chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Those who are conversant with Ciphertext will have the message.: “The birds will be flying high tomorrow.”
Caesar cipher seems to be used more than
Vigenère cipher
Continue Steganographying between RM and JK
Britanicca
Sio yeye,sioni lugha za Mutalis Mutandis🤣🤣🤣🤣wewe utakuwa ndio Slow slow bila shaka,haya tuendelee 🙇🏽♀️
Ata mimi naona kabisa 😂Kijasho chembamba sheikh, hii lugha sio mchezo...heheeheeee😜
Leo sion watuHa ha haaa! Umenikumbusha 'spiki inglishi' ya shule ya msingi. Darasa linakuwa kimya...! hii dunia hii....nikona leo hii watu walipa mamilioni mtoto akafunzwe A- apple...!! Mtihani sana. Twende kazi!
Kwa mtu mwenye akili mbovu kama zako, najuwa unaona kila kitu kipo sawa na unasherehekea usyang'anyi. Sasa unataka nianze mjadala kweli na aina hii ya akili?Mlisema hatogombea,anagombea,mlisema July-septembee,sasa mmepeleka baada ya kushinda uchaguzi
Halafu yote haya yanatoka wapi ya kutaka mama asimalizie awamu ya pili?..kosa lake nini?
AsanteGoogle yenywe ishindwa mkuu?View attachment 3457845
hawh
"She will be compelled to seek re-election, but her tenure in office will be temporally limited, sic Terminus erit brevitas at uhuru while The national flag is proclaimed at dimidio in solemn tribute to the deceased Vachtaran go raibh sé ina shuaimhneas síoraí.
I repeat it in bold letters her re-election will be necessitated, sed ejus officium non erit in perpetuum, for a limited duration only."
Britanicca
Bila chatgpt sitoboi kwa hizi ngelihawh
"She will be compelled to seek re-election, but her tenure in office will be temporally limited, sic Terminus erit brevitas at uhuru while The national flag is proclaimed at dimidio in solemn tribute to the deceased Vachtaran go raibh sé ina shuaimhneas síoraí.
I repeat it in bold letters her re-election will be necessitated, sed ejus officium non erit in perpetuum, for a limited duration only."
Britanic
Nitakutafsria inbox, Casar Cipher ni mfumo wa Kijasusi uliotumika na Casar Julius, Mkuu wa Dola ya Warumi kutuma ujumbe wa kijasusi kwa makamanda wa Jeshi na Majasusi vitani huko mbali kwa kutumia namba, wewe unapewa namba wahuni mpangilio wa namba wanasoma maandishi kama unavyosoma ujumbe wangu huu. Hizi ni code ambazo mnakuwa mmekubaliana nikisema Nne, means Ngurukia etc.Baba aliniambia nisome, nikaone kuwinda tetere ni bora zaidi. Ona sasa leo hii nimeishia kuambulia JK tu.
I highly doubt if there's any substantive message there! Follow what was given later as some plain language interpretation. You will see it's all mumble jumble too.Those who are conversant with Ciphertext will have the message.
Anaua wazawa af Nchi anawauzia waarabu, wachina na wahindi.Mlisema hatogombea,anagombea,mlisema July-septembee,sasa mmepeleka baada ya kushinda uchaguzi
Halafu yote haya yanatoka wapi ya kutaka mama asimalizie awamu ya pili?..kosa lake nini?
Hakika Mkuu, kuna mijitu imesomeshwa na hela za umma leo yanauza rasilimali za Taifa kuliko maelezo....hao ndio walikuwa wanawasema vibaya machifu ambao tuliwasoma kwenye historia wakibadilishana dhahabu kwa shanga, bora wale hawakujua thamani ya madini!Binafsi ningesema kuwa ni bora kabisa ulitumia muda wako vizuri "kuwinda tetere". Siyo kila aina ya elimu ina manufaa kwa mhusika.
Unaweza kujihisi ummeelimika kumbe humna kitu kichwani.
Natumaini utanielewa nilicho kilenga, hata kama sikukielezea vizuri kutokana na ufinyu wa elimu husika.
Mzawa gani alimuua?..alitakiwa auze nchi kwa wazungu?..wachina, waarabu,wahindi ndiyo wameanza kuja tz miaka minne iliyopita?Anaua wazawa af Nchi anawauzia waarabu, wachina na wahindi.
Jibu nilichouliza,acha kujifanya una akili sana wakati sivyoKwa mtu mwenye akili mbovu kama zako, najuwa unaona kila kitu kipo sawa na unasherehekea usyang'anyi. Sasa unataka nianze mjadala kweli na aina hii ya akili?
Tena kwa kutumia Mossad vinginevyo kujilisha upepo.Kuangaika na matawi baada ya mizizi mnakua kama hamnazo by JK voice lazima kung'oa mizizi mkuu ndo ali itakua shwari
HATOGOMBEATumehamia huko tena na si hatogombea!?.. September hii hapa
Samia Hii ndio anaanza awamu yake hadi 2035... Mtaandika hadi kisukuma/au kiroman katoliki: “The birds will be flying high tomorrow.”
Caesar cipher seems to be used more than
Vigenère cipher
Continue Steganographying between RM and JK
Britanicca