The reason why poor stay poor

The reason why poor stay poor

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
13,370
Reaction score
41,735
Hii ndio sababu kwanini masikini wataendelea kuwa masikini.
Screenshot_20260425-214729~2.jpg
 
Malizia kabisa ".....wataendelea kuwa masikini milele."

Ulipata kazi?😅😅
 

Ulipata kazi?😅😅
Ameshakuwa tajiri, huoni anavyotusema sisi masikini.
 
Hiyo picha imenikumbuka mbali, kulikuwa na Mwalimu mmoja, alikuwa na itikadi kali sana ya Ukomonisti/Ujamaa. 😁

Ulikuwa ukimuuliza ubaya wa ubepari, atakwambia " Upebari ni mfumo ambao mbwa mkubwa mwenye chakula kingi, anakula na kutegemea chakula kidogo cha mbwa wadogo". 😁
 
Nimeshiba ugali Tembele uko na maono yako.!

Hakuna masikini duniani anashiba, ukishiba wewe ni Don

Utajiri ni kuongeza ufanisi usio na ulazima unakulazimu kuwa na wengi wa kuwamudu

Kwa ufupi Unaoitwa Utajiri au ukwasi ni ugonjwa wa Hofu ya njaa ya mda mrefu ya vizazi
 
Hiyo picha imenikumbuka mbali, kulikuwa na Mwalimu mmoja, alikuwa na itikadi kali sana ya Ukomonisti/Ujamaa. 😁

Ulikuwa ukimuuliza ubaya wa ubepari, atakwambia " Upebari ni mfumo ambao mbwa mkubwa mwenye chakula kingi, anakula na kutegemea chakula kidogo cha mbwa wadogo". 😁
😆 Big dog
 
Back
Top Bottom