The Real Hidden World

Yap nikweli
Wala hakuna anayelazimisha hapa kwamba nilazima hiki kitu kifuatwe
Hata katika Mungu Kuna Mhubiri(japo Kila mtu anaweza kuwa mhubiri)Kuna Mwombaji(Japo kila mtu anapaswa kuwa mwombaji)Kuna Mwalimu(Japo kila mtu anapaswa kuwa mfundishaji)
Unapokuwa Unakutana Na Mfundishaji jinsi aakavyoizungumzia Biblia Ni Tofauti kabisa na Mhubiri.
Napia Kwa msikilizaji/Mfundishwaji sio lazima afuate kile ambacho Anafundishwa na kuhubiriwa
Anapaswa kuchuja na kutafakari kwa umakini zaidi.
Sasa Mungu ndiye anaweza kukujaalia hayo maarifa ya utambuzi lipi jambo baya au lipi jambo zuri.
Lakini hayo maarifa Mungu hayaweki kwa ku-force akilini mwako anaweka kwasababu wewe umeonyesha unayahitaji(Umeyatafuta Kwakwe)
Ndio maana kuna wahubiri wewe mwenyewe kutokana na jinsi anavyohubiri unajua na kutambua hapa Hakuna Mungu wakweli Na wakati huohuo anakuwa anawaumini ambao hawatambui kweli unayoijua wewe.
Kwahiyo Ukweli unapaswa kuwekwa hadharani atakayeuchukua sawa atakaye uacha sawa pia.
Ukisoma Vizuri kila Mda yangu hapo juu Na vitu nakupa tahadhari kabisa kwamba hapa unaweza kupotea ama hapa unaweza kuokoka.
Kuna Jambo La Ziada Kila Mtu anapaswa kulijua japo sio lazima kulijua.
Nimekuelewa vizuri sana pale juu maoni yangu ilikuwa ni Nyongeza tu wala sijapingana nawewe
 
Mfano Mmoja Mzuri ni huu Hapa.
Nilikuwa napata shida sana kujua Maswali Haya
Israel Ananafasi gani katika Maisha Yangu a Ukristo?
Baraka na Ukombozi kupitia israel unahusianaje na kupitia Yesu?
Je Nikweli Israel bado yupo Utumwani hadi Sasa?
Kama ndio hao waliopo Je wanaenda sawa na Maandiko?
Hayo ni baadhi ya maswali nilikuwa najiuliza sana, kila nikiuliza naumizwa kichwa tu, Wala hakuna aliyeweza kunipa majibu yakutuliza moyo wangu.
Ila nilipoamua kuchimbua mwenyewe ndipo nikafanikiwa kujua mambo ambayo kwa uhalisia hakuna mwanadamu angeweza kunieleza kwa ufasaha nikaelewa namna ile.
Na wakati huohuo wapo wakristo hawajajua na wengine wanajua pia, Lakini bado haijadhuru ukristo wao.
Kwahiyo kuna mambo si a msingi kuyafuatilia na kuyajua ikiwa mhusika haujaona um-singi wake na umuhimu wake
 
Moyo wako upo huru Sana
Ubarikiwe
 
Cool Bro Ila anza kwa na hili Who Is Lilith?
Cheza na google a lot of data you will have
Lilith kaingiaje na mada yako mkuu!?...
Me nilizani umebase kwenye fates kumbe umegeneralize kwenye mystical histry!..
Sawa basi awagoogle na Titans, Olympians, Nike, Caerus, Ores, Amnet, Isis, Holy grail, Mayans, Atlantis, Oddysesius, Cronus!!..
Should i continue listing?...
 

Asanthe sana Bro
Unajua shida ni hii hapa kutambua ipi ni mystical history na ipi sio.
Laba kwa nyongeza Tafuta kitabu cha mtu anaitwa Enoch Kama wewe ni Mkristo nadhani utakuwa unamjua ama umewahi kusikia habari Zake.
Huyu jamaa kuna kitabu alikiandika lakini havipo katika biblia
Ukipata Kitabu chake ukikisoma unataelewa nini nimeongelea na hapo utakutana na Fates haswaaaa.

nikweli kwa jinsi ulivyoongea lakini mtu asipojua zinakuwa nikama hadithi ambazo tulihadithiana utotoni kama baba wa taifa aliweza kubadilika kuwa umbile alilotaka wakati wa vita.
Ila Ukizidi kukua kwa kuangalia hizo hadith huwezi kuujua ukweli, ila ukiamua kuutafuta ukweli ndipo utajua kwanini nasema kuna ugumu kupata tofauti katika fates history na mystical history
 
Kinaitwa THE BOOK OF ENOTH kama sijakosea, tafuta na THE BOOK OF ESTER.
Ila Ukizidi kukua kwa kuangalia hizo hadith huwezi kuujua ukweli, ila ukiamua kuutafuta ukweli ndipo utajua kwanini nasema kuna ugumu kupata tofauti katika fates history na mystical history
Kwanza hakuna Fates history lkn kuna mystical history!..
Lakini ukiongelea FATES ni kama hiko kitabu ulichosema ushawahi kiona hapo unakua haujaongelea historia tena ni kitu ambacho umekiona na kupitia chenyewe unaweza angalia yatakayokuja mbeleni!..
 
