The Real Hidden World


unaweza astral projection or OBE na je umefanikiwa ku open third eye?
 
unaweza astral projection or OBE na je umefanikiwa ku open third eye?
I don't even try to do it.
Kupitia maombi unaweza kujua mambo mengi(nafanya hivyo kutokana mimi ni Mkristo)
So najua ni mpaka pale Mungu anapoamua kunijulisha jambo nami ndipo najifunza.
lakini tofauti na hapo ni kwamba mtu anaingia katika uchawi na mambo ya kishirikina.
Siku nitaleta juu ya mtu ambaye nimefanikiwa hata kukutana na watu wake wakaribu ambaye alifanya hiyo kitu.
When you open it there is no way to close it
 

There are only two sources of spiritual power: God and Satan. Satan has only the power that God allows him to have, but it is considerable (Job 1:12; 2 Corinthians 4:4; Revelation 20:2). To seek spirituality, knowledge, or power apart from God is idolatry, closely related to witchcraft. First Samuel 15:23 says, “For rebellion is as the sin of witchcraft, and stubbornness is as iniquity and idolatry.” Witchcraft is Satan’s realm, and he excels in counterfeiting what God does. When Moses performed miracles before Pharaoh, the magicians did the same things through demonic power (Exodus 8:7). At the heart of witchcraft is the desire to know the future and control events that are not ours to control. Those abilities belong only to the Lord. This desire has its roots in Satan’s first temptation to Eve: “You can be like God” (Genesis 3:5).

Since the Garden of Eden, Satan’s major focus has been to divert human hearts away from worship of the true God (Genesis 3:1). He entices humans with the suggestions of power, self-realization, and spiritual enlightenment apart from submission to the Lord God. Witchcraft is merely another branch of that enticement. To become involved in witchcraft in any way is to enter Satan’s realm. Seemingly “harmless” modern entanglements with witchcraft can include horoscopes, Ouija boards, Eastern meditation rituals, and some video and role-playing games. Any practice that dabbles in a power source other than the Lord Jesus Christ is witchcraft. Revelation 22:15 includes witches in a list of those who will not inherit eternal life: “Outside are the dogs, those who practice magic arts, the sexually immoral, the murderers, the idolaters and everyone who loves and practices falsehood.”
 


Umesema Vema Broo Nikweli kabisa na ndivyo kupitia Biblia inavyosema na ndio uhalisia wenyewe.
Ila kuna jambo nilazima ulijue
Kupitia shetani ni lazima ujifunze na kupitia Mungu nilazima ujifunze
Lakini ulazima wakujifunza upo nikwawale ambao hajazaliwa moja kwa moja na bahati hiyo yakuwa activated
Mfano Kuna mtu anazaliwa akiwa tayari ni mchawi na kuna mtu anazaliwa akiwa tayari ni chaguo la Mungu.
Akizaliwa akiwa mchawi hana msaada wa kujifunza uchawi tena bali atazidi kukua katika hali ya uchawi hadi uzeeni na kifo chake.
Na mtu akizaliwa katika hali ya kuchaguliwa na Mungu moja kwa moja utashangaa jinsi ambavyo anakuwa anatembea katika utukufu wa Mungu pasipo hata kufundishwa na mtu wa kupitia madarasa ya mafunzo ya biblia.
Atalieleza vyema neno la Mungu hata kuzidi wachungaji na maaskofu.
Lakini sasa tofauti na hapo ni lazima mtu mwingine achukue nafasi ya pekee kutafuta ile iliyo kweli ya Mungu au shetani.
Mfano Mtu unapaswa kusoma Neno la Mungu kila Siku, Kuomba Kila Siku tena pasipo Kukoma.
Kwahiyo Zile nguvu za Rohoni Zipo katika Nyanja Kuu Mbili Kuzaliwa nazo katika Asili Ya Pili Kujifunza.

