Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Documentary nzuri sana!First class and well narrated! Sijui kama bongo tuna uwezo wa kutengeneza kitu kama hichi. Hii imenifundisha mengi na kuniacha na maswali kibao!
Moja wapo ni hili: Tz ingekuwa vipi kama Nyerere angekufa mapema kama Kenyatta? Hope u enjoy this as i did!
Moja wapo ni hili: Tz ingekuwa vipi kama Nyerere angekufa mapema kama Kenyatta? Hope u enjoy this as i did!
Last edited by a moderator: