The reason why poor stay poor

The reason why poor stay poor

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
12,598
Reaction score
38,930
Hii ndio sababu kwanini masikini wataendelea kuwa masikini.
Screenshot_20260425-214729~2.jpg
 
Malizia kabisa ".....wataendelea kuwa masikini milele."

Ulipata kazi?😅😅
 

Ulipata kazi?😅😅
Ameshakuwa tajiri, huoni anavyotusema sisi masikini.
 
Hiyo picha imenikumbuka mbali, kulikuwa na Mwalimu mmoja, alikuwa na itikadi kali sana ya Ukomonisti/Ujamaa. 😁

Ulikuwa ukimuuliza ubaya wa ubepari, atakwambia " Upebari ni mfumo ambao mbwa mkubwa mwenye chakula kingi, anakula na kutegemea chakula kidogo cha mbwa wadogo". 😁
 
Hiyo picha imenikumbuka mbali, kulikuwa na Mwalimu mmoja, alikuwa na itikadi kali sana ya Ukomonisti/Ujamaa. 😁

Ulikuwa ukimuuliza ubaya wa ubepari, atakwambia " Upebari ni mfumo ambao mbwa mkubwa mwenye chakula kingi, anakula na kutegemea chakula kidogo cha mbwa wadogo". 😁
😆 Big dog
 
Back
Top Bottom