The double lives of university students

Mkuu BOSSHaya mambo yapo tatizo public tunakosa taarifa sahihi tu kutokana na ukosefu wa taarifa, hope unajua media zetu,,waandishi wake wengi hawana ujasiri wa kutafiti na kuandika current news zinazotokea katika jamii yetu. kama unafuatilia hata CNN-media awards niadhani ni Betty Mkwassa tu alutunukiwa zawadi na documentary zake za ukimwi. miongoni mwa wanafunzi wa UDSM, Mzumbe na vyuo vingine haya mambo sio mageni hata kidogo miongoni mwa hawa wanafunzi, Uzuri wa Wakenya wana Investigative journalist wengi Mkuu, kudhibistisha haya kama una access na TV za kenya jaribu kuangalia kipindi cha JICHO PEVU. ndo utagundua hawa jamaa katika uandishi wako level nyingine
ni sawa kabisa...hapa kwetu bado tunademadema..,
 
Nilidhani wadada madent wa universities ndio wametulia na wenye heshima sababu ya shule kumbe ndio balaa!
 
Hakuna jipya, hayo ndiyo maisha. You just do it real for the future is now. Ukichelewa chelewa utaishia kulaumu na kulalamika. Wengi wanataka lakini hawana guts. You just see, do and leave.
 
Hakuna jipya, hayo ndiyo maisha. You just do it real for the future is now. Ukichelewa chelewa utaishia kulaumu na kulalamika. Wengi wanataka lakini hawana guts. You just see, do and leave.

unawaingiza mkenge madent,....... remember there are some deadly risks associated with wild partying life!!
 
Mkuu haya mambo yanaenda na mtaji. wewe vizia wakishalipwa na Bodi tembelea Movenpick,kempinski, na hata Peacock Hotel Usiku wa Mwafrica, ila unatakiwa ukumbuke hawana identification card, ni macho yako tu mkuu

Nilienda pale Kempiski jana jioni nikampata denti mmoja anafanya MBA pale UDSM .......more to come
 
Watanzania haya mambo yapo. Kuna aina nyingi ya kujiuza, moja ni kuwapanga kuwa na washikaji kama watano hivi kila mmoja naratiba yake na wote wanatoa bili. Au kuwa freelancer mtu yeyote mwenye pesa poa. Kama kuna mtu anabisha afanye utafiti aende mabibo, IFM, UDOM usiku wa ijumaa na aangalie gari zinaingia na kutoka. WENGINE WAKO VERY OPEN NA KAZI HIYO. Au chukua taxsi pale Posta halafu mtip dereva tax anakupa full mikanda au nenda kwenye madisco night. Wazee dunie imekwisha dada zetu kwa sasa sio wale akina mama tuwatarajiao. lakini wakifika kama 3o hivi wanaanza kutamani kuolewa na wanaume wazuri au kuzaa na kule mtoto.
 
There is a certain path I want my life to take. And only I have the power to chart that course.”
With that ends the simplicity and begins the complication that is the life of the 24-year-old student of law.

The overambitious and curiosity of having exorbitant life are great motives of what is happening today. We can learn from the statement I quoted from the interviewed student, that it is not poverty of her family rather it is what she see she want to reach in her life! and since she own tool beneath her lower center body, it is between client and service provider to compromise.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom