Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hapo juu kdgo ungeniudhi nikunyanganye dedication,,haya twenzetu kule kny msosi
Msosi umechakachuliwa bana. Tayari ushageuka hamira...tutavimbiwa bure.
Hapo juu kdgo ungeniudhi nikunyanganye dedication,,haya twenzetu kule kny msosi
Msosi umechakachuliwa bana. Tayari ushageuka hamira...tutavimbiwa bure.
kwahiyo tuupotezee??nipe basi chakula ya moyo
Hiyo nayo ni dedication ya pili,,hebu do ze nidful
Halafu bdae mnaenda fanza nini na mama obama????
Wise lady my dear,kitu kizuri kula na mwenzio!huyo wako ukiwa nae akitoka na wenzio tumfaidi bibie,wanaume wachache hawa????layball:
Simuogopi mtu....si unamuona huyu n'chokodhi hapa chini?kwanini isiwe hapa?unamuogopa nani vile??
Wise lady my dear,kitu kizuri kula na mwenzio!huyo wako ukiwa nae akitoka na wenzio tumfaidi bibie,wanaume wachache hawa????layball:
Poa basi nimekumbuka sharing is caring,,,sema nae
Leo huna wivu? Machale is playing...............
ha ha ha ha ha ha, samahani sana Wise Lady?hakuna shida babu Aspirin nimekuelewa sana,asante lakini,tutaongea basi baadaye kama tulivyokubaliana pale ....................LOLlayball:
I hope u guys enjoys it; print it and put on a wall.
Leo wivu uko kny peak,,halafu umeniudhi ujue