The Guardian yapunguza wafanyakazi 120

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Kampuni ya Magazeti ya The Guardian wachapishaji wa Gazeti la Nipashe, The Guardian , The Guardian on Sunday na lete Rahaa imepunguza wafanyakazi 120 kutoka Idara ya Editorial , Matangazo na fedha pasipowalipa stahiki ( hawajawasilisha makato ya NSSF toka Mwaka January 2014) zao pamoja na mishaara ya mwezi February na March 2017

Miongoni mwa wahariri waliopunguzwa ni Lameck Mfalila, Rodger Luhago na wahandishi 64

Idara ya matangazo wameondolewa sales manager Arnord Mwanga n customer service manager Jovita David

Idara ya makusanyo ameondolewa Mkuu wa Idara Joseph Chundu

Idara ya matangazo ameondolewa Bernard Mukasa ..

Zoezi Hili limehendeshwa pasipofuata sheria za kazi na tayari wafanyakazi 45 waliopunguzwa awamu ya kwanza wamefungua kesi Mahakamani inayohusu Kutolipwa Mishaara yao ya mwezi February na March pamoja na The Guardian kutowasilisha makato ya NSSF toka 2014.

Zoezi la kuwasimamisha wafanyakazi pasipofuata sheria za kazi imesimamiwa na wahindi Srnivas ambaye ni manager Fedha ITV na Swami ambaye ni manager Fedha wa EATV wakisaidiwa na makuwadi wao Semvua na mama luhanga
 
Kampuni ya Magazeti ya The Guardian wachapishaji wa Gazeti la Nipashe, The Guardian , The Guardian on Sunday na lete Rahaa imepunguza wafanyakazi 120 kutoka Idara ya Editorial , Matangazo na fedha pasipowalipa stahiki ( hawajawasilisha makato ya NSSF toka Mwaka January 2014) zao pamoja na mishaara ya mwezi February na March 2017

Miongoni mwa wahariri waliopunguzwa ni Lameck Mfalila, Rodger Luhago na wahandishi 64

Idara ya matangazo wameondolewa sales manager Arnord Mwanga n customer service manager Jovita David

Idara ya makusanyo ameondolewa Mkuu wa Idara Joseph Chundu

Idara ya matangazo ameondolewa Bernard Mukasa ..

Zoezi Hili limehendeshwa pasipofuata sheria za kazi na tayari wafanyakazi 45 waliopunguzwa awamu ya kwanza wamefungua kesi Mahakamani inayohusu Kutolipwa Mishaara yao ya mwezi February na March pamoja na The Guardian kutowasilisha makato ya NSSF toka 2014.

Zoezi la kuwasimamisha wafanyakazi pasipofuata sheria za kazi imesimamiwa na wahindi Srnivas ambaye ni manager Fedha ITV na Swami ambaye ni manager Fedha wa EATV wakisaidiwa na makuwadi wao Semvua na mama luhanga
Mkuu wakati magu anasema ananyosha nchi hawakujua maana yake, naona sasa no inasoma kote.. Masaki na manzese,

Ila hao waliofukuzwa watakuwa na sehem yabkupeleka malalamiko yao..
 
Kampuni ya Magazeti ya The Guardian wachapishaji wa Gazeti la Nipashe, The Guardian , The Guardian on Sunday na lete Rahaa imepunguza wafanyakazi 120 kutoka Idara ya Editorial , Matangazo na fedha pasipowalipa stahiki ( hawajawasilisha makato ya NSSF toka Mwaka January 2014) zao pamoja na mishaara ya mwezi February na March 2017

Miongoni mwa wahariri waliopunguzwa ni Lameck Mfalila, Rodger Luhago na wahandishi 64

Idara ya matangazo wameondolewa sales manager Arnord Mwanga n customer service manager Jovita David

Idara ya makusanyo ameondolewa Mkuu wa Idara Joseph Chundu

Idara ya matangazo ameondolewa Bernard Mukasa ..

Zoezi Hili limehendeshwa pasipofuata sheria za kazi na tayari wafanyakazi 45 waliopunguzwa awamu ya kwanza wamefungua kesi Mahakamani inayohusu Kutolipwa Mishaara yao ya mwezi February na March pamoja na The Guardian kutowasilisha makato ya NSSF toka 2014.

Zoezi la kuwasimamisha wafanyakazi pasipofuata sheria za kazi imesimamiwa na wahindi Srnivas ambaye ni manager Fedha ITV na Swami ambaye ni manager Fedha wa EATV wakisaidiwa na makuwadi wao Semvua na mama luhanga
NIDA walishapeleka michango ya wafanyakazi? Uhuru je? Siwatetei lakini hawako peke Yao. Tuache ushabiki usio na tija. Cha msingi ni kwamba makampuni binafsi yanaondoa wafanyakazi kwa kasi kubwa iliyoje.
 
Sioni cha ajabu chochote kama biashara inajiendesha kihasara lazima upunguze gharama za uendeshaji na mojawapo ni kupunguza idadi ya wafanyakazi kulingana na hitaji jipya hapa hakuna story wala hoja ya maana dunia nzima utaratibu ni huu huu cha msingi wapewe haki zao wanazo stahili kulipwa malimbikizo ya mishahara pamoja na kufata taratibu zote za kuvunja mikataba yao.
 
NIDA walishapeleka michango ya wafanyakazi? Uhuru je? Siwatetei lakini hawako peke Yao. Tuache ushabiki usio na tija. Cha msingi ni kwamba makampuni binafsi yanaondoa wafanyakazi kwa kasi kubwa iliyoje.
Utakuwa mangi wewe siyo bure
 
Ndiyo uhayawani wako huo yeyote wa Chadema basi ni lazima mchagga! Kwa vile wewe unatagishwa basi unadhani ni kila mtu! Mpuuzi kweli wewe!

Mangi, Mpaka siku Magu anastaafu utakuwa ushataga lai la MBUNI
 
Kampuni ya Magazeti ya The Guardian wachapishaji wa Gazeti la Nipashe, The Guardian , The Guardian on Sunday na lete Rahaa imepunguza wafanyakazi 120 kutoka Idara ya Editorial , Matangazo na fedha pasipowalipa stahiki ( hawajawasilisha makato ya NSSF toka Mwaka January 2014) zao pamoja na mishaara ya mwezi February na March 2017

Miongoni mwa wahariri waliopunguzwa ni Lameck Mfalila, Rodger Luhago na wahandishi 64

Idara ya matangazo wameondolewa sales manager Arnord Mwanga n customer service manager Jovita David

Idara ya makusanyo ameondolewa Mkuu wa Idara Joseph Chundu

Idara ya matangazo ameondolewa Bernard Mukasa ..

Zoezi Hili limehendeshwa pasipofuata sheria za kazi na tayari wafanyakazi 45 waliopunguzwa awamu ya kwanza wamefungua kesi Mahakamani inayohusu Kutolipwa Mishaara yao ya mwezi February na March pamoja na The Guardian kutowasilisha makato ya NSSF toka 2014.

Zoezi la kuwasimamisha wafanyakazi pasipofuata sheria za kazi imesimamiwa na wahindi Srnivas ambaye ni manager Fedha ITV na Swami ambaye ni manager Fedha wa EATV wakisaidiwa na makuwadi wao Semvua na mama luhanga
Andamaneni basi na mumsusie Mengi kwa kudhalilisha waandishi.
Safi sana hii ndio dhambi ya waandishi kutumiwa kisiasa.Magazeti haya yalikuwa kimbelembele kumsusia Makonda,na Mmiliki akatembelea clouds media,inabidi muoneshe mshikamano na The Guardian
 
Ndiyo uhayawani wako huo yeyote wa Chadema basi ni lazima mchagga! Kwa vile wewe unatagishwa basi unadhani ni kila mtu! Mpuuzi kweli wewe!
Mimi nikajua unazijua tabia za mashoga... ina maana hujamstukia huyo bwabwa?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom