Naona huzuni kubwa sana kwa mauaji yanayoendelelea Misri huku Mataifa ya Magharibi yakijisuasua kuhusu hali ya Misri
Pamoja na hayo Marekani pamoja na washirika wake kuhalilsha mapinduzi ya kijeshi dhidi ya rais Morsi aliechaguliwa kihalali .
Ingawaje tokea rais Morsi tokea ashike madaraka hakuwaridhisha wamisri kutokana na msimamo wake wa kuwakumbatia Muslim brotherhood.Marekani mpaka Leo wanajigonga gonga kuhusu kusimamisha msaada wao wa mabilioni ya dola katika jeshi.,halikadhalika jumuia ya Ulaya na inasuasua.Nadhali Israel wanachekelea yanayoendea Misri.Waziri mkuu wa Uturuki amesemakuwa Israel walishasema tokea awali kuwa Muslim Brotherhood hawatatawala Egypt
Pamoja na hayo Marekani pamoja na washirika wake kuhalilsha mapinduzi ya kijeshi dhidi ya rais Morsi aliechaguliwa kihalali .
Ingawaje tokea rais Morsi tokea ashike madaraka hakuwaridhisha wamisri kutokana na msimamo wake wa kuwakumbatia Muslim brotherhood.Marekani mpaka Leo wanajigonga gonga kuhusu kusimamisha msaada wao wa mabilioni ya dola katika jeshi.,halikadhalika jumuia ya Ulaya na inasuasua.Nadhali Israel wanachekelea yanayoendea Misri.Waziri mkuu wa Uturuki amesemakuwa Israel walishasema tokea awali kuwa Muslim Brotherhood hawatatawala Egypt