Angalia Uhalisia Wa Kibinaadamu Hapa Ambao shetani anautumia na Mungu anautumia Pia.
Kua kitu kinaitwa Hisia
Mtu ambaye anaweza kuzimosa vizuri sana hisia zake ndio wale tunasema anamachale(Au Anandoto)
Unaweza ukawa unataka kwenda mahali lakini nafsi yako ikawa nzito sana ukaamua kulazimisha baadaye unapatwa na jambo baya huko kisha unajilaumu ""halafu moyo ulisita kweli kwenda huko lakini nilipuuzia""
Sasa vitu kama hivi nizawadi ambazo mwanadamu anapewa na Mungu bure kabisa ila sasa niwewe ujue kuitumia ipasavyo.
Kuna mahali Unasoma katika Biblia Anakuambia "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Maana yake wokovu tunao nguvu tunazo Uzima tunao lakini maarifa ya jinsi gani utembee katika hayo yote ndio inakuwa vigumu.
Ndio maana kuna mtu anaweza kuomba kwa siku saba akajibiwa na mwingine dakika tu na akajibiwa.
Kinachokuwepo hapo ni viwango vya jinsi gani maarifa yako yamefunguka kujua namna ya Kumtafuta Mungu.
Kwahiyo Kuna upana sana namna ya kujua na kutafuta mambo ya sirini.
Hata katika dini Sio wote watafanikiwa kuzijua siri za wokovu japo kila mtu anaweza kuokolewa
Ni lazima mtu uwe na juhudi za ziada tena ndipo unaweza kuujua ukweli halisia nini Mungu anataka tufanye.

Kuna wakati hatuishi kwa kuzijua na kuzitambua sheria bali tunaishi kama watumwa tukiwa tumejibebesha sheria(Na hata katika Neno la Mungu Vivyo Hivyo)
 
Hapo juu mwanzoni uligusia bara la America na watu wa kale,kuwa sio wahindi wekundu,unaweza kunipa ilmu hapa ktk hili?ahsante
 
Maisha ni siri, maisha ni safari binafsi,kila mtu ana safari yake,ndio maana hakuna mtu ana fanana na mwingine.Fahamu safari yako,uanze kusafiri ktk reli yako.
 
Mkuu hivo vitabu uneweka PDF kabisaana jinsi ya Ku download inasumbua kwa sisi wenye tecno
 

1. Kwanza kabisa unahitaji kuisoma tena post yangu hapo juu maana ni wazi tayari uko katika realm hiyo ya kinguvu za giza unayolazimisha iwe legitimate ingawa haiwezi kuwa hivyo kamwe.
2. Mwanadamu ameumbwa na Mungu lakini kwa uasi na kushawishiwa na bwana giza akatafuta hayo unayoyaita marital ya ziada etc. hakubaki kama alivyo. He dies. There was a chance for him to live forever. Kufa hakukuumbwa ndani ya mwanadamu mpaka alipochagua kufa akitumaini kupata maarifa ya ziada. Namna pekee ambayo mwanadamu angeweza kukiepuka kifo ilikuwa ni kuamini kuwa asingekufa kwa kumtii Mungu na uhai wa milele ungehakikishwa pale. Kutafuta kwake maarifa unakotuconvince hapa kuwa kutatufanya kuwa bora zaidi ndiko kulikoanzisha ujinga wake unaodumu mpaka Leo. Hakumwamini Mungu tu!
3. Hakuhitaji maarifa mengine yoyote zaidi ya kuamini kuwa Mungu angeshughulikia mambo mengine yote. Mungu bado anasisitiza hayo hayo leo kuwa watu wamwamini yeye. Hakuna haja ya kutafuta the third eye, machale au sijui giza gani. Yeye ndie machale, yeye ndie third and fourth and nth eye kama umepitia maths.
4. Uchawi na kuzaliwa kwenye uchawi ni Kamba na minyororo inayomfunga mtu kwa utashi wake. Anaweza kuvikata ingawa ni kwa gharama kubwa ya kimwili (ambao unakufa anyway). Sikia kwa nguvu zinazotoka kwa Mungu na utashi wa muhusika uchawi unatoka.
5. Mwanadamu ahitaji kujua Siri zaidi ya ukweli kuwa yeye ni mnyonge na anaweza kusukumwa pepo mbalimbali na kuwa Mungu muumbaji anao uwezo wote wa kumpitisha katika pepo hizo salama.
6. Soma tena post yangu huku ukiitafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…