a loss-making entity, hence, cannot be entrusted with the management of a profit-making airport,” PIC chairman Abdulswamad Nassir said.



habari kamili hapa

JKIA takeover: MPs link Kenyatta family

MK254 Njoo huku ukanushe

Definition of an asset: an item controlled by an entity whose economic benefit flows into the controlling entity. The entity need not actually OWN an asset but the most important aspect is control over it.
 
Definition of an asset: an item controlled by an entity whose economic benefit flows into the controlling entity. The entity need not actually OWN an asset but the most important aspect is control over it.
If you did understand my first 2 paragraphs
You wouldnt have posted this rubish.

God save us
 
If you did understand my first 2 paragraphs
You wouldnt have posted this rubish.

God save us

You are obviously ignorant of the most basic aspects of business and financial management. That's why you think I didn't understand what you posted and rubbish what I posted (well; you wrote "rubish" which means you don't understand English either).
 
Kama nikweli kQ walipata hasara hivo sasa nimeelewa biashara ya ndege haina faida uwanja wa Jomo kinyata uko bzy kwelili kila baada ya dakika 10 ndege kutua au kupaa, sidhhani kama ATCL itapata faida yoyote kwa uwanja wetu ambao umedolora kwa abiria wa nje na pia Tz tunakosa tabaka la kati 'serious middle class' linalo tumia usafiri waanga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbona huelewi?, kuna biashara ya ndege na uwanja wa ndege, JKIA unapata faida, ila KQ ndio inapata hasara, soma hiyo article vizuri acha kukurupuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom