Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,531
Kun tatizo ambalo nimeliona sana kipindi hiki
Kuna mabinti wengi sana ambao wanaona ni sawa na kawaida kabisa kuwa na uhusiano na mume wa mtu na vijana ambao pia wanaona ni sawa kabisa kuwa na uhusiano na mke wa mtu.Tena kwa ujasiri kabisa wanasema kwaba WAKO IN LOVE
Hili swala limefanya nijiulize ni nini kinaendelea katika jamii yetu na mfumo wa malezi?Zamani mtu kuwa na uhusiano na mke/mume wa mtu lilikuwa ni jambo la aibu na lilifanyika kwa siri kubwa sana ila sasa hivi watu kabisa wanatunishia misuli wale wake au waume halali.
Imefikia mahali mpaka unashindwa kuelewa iwapo ni utamaduni au ni tabia ya mtu.
Mimi binafsi nimeshuhudia cases kama hizo na kuna binti ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 22 tu na TAYARI ameshazaa na waume za watu wawili,amevuruga Ndoa ninazofahamu mimi nne na nyingine zimeponea chupuchupu.Imefika wakati nikafikir huyu binti anamatatizo ya akili kwa sababu anapokuwa na mume wa mtu anakuwa na ujasiri wa ajabu sana(Anamfuata Mwanaume mpaka nyumbani kwake na kama akiona mke anammudu basi anajitambulisa kabisa kama mke mwenza.Ninajiuliza anapata wapi ujasiri huu?
Tujadili hapa ili kwa pamoja kuhusu hii tabia,sababu zake,madhara yake na namna ya kuirekebisha.
Kuna mabinti wengi sana ambao wanaona ni sawa na kawaida kabisa kuwa na uhusiano na mume wa mtu na vijana ambao pia wanaona ni sawa kabisa kuwa na uhusiano na mke wa mtu.Tena kwa ujasiri kabisa wanasema kwaba WAKO IN LOVE
Hili swala limefanya nijiulize ni nini kinaendelea katika jamii yetu na mfumo wa malezi?Zamani mtu kuwa na uhusiano na mke/mume wa mtu lilikuwa ni jambo la aibu na lilifanyika kwa siri kubwa sana ila sasa hivi watu kabisa wanatunishia misuli wale wake au waume halali.
Imefikia mahali mpaka unashindwa kuelewa iwapo ni utamaduni au ni tabia ya mtu.
Mimi binafsi nimeshuhudia cases kama hizo na kuna binti ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 22 tu na TAYARI ameshazaa na waume za watu wawili,amevuruga Ndoa ninazofahamu mimi nne na nyingine zimeponea chupuchupu.Imefika wakati nikafikir huyu binti anamatatizo ya akili kwa sababu anapokuwa na mume wa mtu anakuwa na ujasiri wa ajabu sana(Anamfuata Mwanaume mpaka nyumbani kwake na kama akiona mke anammudu basi anajitambulisa kabisa kama mke mwenza.Ninajiuliza anapata wapi ujasiri huu?
Tujadili hapa ili kwa pamoja kuhusu hii tabia,sababu zake,madhara yake na namna ya kuirekebisha.