Sasa na TRL nao ni uwekezaji? Yes tunahitaji wawekezaji ila sio hawa wanaokuja TZ. Hawa wanaweza wakawa na jina lao tofauti. Tatizo ninalofikiria mimi ni hizi jitihada za kutembea ulimwengu mzima kuwaita waje.Wawekezaji wakiuliza wakajua kuna umeme wa ration wanaishia huko huko.Matapeli wanajua pale ndo pakutengenezea pesa.wawezekaji wanamaana Africa au ulimwenguni?
je TZ inawezekana bila wawezekaji?na kwa vipi?
Nchi gani Africa ipo bila wawezekaji?
au ni jinsi ya ku deal na mikataba ya uwezekaji?
hayo ndo maswali yangu tu
wawezekaji wanamaana Africa au ulimwenguni?
je TZ inawezekana bila wawezekaji?na kwa vipi?
Nchi gani Africa ipo bila wawezekaji?
au ni jinsi ya ku deal na mikataba ya uwezekaji?
hayo ndo maswali yangu tu
Na huo ndio uungwana. Makosa yaliyofanyika ni makubwa na yanatia aibu. Dawa sio kutumia watu kumsafisha. Ni yeye mwenyewe kuamua kusema nilikosea na kurudisha yale yanayoweza kurudi.Kuchelewa ndo kunamfanya awe prone wa discussions and revelations za mambo mabaya zisizo ishaWangapi humu tukikosea tunakiri makosa yetu? Ninachomwomba Ben ayaseme haya kwa WATANZANIA hadharani. Mwalimu alifanya hivo mara kadhaa.Na kuna anachoweza kurudisha mbali na KIWIRA, afanye hivo.
Akili ndogo..na ushabiki...grow up dude..Mkapa has already mess up (too late) ..it up to the Nation kusema e bwana kwaheri na pole kwa kuamini wazungu au kum-put into taska kama wenzake kina mgonja...it is up to you and me..acha blah blah zako za kujifanya wazimu...Too late for Mkapa to catch which train? Mkapa ain't poor, and he ain't missed no train either...
Una maana gani? hakuna mbongo alikuwa anamwambia ana akili lol! isipokuwa hao hao wazungu ndio walimsifia akalewa misifa...too late though..
wawezekaji wanamaana Africa au ulimwenguni?
je TZ inawezekana bila wawezekaji?na kwa vipi?
Nchi gani Africa ipo bila wawezekaji?
au ni jinsi ya ku deal na mikataba ya uwezekaji?
hayo ndo maswali yangu tu
Akili ndogo..na ushabiki...grow up dude..Mkapa has already mess up (too late) ..it up to the Nation kusema e bwana kwaheri na pole kwa kuamini wazungu au kum-put into taska kama wenzake kina mgonja...it is up to you and me..acha blah blah zako za kujifanya wazimu...
Wajinga wa kiarabu kama wewe wasingeelewa...so kajifunze kwanza kiarabu..ndio ntakuandikia..au nitaiweka hapa JFNi bora tu ungeandika kiarabu mkuu.... hii ni beyond your level
Mkuu haujajibu swali au maswali yangu, pamoja umewekewa THANKS na wenzakoNaamini wawekezaji ni muhimu sana katika kujenga uchumi imara kwenye nchi hohehahe kama zetu. Hata hivyo kwetu sisi tumekuwa na tatizo la tafsiri kuhusiana na mambo muhimu. Wakati mwengine kwa makusudi na wakati mwengine tunaponzwa na ulimbukeni.
Tulipoambiwa tunahitaji uwekezaji sisi tukakimbilia uchukuaji hivyo tukapata wachukuaji.Tulipoambiwa tunahitaji ujasiriamali sisi tukakimbilia ujasiri wa kupora na kukusanya mali hivyo tukapata mafisadi.Sasa tunaambiwa kilimo kwanza tusishangae tunapoona tunakimbilia uporaji ardhi.....
Hatutaki kuumiza vichwa tukapata taswira kamili kwa mapana yake tunaposhughulikia maswala muhimu kwa taifa letu
omarilyas
Ni bora tu ungeandika kiarabu mkuu.... hii ni beyond your level
Mkuu haujajibu swali au maswali yangu, pamoja umewekewa THANKS na wenzako
Tanzania bila uwezekaji inawezekana?kama inawezekana kivipi?
ila nikiangalia nchi nyingi za Africa including South Africa kuna mikataba mibov mibov mibov balaaa
Botswana ndo kidogo walikua wajanja labda baada ya kuona wenzao wanavyo umia.
Wajinga wa kiarabu kama wewe wasingeelewa...so kajifunze kwanza kiarabu..ndio ntakuandikia..au nitaiweka hapa JF
Lol!