Nyerere alikuwa anajiita Mwanachama wa nchi zisizofungamana na upande wowote (Non aligned Movement) japo alionekana dhahiri shahiri ni kibaraka wa umoja wa nchi za kisoviet za urusi (Ussr). Wanasiasa wote wanafanana kwa unafiki wanachotofautiana ni kiwango cha unafiki tu!