The Economist wamsanua tena Magufuli uzazi bila mpango. Wasema ma amri amri hayataboresha serikali!

wahindi wameendelea?
Ya aint serious.

Wachina wanawatoa wanawake mimba kwa lazima. Wakishajua kwamba una mimba ya tatu. Case kama hizi zimetokea mara kibao.

"Go back and do your research"

mkuu uzazi wa mpango China umepelekea wanaume kuwazidi wanawake almost 40 milioni.Sasa hivi kupata mke Uchina ni utata.Serikali imeamua kuruhusu kuzaa mtoto zaidi ya mmoja sasa hiv.Pia uzazi wa mpango china ilikuwa ni kutokana na hofu ya watu kuwa wengi kuzidi eneo.Ni tofauti na sisi,sie bado tuna mapori ambayo hatuwezi kujaza leo wala kesho.
Pia ukiangalia nchi nyingine kama Japan, sasa hivi wana encourage watu kuzaa sababu washaanza kuona effects zake.Uzazi wa mpango ni propaganda tu za watu weupe ili tusizaliane
 
He rules by the decrees and he forgets that when he is urging his people to bear as many children as possible all of his government's annual budgets are cash-starved to cater for the very people he is urging to bear more children...!!!

You cannot afford to bear many children that you can hardly feed otherwise this will be a recipe for producing infamous street children which is another source of concern for any committed and reasonable government.

Lastly, much as I don't frown upon those who cherish to give birth to many children, I personally feel that one should give birth to a number of children that he/she can cater for and not to let the same to be a source of concern to the government upon failing to deliver for them.
 
Huwa nikisikia kale ka tangazo ka KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI huwa nasikia kichefuchefu. Hongera sana rais magufuli kwa kuliona hilo. Tangu lini watu wa marekani watujali sisi? akati kukaa kwao marekani waliwaua mamilioni ya wahindi wekundu ambao ndo wazawa wa nchi ya marekani.
 
tena kama hawataki kubadili project zao hao USAID wafukuzwe kabisa. ni mashetani wabaya sana hao. Hakuna hata siku moja amerika ana upendo wa dhati kwa Tanzania.


bajeti ya nchi yako ni wao wanakupa, unaongea tu ignorantly, chao unakula lakini baniani mbaya, kiatu chake dawa, acha kupokea basi!

Rais amechemka, plain and simple.
 
Lakini si alisema ni maoni yake tu"?na sio kwamba ametoa tamko kuwa watu waachane na uzazi wa mpango, au me ndio sikumuelewa!?
Hujasoma kwamba matangazo ya Uzazi wa Mpango yamesitishwa?
 
Hajaamrisha mtu alikua anaongea kwa mawazo yake tu, kwani alivyosema wanaopanga uzazi ni wazembe na wavivu ni kweli, kupanga uzazi mapenzi yako binafsi raisi hawez kukukataza kupanga uzazi maana hakuletei nepi, uwezo wako wa kulea ndo unakufanya uzae matoto mangapi, yeye mwenyewe ana watoto wawili mbona
Exactly
 
China ina watu 1.4bili na imeendelea. Jiji laLondon pekee inawatu zaidi 120Mil. Watuache kwanze, tuendelee kuzaa. Tuna mapori mengi sana tu.
 
Mkuu hizo ni propaganda za wazungu. Watupe ushahidi kwamba taifa likiwa na watu wengi linakuwa masikini.
Mfano unafimance budget ya mdogo wako halafu unamuona anajaza watu kwenye nyumba, unaweza kumshauri kupunguza watu kwa sababu gharama zinakuwa kubwa.
 
Lakini si alisema ni maoni yake tu"?na sio kwamba ametoa tamko kuwa watu waachane na uzazi wa mpango, au me ndio sikumuelewa!?
Tamko la Rais ni almost sheria hasa hawa dunia ya tatu. Na ndo maana mradi wa uhamasishaji uzazi wa mpango umesimamishwa
 
Mfano unafimance budget ya mdogo wako halafu unamuona anajaza watu kwenye nyumba, unaweza kumshauri kupunguza watu kwa sababu gharama zinakuwa kubwa.
ulishawahi kumsikia magu anaomba pesa kujazilizia bajeti?
 
Hakuna kipimo hata kimoja kimeonyesha the tiniest fraction or a risk.

Umeevaluate kwa keyboard? Hebu niache nifyatue.
Unarisk nyingi. Wewe endelea ipo siku kisu kitakuhusu na huko kwenye kisu ikitokea complication utatolewa kizazi na hiyo ndiyo dawa yako. Mimba za utotoni na za uzeeni ni hatari
 
Unarisk nyingi. Wewe endelea ipo siku kisu kitakuhusu na huko kwenye kisu ikitokea complication utatolewa kizazi na hiyo ndiyo dawa yako. Mimba za utotoni na za uzeeni ni hatari

Good for them kunitoa kizazi aisee, vinginevyo nitazaa hadi mayai yaishe. Kisu kwani nene na unajuaje kama sina bado?
Hebu tusitishane arifu.
 
Watuache tupigane miti tulijaze Taifa letu,wengi Wa walalamikao kuwa kizazi Wa mpango ni njia Safi Basi ujue hawana nguvu za KIUME
Nalog off
 
Back
Top Bottom