The Book Of Enoth Sijajua Na Sina Uhakika sana maana sijawahikukitafuta Pia The Book Of Ester Kipo Katika Biblia Hakikutolewa Na Nimekisoma Mara Nyingi sana Kwa Nyakati tofauti tofauti.
Ila Muhimu Kitafute The Book Of Enoch Kipo Wala hakiuzwi Na ni bure kabisa na ndicho ambacho hakikuwekwa katika biblia vipo na vingine kama nane hivi.
Ila ukianza na hicho itakuwa vema sana.

Ila Nimejifunza sana Watu wengi ambao wanasoma Theology Huwa wanafaidi sana kuzidi sisi tunaoisubiri Biblia tu mda wote.
Kuna Kitabu Kinaitwa Outline Studies in Christian Doctrine Kiliandikwa na Rev.George P. Pardington, PH.D Ukikipata hiki kitakupunguzia mzigo wa kuisoma Theology.
Ila Kumbuka Dini Na Theology ni Vitu Viwili
 
Hicho kitabu unacho nirefer nimeshakisoma bahati mbaya nipo far na access ya PC ningekutumia na hivo vingine kama vya ester na Magdalene!..
All in all good luck on your expedition, only don't forget your grounds!..
 
Hicho kitabu unacho nirefer nimeshakisoma bahati mbaya nipo far na access ya PC ningekutumia na hivo vingine kama vya ester na Magdalene!..
All in all good luck on your expedition, only don't forget your grounds!..

Asante kwa mrejesho wako, Ukipata mda viweke hapa kwa faida ya wengine maana mimi sina soft copy za hivyo vitabu.
Pia naona leo nakutana na watu wachache miongoni mwao.
Ambao wamekutana na nondo hasa hicho kitabu na akakisoma akabakia the same.
Kweli Ni ajabu.

Ila katika yote vema ukajifunza haya Tunaishi kwa Imani Tu.
Iwe Muovu anaimani hata Mwokovu anaimani pia.
Hata yule asiyeamini uwepo wa Mungu naye ndiyo imani yake sambamba na mtu ambaye anaamini Uwepo wa Mungu.

KWa faida yako Na wengine Hata Biblia tu sio Uthibitisho Juu ya uwepo wa Mungu(Japo tunaishi kwa kukaririshwa kuwa Biblia yaweza Kuthibitisha Hayo)
Ndio Maana Kupinga hoja au kuiwekea ukinzani kwa jinsi unavyoelewa wewe sio jambo la kujitosheleza hata siku Moja.
Nikiwa nasoma kitabu kimoja kinaitwa How To Handle Difficult People Nilijifunza jambo moja kubwa na lamsingi jinsi ya kujiepusha na migogoro yakuwa mbishi.
Kwanza unapaswa binafsi usipinge Hoja(hata kama hoja hujaikubali maana unataka ujifunze na kuweka ukweli pasipo ubishi) baada ya hapo unapaswa kuondoa ule ukweli ulionao katika akili yako na kuuweka pembeni kwanza(Hii inakufanya jambo lile usilione kikwazo kwako)Kisha ingia katika hilo jambo jifunze kama geni Hii itakufanya ulijue kwa uhalisia wote pasipo kuwa na ukinzani wowote utajua vizuri wapi udhaifu wake upo na wapi ukweli wake upo.
Inakuwa ni kama mtoto Uliyemlea wewe mwenyewe binafsi kama hana tabia ya wizi hata akiiba utaamini ni baati mbaya tofauti na wale ambao hawajamlea.
Kisha sasa unarudia ile kauli yako na kuime-merge hapo sasa ndipo unafikia mwafaka juu ya hoja mbili zilizo za tofauti.

Kubishia jambo na kulipinga haina maana kusema linakuwa la uongo la Hasha
Ukweli ni Uongo Na Uongo Ni Ukweli Pia.
Ukweli Unakuwa Ukweli pale unapokuatana na watu wanaoamini ukweli huo,
Na uongo unakuwa uongo pale unapokutana na wale wasioujua kama ni ukweli.
Mfano kuna mtu anatoa ushahidi wa uongo ambao haukuwepo kabisa na unakubalika kuwa ni ukweli.
Na hauwezi kupotoshwa hata siku Moja.
Wewe ni Mkristo namimi ni Mkristo Tunaamini katika Yesu Kristo lakini wakati huohuo wengine hawaamini hata neno lake moja sababu ni kwamba ukweli waYesu Kisto Uligusa mahali ambapo hawauamini Ukweli(Wajazwa na lile wanalolijua wao kua ni kweli hawawezi kuongeza lingine)
Naweza ongea mengi sana Broo Ila acha niishie hapa.
 
Ple tafuta muda urudi ujilipue hapa. Tunahitaji kujifunza
 
Bro kuna vitu mob vinafichwa maana yake. Mfano unakuta tukio fulani linatokea ila maana yake ni tofauti kabisa na mnavyosikia media zikiripoti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…