Mmmmmmhhhh basi ni vigumuHuwezi kumjua kwa kupewa jibu na watu wanaotumia akili iliyoumbwa na yeye kutafakari.Ili umchunguze ilibidi uwepo kabla yake au uwe na akili kumzidi.Pia inabidi uujue ulimwengu wote toka milky way mpaka galaxies nyingine kabla ya kuanza uchunguzi wako juu yake.Kisha jiulize kabla ya hapa tulikuwa wapi na hiyo wapi ilikuwa wapi.
MsaidieMaswali haya yaliwashinda MAGWIJI wa science toka kina GALILEO,kaka utaumiza kichwa chako bure.MANDHALI UMEZALIWA Tanzania muhimu kwako ni kesho utakula nini na utapata wapi hela ya kulisha familia FULL STOP!!!!!
Ahsante sana mkuu nimepata mwelekeoking Regnar katika tamthilia ya Vikings alimuuliza mfalme mwenzake ambae alikua mkiristo kua je wana uhakika gani kama miungu wanayoiamini ipo ? mwisho akamilizia kua Miungu ni zalio la fikra itakanayo na hofu ya binadam hasa katika maswali magum ambayo hana majibu yake hivyo basi hujukuta anamtumainia na kumtanguliza Mungu.
Mimi sijui nani mkweli na nani muongo hata mimi bado natafakari na sijawahi kupata majibu yakuridhisha kuhusu mungu na matendo yake... wana dini wote kil mmoja anaaamini Mungu wake ndio wa ukweli na wengine wanakosea sasa kwanini Mungu huyo wa ukweli ashindwe kujidhihirisha ili sote tujue tunamuabudu vipi? kwa maana ishakua vurugu mechi dini nyingi sana na hazieleweki wengine tumeamua kubaki kua watazamaji na kusubiri kama mungu mwenyewe yupo ndio ata determine atupeleke wapi maana hatuelewi wapi pa kufuata.
huo ni mchango tu...asante sana mtoa mada.
we amini na kujua mungu yupo hayo mengine ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu hutopata majibu
Ukweli ni kubaki njia panda mkuu sio kila kitu unaamini maana mimi kwa mtazamo wangu naona dini ililetwa ku instill peace tu kwenye jamii basMkuu tatizo sio kuamini na kujua mungu yupo, kuna maswali mengi ya kujiuliza .. yupo wapi? yupoje? anafanya vipi kazi zake? nguvu yake ipoje? malengo yake ya kuiumba dunia na vilivyomo ni yapi? kama alitaka tuishi hapa duniani na hizo sayari zingine zina faida gani?
je katika universe tupo sisi pekee yetu au kuna viumbe wengine kama tunavyoaminishwa na wanasayansi? je na kama hao wapo na huko kuna uislam na ukiristo? na huko yesu aliwekwa msalabani? au wao nao wana dini zao zingine na pia wana mitume wao pamoja na mapokeo yao ya maisha ya badae baada ya kifo?
ndio maana mimi nimeamua kubaki njia panda ya kutokujua namaanisha sijui kama mungu au mungu wapo au hawapo kwahiyo nipo tayari kwa lolote ninachoamini ni kutenda mema na kutowaathiri au wanyanyapaa binadam wenzangu haijalishi wana dini au hawana dini na pia kutowaingilia katika imani na kuwashutumu kua wanakosea kwakua woote hawajui isipokua kwavile hawana majibu ya maswali yao thats why wanahofu na kuamua kumuona mungu ndio suluhisho kuu la matatizo yao....
naamini katika matumizi sahihi ya akili katika kutatua changamoto mbalimbali zinazonikabili bila kusubiri kudra za mungu ambazo sijui zitanifikia lini.......
naona huko syria watoto wadogo na wanawake wanauwawa kwa mabomu ya assad, urusi na islamic state na sioni msaada wa mungu kwa watu hao zaidi ya juhudi za wanadam wenyewe kutatua matatizo yao......
asante sana huo ni mtazamo wangu tu.
Mkuu bruce lee si wewe wa kwanza kujiuliza yote hayo tangu karne na karne binaadamu amekuwa akijiuliza maswalinmengi kuhusu mungu lakini hakuna aliepata jibu. Si yote tunaweza kupata majibu hususani maswali ya asili ya mungu na uwepo wake, akili inatusumbua kutaka kupata majibu ya maswali yanayotaka uthibitisho wenye kuonekana hapo ndipo tatizo linaanzia. Ingekuwa mungu anajulikana alipo na unaweza kumeet nae na mkaongea, mkuu usingekuwa na maswali yanayomuhusu mungu tena kwani angekujibu direct. Ya mungu tumuachie mungu anayajua mwenyewe, kwa kuwa tupo duniani mkuu hatutozwi kodi ya kuishi, tuishi tu kama uko mbele ya safari tukikutana na mungu utamuuliza hayo maswali kwani maswali yako hakuna wa kuyajibu isipojuwa Mungu mwenyewe.Mkuu tatizo sio kuamini na kujua mungu yupo, kuna maswali mengi ya kujiuliza .. yupo wapi? yupoje? anafanya vipi kazi zake? nguvu yake ipoje? malengo yake ya kuiumba dunia na vilivyomo ni yapi? kama alitaka tuishi hapa duniani na hizo sayari zingine zina faida gani?
