The art of war (why JPM is winning against his rivals)

Geniuss

Member
Jan 19, 2019
28
202
The art of war ni mkusanyiko Wa maandiko yanayosemekana kuwa ni strategies ambazo zilitumiwa Na Sun-tzu kuwashinda adui zake.
Msemo maarufu Wa sun- Tzu ulikua huu.
When you are far , you should make your enemy think you are very near.
When you are near ,u should make ur enemy think ur too far.
Zipo strategies nyingine nyingi sana ambazo Sun -tzu alizitumia Na zilimpa mafanikio makubwa.
Sasa wapinzan wengi wamekua watu wa ku expose strategy zao ,kesho wanasema wanaenda mahakaman,
Week ijayo wanasema watatoka bungeni.
Nawasema si Kwa ubaya ,Bali Kwa kuwarekebisha ,hizo mbinu zao zimekua butu sana ,no surprise attack of ideology.
Kila wanalolifanya limekuwa too predictable.
Lakin kwa upande Wa serikali ya JPM kuna utofauti kidogo, so far wamekua smart, wanawaingiza wapinzan kwenye mijadala ambayo wao wenyewe serikal wanataka ijadiliwe.
Mfano issue ya CAG ni agenda ambayo wapinzan wameivamia Bila kufikiria vizur ,inachukua attention yao Na perhaps inawatoa kwenye jambo kubwa zaidi walilopaswa kuzingatia(mswaada Wa vyama ).
Perfect game at a perfect time linachezwa Na serikal.
We have to issue credit to jpm Kwa hili.
Kwanza ana deliver Na pili anatumia strategies ngumu sana kuzi match up.
Najua wengine wanaweza kukosoa Kua jpm anadeliver nn?
Litakua ni kosa kubwa kupinga delivery ya JPM(miundo mbinu Na ukusanyaji kodi,na pia kuziba mianya ya kupiga ni),kwa Sasa wapinzan badala ya kulalamikia democracy sheding wangekua Na strategy Moja Na muhimu wanayo isimamia ambayo jpm Na serikal wangekua wanatumia muda mwingi kumatch up ,wangefaulu Kwa kiasi.
Lakin kwa Sasa back bone ya upinzan ni kama inadondoka ,najua kuna kumininywa Kwa uhuru Wa kujieleza hasa wapinzan lakin the issue is how u can convince the mass to join ur agenda hata kama serikal inawapush down.
Angalieni Democrats Marekan wanavyohangaishana Na Trump.
I know kuna wapinzan ambao wako very smart kama Zitto Na Mnyika lakin tatizo kubwa linalowapata ni kukosa strategy.
Haijulikan wao ni liberals au conservative,far right wing or far left wing.
Wapinzan tafuten agenda,jpm anawaonesha udhaifu wake pindi awapo Na nguvu , Na anawaonesha ana nguvu kipindi ambacho amepunhukiwa nguvu.
Jpm is very smart , Na kuna uwezekano wananchi wengi wakaimba nyimbo zake pasipo yeye kuwafundisha.
 
The art of war ni mkusanyiko Wa maandiko yanayosemekana kuwa ni strategies ambazo zilitumiwa Na Sun-tzu kuwashinda adui zake.
Msemo maarufu Wa sun- Tzu ulikua huu.
When you are far , you should make your enemy think you are very near.
When you are near ,u should make ur enemy think ur too far.
Zipo strategies nyingine nyingi sana ambazo Sun -tzu alizitumia Na zilimpa mafanikio makubwa.
Sasa wapinzan wengi wamekua watu wa ku expose strategy zao ,kesho wanasema wanaenda mahakaman,
Week ijayo wanasema watatoka bungeni.
Nawasema si Kwa ubaya ,Bali Kwa kuwarekebisha ,hizo mbinu zao zimekua butu sana ,no surprise attack of ideology.
Kila wanalolifanya limekuwa too predictable.
Lakin kwa upande Wa serikali ya JPM kuna utofauti kidogo, so far wamekua smart, wanawaingiza wapinzan kwenye mijadala ambayo wao wenyewe serikal wanataka ijadiliwe.
Mfano issue ya CAG ni agenda ambayo wapinzan wameivamia Bila kufikiria vizur ,inachukua attention yao Na perhaps inawatoa kwenye jambo kubwa zaidi walilopaswa kuzingatia(mswaada Wa vyama ).
Perfect game at a perfect time linachezwa Na serikal.
We have to issue credit to jpm Kwa hili.
Kwanza ana deliver Na pili anatumia strategies ngumu sana kuzi match up.
Najua wengine wanaweza kukosoa Kua jpm anadeliver nn?
Litakua ni kosa kubwa kupinga delivery ya JPM(miundo mbinu Na ukusanyaji kodi,na pia kuziba mianya ya kupiga ni),kwa Sasa wapinzan badala ya kulalamikia democracy sheding wangekua Na strategy Moja Na muhimu wanayo isimamia ambayo jpm Na serikal wangekua wanatumia muda mwingi kumatch up ,wangefaulu Kwa kiasi.
Lakin kwa Sasa back bone ya upinzan ni kama inadondoka ,najua kuna kumininywa Kwa uhuru Wa kujieleza hasa wapinzan lakin the issue is how u can convince the mass to join ur agenda hata kama serikal inawapush down.
Angalieni Democrats Marekan wanavyohangaishana Na Trump.
I know kuna wapinzan ambao wako very smart kama Zitto Na Mnyika lakin tatizo kubwa linalowapata ni kukosa strategy.
Haijulikan wao ni liberals au conservative,far right wing or far left wing.
Wapinzan tafuten agenda,jpm anawaonesha udhaifu wake pindi awapo Na nguvu , Na anawaonesha ana nguvu kipindi ambacho amepunhukiwa nguvu.
Jpm is very smart , Na kuna uwezekano wananchi wengi wakaimba nyimbo zake pasipo yeye kuwafundisha.
Presentation nzuri. Kwa kukosa takwimu yanakuwa matango pori. TWAWEZA wangekata mzizi wa fitina. Bahati mbaya wao mwenyewe waliishaoteshewa mzizi wa hujuma. Ile trend ya depreciation kutoka 96% hadi 55% ingekuwa vigumu kuireverse. Hapo mwanzo alikuwa hajafanya chochote bali alionyesha uthubutu. Akapendwa. Alipofanya kila mtu mchambuzi kabaki mdomo wazi. One man show ikatawala. Njia za kuendea jambo jema zikawa hatarishi kiwango cha kutisha. Utekaji, mauji, kutishia na kuua kwa bunduki, kukanyaga katiba with impunity. Haya yanaoutweigh skyscrapers, nini hizo flyovers. Si ajabu sasa hivi akalamba 20%. Watu wamechoka. Wakiomba mkate wanapewa jiwe kwa kisingizio cha kujenga SGR.
 
Presentation nzuri. Kwa kukosa takwimu yanakuwa matango pori. TWAWEZA wangekata mzizi wa fitina. Bahati mbaya wao mwenyewe waliishaoteshewa mzizi wa hujuma. Ile trend ya depreciation kutoka 96% hadi 55% ingekuwa vigumu kuireverse. Hapo mwanzo alikuwa hajafanya chochote bali alionyesha uthubutu. Akapendwa. Alipofanya kila mtu mchambuzi kabaki mdomo wazi. One man show ikatawala. Njia za kuendea jambo jema zikawa hatarishi kiwango cha kutisha. Utekaji, mauji, kutishia na kuua kwa bunduki, kukanyaga katiba with impunity. Haya yanaoutweigh skyscrapers, nini hizo flyovers. Si ajabu sasa hivi akalamba 20%. Watu wamechoka. Wakiomba mkate wanapewa jiwe kwa kisingizio cha kujenga SGR.
Utekaji ni jambo baya Na sisemi kwamba serikal inateka watu lakin nan alete ushahidi dunian hapa nchi gan ambapo hakuna mauaji Na utekaji ,
Saudi Arabia mnajua kilichompata Kasshog
,La msingi addressing ya matukio haiko proper ,inafanya upinzan uonekane kiuanaharakati zaid Na si kisiasa
 
Utekaji ni jambo baya Na sisemi kwamba serikal inateka watu lakin nan alete ushahidi dunian hapa nchi gan ambapo hakuna mauaji Na utekaji ,
Saudi Arabia mnajua kilichompata Kasshog
,La msingi addressing ya matukio haiko proper ,inafanya upinzan uonekane kiuanaharakati zaid Na si kisiasa
Mkuu nakubaliana na wewe 100% huwezi kushinda vita bila mipango. Huyo Zitto anahangaika kupoteza muda kugombana na Speaker kwaajili ya CAG as if CAG hawezi kujitetea ama amemuomba awe wakili wake. Hapo unawasaidia lakini angalia wafuasi wake wanavyokujibu.

