Aiseee,katika vitu vitakavyo kucheleweshea mipango yako ni hilo unalolifanya,.binadam sio wa kumshirikisha kila kitu,chagua mtu/watu muhimu kwako na sio kila mtu wa kumwambia au kumshirikisha unalotaka kufanya au unalolipitia...kuwa makini sio watu wote ni wema au wazuri..
Tena tuache kupuuzia ndoto tunazoota,zingine tunapewa ujumbe,lakini kwakuwa ni ndoto watu hupuuzia..