Malizia kabisa ".....wataendelea kuwa masikini milele."Hii ndio sababu kwanini masikini wataendelea kuwa masikini.
View attachment 3579273
Malizia kabisa ".....wataendelea kuwa masikini milele."
Hakika kaka.System tu
Ameshakuwa tajiri, huoni anavyotusema sisi masikini.Habari za usiku huu wanabodi wenzangu na pole pia kwa mihangaiko ya shughuli zenu za kila siku
Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo juu kuwa nilikuwa nawaomba members wenzangu wa hili jukwaa kubwa la JamiiForums muweze kunipatia msaada wa kazi kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia au mawazo yoyote ya namna ninavyoweza kupata kazi ambayo nitakuwa nikiifanya kuanzia asubuhi hadi saa 9 alasiri.
Ninaomba kazi au ushauri wa kupata kazi ya kufanya muda tajwa hapo juu (yaani kuanzia asubuhi hadi saa 9 alasiri) kwa sababu mimi ni mwanafunzi wa chuo ambapo masomo yangu huanzia saa 10...
- Funny boe
- ajira tanzania nafasi za kazi
- Replies: 11
- Forum: Jukwaa la Ajira na Tenda
Ulipata kazi?😅😅
Akili finyu dogo , fanyeni kazi tuMalizia kabisa ".....wataendelea kuwa masikini milele."
😆 Big dogHiyo picha imenikumbuka mbali, kulikuwa na Mwalimu mmoja, alikuwa na itikadi kali sana ya Ukomonisti/Ujamaa. 😁
Ulikuwa ukimuuliza ubaya wa ubepari, atakwambia " Upebari ni mfumo ambao mbwa mkubwa mwenye chakula kingi, anakula na kutegemea chakula kidogo cha mbwa wadogo". 😁
Sasa mijibwa ndio poor na rich?Hii ndio sababu kwanini masikini wataendelea kuwa masikini.
View attachment 3579273
Hii ni uongo...chora picha hapo ya mipango & matumizi ya muda na fursa, nitarudi ku-likeHii ndio sababu kwanini masikini wataendelea kuwa masikini.
View attachment 3579273
Na wewe endelea kukusanya visivyokuhusuEndelea kujifariji