The return of CCM

The return of CCM

Mkuu, kuhusu lengo la kushika Ikulu, sioni kitakachowazuia 2015. Cha kujiuliza ni kuwa watakapokuwa huko tutapata tunachotarajia toka kwao? Kasi yao inaanza kututia mashaka. Walitusomea orodha ya mafisadi pale Mwembeyanga, na matumaini yetu ilikuwa mafisadi hao wafikishwe mbele ya haki kujibu tuhuma zao za ufisadi, badala yake leo hii tunaambiwa baadhi ya haohao mafisadi wanaambiwa wavue gamba wavae gwanda, what does this mean?
thats why am telling u am doubting even what will they do tofauti na ccm, hata hilo la kushika nchi halijashika kiivyo bado watu wengi tu ninaowajua ambao hawana imani na cdm. sasa wanaanza kujichafua na propaganda za ajabu kabisa
 
ili nchi iendelee inahitaji,
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4. uongozi bora
tazameni nini tunakosa watanzania. hadi kanchi kama singapore kana bandari tu lakini kapo mbali sana kimaendeleo. endeleeni na porojo shauri yenu
 
Mtaweweseka sana na matakukuruka sana lakini mwisho wenu ndiyo huu. CCM mumewafanyia uovu mkubwa watanzania, na siku zote mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Nyie endeleeni kusema propaganda wakati wenzenu wanasonga mbele.unajua hata mgonjwa aliyemahututi na anakaribia kufa huwa anakuwa na mtumaini ya kupona.sasa na nyie endeleeni kuishikwa matumaini huku mkijua sikumoja mtakufa.poleni sana kwa maradhi mliyo nayo maana hayatibiki hayo dawa yake ni kifo tu mtake msitake.
 
Mkuu, kuhusu lengo la kushika Ikulu, sioni kitakachowazuia 2015. Cha kujiuliza ni kuwa watakapokuwa huko tutapata tunachotarajia toka kwao? Kasi yao inaanza kututia mashaka. Walitusomea orodha ya mafisadi pale Mwembeyanga, na matumaini yetu ilikuwa mafisadi hao wafikishwe mbele ya haki kujibu tuhuma zao za ufisadi, badala yake leo hii tunaambiwa baadhi ya haohao mafisadi wanaambiwa wavue gamba wavae gwanda, what does this mean?

It means ukombozi ni njia ndefu yenye kona pia, wake up if you want to see for yourself otherwise take it from me. Ukweli ni kwamba suala sio CDM 100% ni kwamba watanzania wamechoka na CCM, chadema walichokifanya ni kujitokeza kuongoza jitihada hizi na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa; maana jamii imewaamini na sio kutokana na kuwahi kujitokeza hapana, ni kutokana na kazi walioifanya wakati vuguvugu halianza rasmi au halijakolea. Hapo ndo hoja ya kuwa ukipewa na mungu nani atakunyang'anya??? mtume wala yesu hawawezi. Historia ya CDM ktk kutusemea wanyonge ndio imewaweka nafasi yaliyonayo sasa, wakiacha tu kusema kwa ajili ya wanyonge na taifa, hata UDP/Jahazi Asilia itasimama na kushinda kama watasema kwa ajili ya wanyonge na taifa paseeeeeee.
 
By the look jinsi CHADEDMA wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.

Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.

CCM wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya CHADEDMA ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.

Siasa inaonekana zina watu wake.Kinachotofautisha vyama vya siasa ni hoja za vyama mbele ya umma kwa maana ya itikadi.
Muumini wa itikadi moja anapoiacha na kuikubali yako tayari amekuwa mfuasi wako.
Kwa CDM neno kamanda wanalitumia kama mwana chama ndo maana nimeweka red kwenye hoja yako.
Chukua mfano hata wa dini.

Kuhusu propaganda kila mtu anamtazamo wake huenda wewe ukaona ni propaganda kumbe ndo BEAT YA SIASA na raia wanaikubali kucheza.
 
By the look jinsi CHADEDMA wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.

Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.

CCM wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya CHADEDMA ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.

Kwa mawazo haya bila shaka umeshabihiana na Wassira kwa kila kitu, maono, IQ; analytical capacity etc etc...!!
There is always a third way to a revolution. mind you maisha yako hivi "you get born, you grow up, then you grow old if not senile!! and finally you have to go REST IN PEACE either in haven or burn in hell.
By the same analogy; CCM can not return before it is dead and may be via reincarnation!! otherwise Adieu CCM; kama unabisha uliza uambiwe UNIP ya dr. KK Kaunda Zambia au MCP ya Ngwazi Dr. Kamuzu Hastings banda; President wa muyaya, UMD ya Chiluba na Banda, KANU ya Jomo wa Kenyatta, mpaka mwanae uhuru kaikimbia pia! viko wapi???????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tanzanians should understand that, All change is not growth, as all movement is not forward.. Unfortunately, they are blinded by the M4C thingy not to see this..
 
Back
Top Bottom