Hujajibu swali . . .
Kuna Swali Aaa na Bee
Swali Aaa: Umenipigia na nani?
Swali Bee: Mwali?
La pili umeshajibu. La kwanza bado.
Superman & Lizzy.
Naona maksi imekata katu ... duhhhhhh
Ni 81% Mkuu. Kama unampenda binti mweleze kilicho ndani ya mtima wa moyo wako.
NAKUTAFUTa!!!!
AfroDenzi + Superman = 58%
Duh hakuna hata moja wa kupita 80%. Washa nirudi kijijini nikachome Mkaa. Ishakuwa gundu tena. Watu wamepindaa!
una umbea ??? teh teh teh lol
More like TAARIFA.
Na nnataka pesa ya soda, tena fanta ya kwenye chupa.
taarifa staki..
imbea nakuja..
ntakupa fanta ya kwenye kopo ni bora kwa afya
Kama hutaki SIKUPI. . . na nikiwa naingua jua kule naniiii na kina naniiiii usiniombe ushahidi.
Hizo nifujo sasa . . . . lol
Ila sijui kama wana miguu mizuri uko kijijini teh tee teeh
Hizo nifujo sasa . . . . lol
Ila sijui kama wana miguu mizuri uko kijijini teh tee teeh