The GREATEST Lowassa... at his best, ona hii..!!

The GREATEST Lowassa... at his best, ona hii..!!

Jay One

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
18,535
Reaction score
20,710
Tofauti ya Leader and just a Manager..!!

👇👇👇
 

Attachments

  • attachment-61.jpeg
    attachment-61.jpeg
    10.4 KB · Views: 931
  • 11855856_916342818424528_377231282335535174_n.jpeg
    11855856_916342818424528_377231282335535174_n.jpeg
    25.6 KB · Views: 751
Tofauti ya Leader and just a Manager..!!



Ni kati ya Msanii, Maana huu ni usanii kweli kweli, Watu wana taka kusikiliza sera za nchi wewe una leta mzaha wa kupiga pushapu. Tazama Lowassa. Mwana siasa mwenye kutambua na kusikiliza matatizo ya Watanzania anaandika notes ya matatizo na vipaumbele ambavyo ni changa moto ktk kuleta mabadiliko ya kimaendeleo. Tumesha beba mizigo mingi mizito, Kutuonyesha pushapu saba wakati wa kampeni ni upumbavu.
 
Kama polisi wataendelea na ufanyaji kazi wa kimsukule wa ccm bila kufuata maadili ya kazi yao, wakionea watu wasio na hatia kwa amri ya ccm, sisi NA WATOTO WETU TUTAJILINDA DHIDI YA UONEVU WA POLISI NA CCM YAO. TUONE NANI ATASHINDA.


BTW, CCM ni mashetani tu. Kama wanakamata watu wa UKAWA wanapohudhuria mikutano yao, hao wanaosemekana wanarudisha kadi za CHADEMA wanarudisha wakiwa wapi ikiwa kuhudhuria mikutano ya ccm ukiwa ukawa ni jinai?


Ccm ninakuchukia kwa moyo na nguvu zangu zote!.
 
Ngoja niangalie kichinjio changu usikute kimeibiwa maana nitakunywa sumu kwa hasira niliyonayo
 
Back
Top Bottom