Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 129
mh! wee nawe!Mmekosa vya kuandika? hii habari imeletwa mara ya tatu katika nyuzi tatu tofauti. Mnanchekesha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh! wee nawe!Mmekosa vya kuandika? hii habari imeletwa mara ya tatu katika nyuzi tatu tofauti. Mnanchekesha!
<br />
<br />
Tz haina rais kuna mgawaji wa uhuru na mali zetu kwisha.
<br />Si vibaya Rais kupewa zawadi jamani au? kwani yeye nani mpaka asipewe zawadi. Mi nadhani zawadi alistahili ila sijaona kama inaendana na rushwa kwa kweli.............. Ila hongera zake kwa kupokea zawadi ya hivyo vi suti.......Naona labda aliishiwa pesa jamani.