Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
wakina Daby na BonnySure, washkaji wenyewe ndiyo hawa

Kila la kheri mmy najuaga utani siku zote, Mungu awasaidie mfike mbali zaidiAmyn inshallah
Ni kweli maa SISI NI WAPENZI NJE YA JF
nakua mgumu kukubali kwa naniNdiyo maana unakuwa mgumu kukubali eeeh! Unachukulia utani!

We nani kakudanganya? Tafadhali usimpotoshe mkwe wangu.mapenzi sio pesa au vitu kama unamtaka mtu usitangulize vitu
simpotoshi ila namwambia ukweli mambo ya kutanguliza vitu haya sio mazuri kabisa mwisho itakua aibu yakeWe nani kakudanganya? Tafadhali usimpotoshe mkwe wangu.
Si nilishakukubali lakini au kuna mwengine?Mkuu kuna katoto nakanyemelea..Mambo yakiwa super ntakuletea ukaongeze kwenye list
Mkuu nakuja kibaha unipe Mavumba,Weweee wera wera nimechukua no moko penda sana yeye....The all time couple! Since 2012 bado niko naye.....nitadumu nayee kwa nguvu za molaa...View attachment 394087penda sana Angel Nylon...nothing...! I mean nothing will ever come across us...TILL THE END OF TIME![]()
![]()
Kamama ka mjini hako...We nani kakudanganya? Tafadhali usimpotoshe mkwe wangu.

Mimi hapaBaba zenu wako wapi?
kamekuja na nimeshakakubalia, kanajijua kenyeweKwa hiyo hakuna kamtongozo kalikokuja huko pm?
