The most efficient Governments


Non-Shatter...unapoteza muda wako bure tu na hii interahamwe....kwa taarifa yako tu sio kwamba hajui wala haelewi unachotaka kusema ila kwa sababu ya chuki zake binafsi na anything positive about rwanda hawezi kukuelewa...amegubikwa na chuki dhidi ya wanyarwanda kiasi kwamba hawezi kuona logic...good luck bro
 
Last edited by a moderator:
Wewe kweli hujitambui, sababu za Tanzania kuitwa kichwa cha mwendawazimu kwenye maendeleo ukilinganisha na baadhi ya nchi za Afrika huzijui? Unaishi wapi wewe?

Sasa kidooogo unakwenda kwenye mstari, ulichotakiwa kuhoji ni hilo swali KWA NINI TANZANIA IPO CHINI? Hilo ndio la msingi. Sio jinsi ulivyofanya wewe kuuliza swali hilo halafu unaunga sababu zako unazoshindwa kuzithibitisha.
 
Efficiency au ufanisi ni uwianowa matokeo kwa matumizi. Yanapimwa kwa asilimia, desimali au namba kutegemeanaupendavyo. Mwenye matokeo makubwa na matumizi madogo ana uwezo wakuwa juukwenye hicho kigezo.UFANISI HAUHUSIANI NA UKUBWA WAUCHUMI WALA UTAJIRI AU UMASIKINI BALI MAARIFA NA MAADILI KAMA JUHUDI ZIKO SAWA. MFANO MAREKANI IKIZALISHA DOLA BILIONI 10KWA KUTUMIA DOLA BILIONI 100 (efficiency 10%) itakuwa chini ya Rwanda itayozalishadola milioni 100 kwa kutumia dola milioni 500 ( efficiency 20%).Kuna mtu alijitetea eti Kigalikusafi kwakuwa ni mji mdogo kuliko Dar lakini alisahau Dar ina walipa kodiwengi kuliko Kigali. Ndiyo efficiency hiyo ya aidha kukusanya kodi i.e. MAKUSANYOYA KODI / POPULATION YA WENYE UWEZO WA KULIPA KODI, kuifikisha kodi MAKUSANYOYA KODI/ MAKADIRIO(ASSESSMENT) YA KODI, n.k. Tujirekebishe tutafika mbali.
 

Efficiency au ufanisi ni uwianowa matokeo kwa matumizi. Yanapimwa kwa asilimia, desimali au namba kutegemeanaupendavyo. Mwenye matokeo makubwa na matumizi madogo ana uwezo wakuwa juukwenye hicho kigezo.UFANISI HAUHUSIANI NA UKUBWA WAUCHUMI WALA UTAJIRI AU UMASIKINI BALI MAARIFA NA MAADILI KAMA JUHUDI ZIKO SAWA. MFANO MAREKANI IKIZALISHA DOLA BILIONI 10KWA KUTUMIA DOLA BILIONI 100 (efficiency 10%) itakuwa chini ya Rwanda itayozalishadola milioni 100 kwa kutumia dola milioni 500 ( efficiency 20%).Kuna mtu alijitetea eti Kigalikusafi kwakuwa ni mji mdogo kuliko Dar lakini alisahau Dar ina walipa kodiwengi kuliko Kigali. Ndiyo efficiency hiyo ya aidha kukusanya kodi i.e. MAKUSANYOYA KODI / POPULATION YA WENYE UWEZO WA KULIPA KODI, kuifikisha kodi MAKUSANYOYA KODI/ MAKADIRIO(ASSESSMENT) YA KODI, n.k. Tujirekebishe tutafika mbali.
 

Nimeipenda hii, bango kama hizi ndio sababu ni vigumu kukata tamaa na JF, bado humu kuna great thinkers.
 

Mahesabu yako mbona makali mno, iweje utumie fedha nyingi kuzalisha ndogo? pili, hata kama tukichukulia mahesabu yako yamekaa sawa, kuna factors nyingi umeruka chiefly bado utarudi kwenye eneo/size ya nchi. Ndio maana mataifa yanayoongoza hapo ni madogo madogo. Mfano ukizungumzia infrastructure, utalinganishaje efficiency ya matumizi ya maintainance ya barabara za TZ na Rwanda? Statistically barabara zote za Rwanda kama zingekuwa TZ zingekuwa zimetiwa lami! Ni rahisi kuwa effient kwenye taifa dogo kuliko kwenye taifa kubwa.
Pili, Rwanda inategemea misaada kutoka nje ya nchi ambazo imezipita kwenye gov efficiency, hilo linamaanisha nini? obviously kuwa gov efficiency alone sio kila kitu. Ndio maana Rwanda inaongoza kwa gov efficiency lakini raia wake wanakamatwa kila siku wakitaka kujiorodhesha kwenye daftari la wapiga kura ili wawe watanzania, kwa nini wanakimbia efficiency ya serikali yao kuja kwenye nchi isiyo na ufanisi ya Tanzania?
 