je katika universe tupo sisi pekee yetu au kuna viumbe wengine kama tunavyoaminishwa na wanasayansi? je na kama hao wapo na huko kuna uislam na ukiristo? na huko yesu aliwekwa msalabani? au wao nao wana dini zao zingine na pia wana mitume wao pamoja na mapokeo yao ya maisha ya badae baada ya kifo?
ndio maana mimi nimeamua kubaki njia panda ya kutokujua namaanisha sijui kama mungu au mungu wapo au hawapo kwahiyo nipo tayari kwa lolote ninachoamini ni kutenda mema na kutowaathiri au wanyanyapaa binadam wenzangu haijalishi wana dini au hawana dini na pia kutowaingilia katika imani na kuwashutumu kua wanakosea kwakua woote hawajui isipokua kwavile hawana majibu ya maswali yao thats why wanahofu na kuamua kumuona mungu ndio suluhisho kuu la matatizo yao....
naamini katika matumizi sahihi ya akili katika kutatua changamoto mbalimbali zinazonikabili bila kusubiri kudra za mungu ambazo sijui zitanifikia lini.......
naona huko syria watoto wadogo na wanawake wanauwawa kwa mabomu ya assad, urusi na islamic state na sioni msaada wa mungu kwa watu hao zaidi ya juhudi za wanadam wenyewe kutatua matatizo yao......
asante sana huo ni mtazamo wangu tu.
Mkuu bruce lee si wewe wa kwanza kujiuliza yote hayo tangu karne na karne binaadamu amekuwa akijiuliza maswalinmengi kuhusu mungu lakini hakuna aliepata jibu. Si yote tunaweza kupata majibu hususani maswali ya asili ya mungu na uwepo wake, akili inatusumbua kutaka kupata majibu ya maswali yanayotaka uthibitisho wenye kuonekana hapo ndipo tatizo linaanzia. Ingekuwa mungu anajulikana alipo na unaweza kumeet nae na mkaongea, mkuu usingekuwa na maswali yanayomuhusu mungu tena kwani angekujibu direct. Ya mungu tumuachie mungu anayajua mwenyewe, kwa kuwa tupo duniani mkuu hatutozwi kodi ya kuishi, tuishi tu kama uko mbele ya safari tukikutana na mungu utamuuliza hayo maswali kwani maswali yako hakuna wa kuyajibu isipojuwa Mungu mwenyewe.
Mkuu hivyi ndivyo mi naonelea
Ukweli ni kubaki njia panda mkuu sio kila kitu unaamini maana mimi kwa mtazamo wangu naona dini ililetwa ku instill peace tu kwenye jamii bas
Kitu kingine tuangalie haya mambo kwa upana wa Uumbaji. Kila kitu Kipo wazi tazama maajabu ya MUNGU Jiulize kuhusu anga tu.. Hivi kweli kabla ya anga mnadhani Kuna nini hii solar system yenyewe inatupa kila kitu ina nguvu ya ajabu Sana imetengenezwa ni ajabu LA kwanza ni MUNGU wetu mkuu kaumba. Asifiwe MUNGU mwenyezi haya mengine ya dini sidhani kama ni mipango ya MUNGU nadhani ni binadamu wanaongoza. Dini zote ni Maslahi ya watu. MUNGU atusaidie atuonyeshe njia
Tatizo letu tulijiwekea tabia ya kusubiri kufundishwa bila kujitafutia na kuwa wabunifuhuyu
mungu mkuu unaemtaja ni nani Allah, krishna, budha au yehovah? je una uhakika gani kama ni mungu mmoja au wapo wengi? kwanini kwenye biblia wanasema mungu wa Israel ana nguvu kuliko miungu mingine? ina maana kuna miungu ingine? pia katika qur an wana sema Allah ana wivu na asiabudiwe mungu mwingine isipokua yeye.... hapo unapata picha gani? kwenye biblia wanasema na tuumbe mtu kwa mfano wetu...hiyo ni nafsi ya kwanza wingi which means kuna uwezekano wakawa wengi na sisi ndio mifano yao pengine ndio maana kuna wahindi, warabu, wazungu,wachina na sisi ngozi nyeusi.......
na ukiangalia kama sisi ni mfano wa mungu naona karibia viumbe wote kuna jinsia mbili ya kike na yakiume hatuwezi kuhisi hizo jinsia nazo ni mfano wa mungu?
si vibaya kuamini kua mungu wako unaemuamini ndio muumba wa kila kitu kwakua inakufariji na kukupa tumaini la kuishi je siku ukija gundua kua sio yeye na unavyoamini sio sahihi hauoni kama utavunjika moyo sana?