Only Magreth Thucher na Angel Markel ndio wanawake walioweza kuongoza mataifa makubwa ulaya.
Marekabi hawapaswi kufanya majaribio kwa hawa kina mama wenye kuweka tabasamu muda wote kama Gaucho.
Harris ashinde debate au asishinde, Ttump ndio anapaswa kuongoza marekani baada ya madhaifu makubwa kufanywa na Joe Biden.
Trump for president.