Wewe kweli hujitambui, sababu za Tanzania kuitwa kichwa cha mwendawazimu kwenye maendeleo ukilinganisha na baadhi ya nchi za Afrika huzijui? Unaishi wapi wewe?

wewe sio raia kabisaaaa, kichwa cha mwendawazimu ni msemo aliotengeneza rais wa awamu ya pili Ali hassan Mwinyi kuhusu timu yetu ya mpira Taifa stars. It has nothing to do with maendeleo at all! Rudi kwenu tu mzee.
cc: JustDoItNow
 
Last edited by a moderator:

Kwa bahati mbaya mods wamefanya mambo yao sioni ume-quote hoja gani niliyoitoa maybe unaweza kunikumbusha.
 
Kwa bahati mbaya mods wamefanya mambo yao sioni ume-quote hoja gani niliyoitoa maybe unaweza kunikumbusha.

Uliorodhesha kumi bora na kuiponda Rwanda kwamba inapokea misaada. Na mimi nikakuuliza uonyeshe nchi yoyote kutokea Afrika iliyofaulu kufikia hapo, iwe ndogo au kubwa, iwe inapokea misaada au la.

Hii Hapa



Quiz: Taja nchi moja kati ya hizo hapo juu yenye sifa zifuatazo tofauti na wenzake kwenye hiyo orodha:
1. Inategemea misaada.
2. Ina raia wakimbizi.
 
Angalia jinsi unavyoonyesha upumbavu wako, kwa taarifa yako kichwa cha mwendawazimu hutumiwa pia kwenye uongozi mbovu nchini na maendeleo finyu ukilinganisha na nchi nyingine za bara hili.

wewe sio raia kabisaaaa, kichwa cha mwendawazimu ni msemo aliotengeneza rais wa awamu ya pili Ali hassan Mwinyi kuhusu timu yetu ya mpira Taifa stars. It has nothing to do with maendeleo at all! Rudi kwenu tu mzee.
cc: JustDoItNow
 

Nadhani efficiency inategemea na complexity na ukubwa wa serikali. Kuna nchi kupata huduma fulani lazima upitie series of steps. Kwa nchi ndogo kama rwanda kuwa efficient is not a big news.
Na nchi zilizo kumi bora zote ni ndogo, inaonesha jinsi gani udogo unavyo-facilitate efficiency. M
 
Last edited by a moderator:
Angalia jinsi unavyoonyesha upumbavu wako, kwa taarifa yako kichwa cha mwendawazimu hutumiwa pia kwenye uongozi mbovu nchini na maendeleo finyu ukilinganisha na nchi nyingine za bara hili.

Ndio maana nikasema rudi tu kwenu. Hata huelewi kuwa kichwa cha mwendawazimu mantiki yake ni nini. Hebu elezea how? Pili, Rwanda ndio nchi pekee ya Africa kwenye top 10, kwa hiyo i guess kwako hata South Africa, botswana, namibia nazo zina uongozi mbovu na maendeleo finyu. Rwanda pia inaongoza kwa raia wake kukimbilia nchi za jirani hapa EA bila vita! So i guess wahamiaji haramu wanaokamatwa wakitaka kujiandikisha kwenye BVR wanakimbia maendeleo ya Rwanda wanakuja huku kwenye kichwa cha mwendawazimu!
 
Uliorodhesha kumi bora na kuiponda Rwanda kwamba inapokea misaada. Na mimi nikakuuliza uonyeshe nchi yoyote kutokea Afrika iliyofaulu kufikia hapo, iwe ndogo au kubwa, iwe inapokea misaada au la.

Hii Hapa

Asante kwa kunikumbusha. My argument haikuwa kuiponda Rwanda kwa kupokea misaada bali ilikuwa kuitenganisha Rwanda na hizo nchi zingine kwenye hiyo top 10. Ndio maana kigezo kilikuwa "sifa zifuatazo tofauti na wenzake katika hiyo orodha". Nadhani maneno hayo yalikupita.
Lengo lilikuwa kuonyesha jinsi efficiency isivyokuwa na maana kama itachukuliwa peke yake, kama ambavyo some people wanafanya humu ndani ili kuizodoa TZ.
 
Hapa umeandika upumbavu wa hali ya juu wala sitapoteza muda wangu. Acha kujifungia ndani toka nje iili ujue misemo mbali mbali inavyotumika nchini. Kichwa cha mwendawazimu kinatumika katika mambo mengine mengi tu na si mpira pekee yake kama unavyodanganya hapa.

 

Elezea msemo original as applied to football ulimaanisha nini na how does the same relate to maendeleo?
 


non-shatter, nimekuambia unaumiza kichwa chako na huyu mnyarwanda interahamwe. you will never win. wasomi humu wameshakuelewa.
 
Last edited by a moderator:
Interahamwe ime tag wenzake afu wamekula kona baada ya kuona dozi ni nzito, hahaha
 
Na kuna watu kazi yao kutuletea propaganda za Rwanda, yaani wenyewe ni Rwanda tu, ngoja watakuja hapa labda waogope kwa kuwa nimeshawasema. :teeth:

Hawa wakina murutongore ni warwanda kwa hiyo si ajabu kutetea sana nchi yao kuliko zingine, kwa nini ww hutetea kabila 1 ktk nchi yako na kuliponda lile jingine?! Si nasikia yale mambo yalishaisha!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…