Tatizo hilo la matukio ndilo linampa kick JPM bila wao kujitambua. Kila mipango yao yote wanaifanya nabkuitekeleza kwa faida ya JPM. Wewe unawezaje kwenda mahakamani kufungua kesi ya kuuliza uhali wa speaker kumuita CAG wakati mmezuiliwa kufanya mikutano ambayo mnaruhusiwa kikatiba lakini hamujaenda Mahakamani.

Hapa upande wa upinzani hakuna wanasiasa zaidi wapigaji na wahuni. Siasa za Tanzania nadhani zinahitaji sana watu wa aina ya Magufuli hata kwa miaka 20 ijayo maana wengi wamekua exposed si ccm ama upinzani kuwa ni wapigaji tu.

Maana Waziri mkuu katembelea jimbo lake zaidi ya wabunge wa kawaida ambao hawana wajukumu ya serikali halafu uchaguzi ukifika wakipigwa chini wanalalamika kuibiwa kura.

NIONAVYO MIMI 2020 WENGI HAWARUDI DODOMA PANDE ZOTE CCM NA UPINZANI
 
Mleta hoja unatoa 'credit' nyingi kwa 'strategy' zisizo za kweli.

Unayemsifia sifa yake kuu ni.' Vitisho na Uonevu', zaidi ya hapo hana mkakati wowote. Huko unakokuita 'kugeuza na kuibua hoja' ni mapambio tu ku'justify' ulilolenga mwenyewe.

Lakini, nikubaliane na hoja yako kuhusu jinsi wapinzani walivyovurugwa kwa vitendo vingi vya uonevu wanavyofanyiwa.
Hesabu ni mara ngapi wamewekwa mahabusu, wamefunguliwa kesi za kubambikiziwa, hadi za mauaji. Kama hizi ndio mbinu unazotaka tumsifie nazo, hapo nitakubali, lakini sio kwa 'smart' unayoiandika hapa ambayo haionekani.

Na kwa vile vitendo hivi vya uonevu vimewavuruga wapinzani, ndio maana imewawia vigumu kuanzisha 'countermeasures' zozote kwa hayo unayomsifia kuhusu u'smart' wake.

Kwa maoni yangu, ajenda wanayopaswa kuwa nayo wapinzani sasa hivi inatakiwa iwe moja tu. Wasisambaze zaidi juhudi zao kwa kuwa wakati umekwishawatupa mkono, na huku vinguvu vyao vichache vilivyosalia haviwezi kurekebisha sehemu nyingi ambazo wamekwishasambaratishwa kwa kunyimwa uhuru na haki yao ya kufanya kazi za siasa. Hakuna lazima yoyote kwa sasa kujibu hoja yoyote inayotolewa na serikali, kwa sababu 'platform' ya kufanya hivyo hawana tena, si bungeni wala kwingineko, ambapo wakilazimisha matokeo ya nguvu watakayotupiwa itaendelea kuwadhoofisha zaidi. Hakuna haja tena kwa muda huu mfupi uliosalia kuendelea kujibishana na mwenye nguvu.

. Ajenda yao muhimu ni moja tu: "Chaguzi" zinazoanza mwaka huu na kumalizikia mwaka kesho. Hii ni ajenda ambayo tayari wamekwisha chelewa kuianza, huku wakiona mtesi wao tayari yupo uwanjani.

Hakuna anayezungumzia mazingira chaguzi hizi yatakavyokuwa. Kunyamaza kwao, huku wakijua mazingira ya kutokuwa na uchaguzi wa haki yaliyopo kunashangaza sio kidogo, maana hapa ndipo palipo na funguo za uwepo au kutokuwepo kwao baada ya chaguzi hizi. Dalili zote ziko wazi, lakini wao wako kimya kabisa utadhani kama wana mbinu za siri ambazo watazitumia wakati mwafaka kuondoa kikwazo hiki muhimu.

Kwa hiyo mimi sioni huo u'smart' unaouandika wewe. Kama kuwa 'smart' ni kutumia mabavu ya vyombo vya serikali kuwaondosha wapinzani wako, basi uko sawa.
 
Utekaji ni jambo baya Na sisemi kwamba serikal inateka watu lakin nan alete ushahidi dunian hapa nchi gan ambapo hakuna mauaji Na utekaji ,
Saudi Arabia mnajua kilichompata Kasshog
,La msingi addressing ya matukio haiko proper ,inafanya upinzan uonekane kiuanaharakati zaid Na si kisiasa

Argument(s) zinapofikia kwenye majibu kama haya, zinakuwa hazina maana tena!
Yeah, kwa kuwa Saud au kwingine wanafanya haya, kwa nini sisi tuyaone kuwa ya ajabu! Deplorable!
 
The art of war ni mkusanyiko Wa maandiko yanayosemekana kuwa ni strategies ambazo zilitumiwa Na Sun-tzu kuwashinda adui zake.
Msemo maarufu Wa sun- Tzu ulikua huu.
When you are far , you should make your enemy think you are very near.
When you are near ,u should make ur enemy think ur too far.
Zipo strategies nyingine nyingi sana ambazo Sun -tzu alizitumia Na zilimpa mafanikio makubwa.
Sasa wapinzan wengi wamekua watu wa ku expose strategy zao ,kesho wanasema wanaenda mahakaman,
Week ijayo wanasema watatoka bungeni.
Nawasema si Kwa ubaya ,Bali Kwa kuwarekebisha ,hizo mbinu zao zimekua butu sana ,no surprise attack of ideology.
Kila wanalolifanya limekuwa too predictable.
Lakin kwa upande Wa serikali ya JPM kuna utofauti kidogo, so far wamekua smart, wanawaingiza wapinzan kwenye mijadala ambayo wao wenyewe serikal wanataka ijadiliwe.
Mfano issue ya CAG ni agenda ambayo wapinzan wameivamia Bila kufikiria vizur ,inachukua attention yao Na perhaps inawatoa kwenye jambo kubwa zaidi walilopaswa kuzingatia(mswaada Wa vyama ).
Perfect game at a perfect time linachezwa Na serikal.
We have to issue credit to jpm Kwa hili.
Kwanza ana deliver Na pili anatumia strategies ngumu sana kuzi match up.
Najua wengine wanaweza kukosoa Kua jpm anadeliver nn?
Litakua ni kosa kubwa kupinga delivery ya JPM(miundo mbinu Na ukusanyaji kodi,na pia kuziba mianya ya kupiga ni),kwa Sasa wapinzan badala ya kulalamikia democracy sheding wangekua Na strategy Moja Na muhimu wanayo isimamia ambayo jpm Na serikal wangekua wanatumia muda mwingi kumatch up ,wangefaulu Kwa kiasi.
Lakin kwa Sasa back bone ya upinzan ni kama inadondoka ,najua kuna kumininywa Kwa uhuru Wa kujieleza hasa wapinzan lakin the issue is how u can convince the mass to join ur agenda hata kama serikal inawapush down.
Angalieni Democrats Marekan wanavyohangaishana Na Trump.
I know kuna wapinzan ambao wako very smart kama Zitto Na Mnyika lakin tatizo kubwa linalowapata ni kukosa strategy.
Haijulikan wao ni liberals au conservative,far right wing or far left wing.
Wapinzan tafuten agenda,jpm anawaonesha udhaifu wake pindi awapo Na nguvu , Na anawaonesha ana nguvu kipindi ambacho amepunhukiwa nguvu.
Jpm is very smart , Na kuna uwezekano wananchi wengi wakaimba nyimbo zake pasipo yeye kuwafundisha.
Hakuna kitu kibaya kama mgomo kimyakimya, unafiki wa waziwazi. Kwenye vyombo vya habari kila siku tathmini huru inaonesha wazi kushuka kutoka 90 hadi 55% lazima lazima ukose usingizi?
 
Hapa upande wa upinzani hakuna wanasiasa zaidi wapigaji na wahuni. Siasa za Tanzania nadhani zinahitaji sana watu wa aina ya Magufuli hata kwa miaka 20 ijayo maana wengi wamekua exposed si ccm ama upinzani kuwa ni wapigaji tu


Siasa za upinzani zimeathirika sana baada ya DR. SLAA kuondoka upande huo. Chadema pia imedorola kwani sio kile chama kilichokuwa kinachemka enzi za Dr. Slaa na hata huyo waliyempa nafasi ya Slaa amepwaya sana, hopefully huko mbele wataona mwanga na kumpa kijana Mnyika hiyo afasi kwani ameisha iva sasa ataweza kuimudu.
 
Kwa mtindo huo basi je, matumizi ya ubabe, vitisho na mauaji anayotumia jiwe nayo ni strategies za art of war ambazo zilitumiwa Na Sun-tzu kuwashinda adui zake? Je kwa maana hiyo unataka kusema Jiwe hana tofauti na Hitler, hana tofauti na Idi Amin, hana tofauti na Kim un Jung na madikteta wengine wote waliomtangulia?. Dikteta lazima atawaona wananchi wenzake wasiokubaliana na anavyoendesha nchi kama maadui na si wapinzani wake wa kisiasa.

Dikteta hana muda wa majadiliano kwa sababu anaamini kwamba kwanza hakuna kama yeye na pili taratibu zilizokubaliwa za namna ya kutekeleza wajibu wake hazimfai. Tofauti ya jiwe na madikteta wengine ni kwamba yeye ni muoga, hana ujasiri wa kukiri mapungufu yake ya kukosa hekima na kutofuata sheria. Badala yake atadai kwamba matendo yake ni kwa manufaa ya nchi na hivyo kutumia mwanya huo kuwanyamazisha wakosoaji hata ikibidi kuwapoteza.

Wananchi wa taifa hili si maadui wa jiwe bali ni yeye anayejenga uadui dhidi yao wananchi wasiomuunga mkono. Busara tu ingetosha kumkumbusha kwamba binadamu wote hawawezi kukubaliana kwa kila jambo muda wote na hiyo ni dalili njema inayoonesha ukomavu wa mtazamo, ubunifu na fikra. Kinyume na hapo ni kudumaa kwa akili na hivyo kujengeka kwa taifa la wanafiki wanaoitikia hewala hata pale wanaposwagwa wakipelekwa machinjoni.

U-smart si kuwateka, kuwatesa na kuwaua wananchi wanaokukosoa kwa lengo la kuzima kabisa upinzani, hapana, huo ni ushetani!
 
Kwa mtindo huo basi je, matumizi ya ubabe, vitisho na mauaji anayotumia jiwe nayo ni strategies za art of war ambazo zilitumiwa Na Sun-tzu kuwashinda adui zake? Je kwa maana hiyo unataka kusema Jiwe hana tofauti na Hitler, hana tofauti na Idi Amin, hana tofauti na Kim un Jung na madikteta wengine wote waliomtangulia?. Dikteta lazima atawaona wananchi wenzake wasiokubaliana na anavyoendesha nchi kama maadui na si wapinzani wake wa kisiasa.

Dikteta hana muda wa majadiliano kwa sababu anaamini kwamba kwanza hakuna kama yeye na pili taratibu zilizokubaliwa za namna ya kutekeleza wajibu wake hazimfai. Tofauti ya jiwe na madikteta wengine ni kwamba yeye ni muoga, hana ujasiri wa kukiri mapungufu yake ya kukosa hekima na kutofuata sheria. Badala yake atadai kwamba matendo yake ni kwa manufaa ya nchi na hivyo kutumia mwanya huo kuwanyamazisha wakosoaji hata ikibidi kuwapoteza.

Wananchi wa taifa hili si maadui wa jiwe bali ni yeye anayejenga uadui dhidi yao wananchi wasiomuunga mkono. Busara tu ingetosha kumkumbusha kwamba binadamu wote hawawezi kukubaliana kwa kila jambo muda wote na hiyo ni dalili njema inayoonesha ukomavu wa mtazamo, ubunifu na fikra. Kinyume na hapo ni kudumaa kwa akili na hivyo kujengeka kwa taifa la wanafiki wanaoitikia hewala hata pale wanaposwagwa wakipelekwa machinjoni.

U-smart si kuwateka, kuwatesa na kuwaua wananchi wanaokukosoa kwa lengo la kuzima kabisa upinzani, hapana, huo ni ushetani!
Awamalize tuu, watu wenyewe kigeugeu. Pamoja na kuwa wapo baadhi wenye uelewa mkubwa na mpana wa siasa na uongozi bado sijaona ambaye yupo kwa ajili ya Tanzania. Pengine wakikua wataacha maana busara na hekima huongozana na umri. Salaam kwa mzee mamvi
 
Utekaji ni jambo baya Na sisemi kwamba serikal inateka watu lakin nan alete ushahidi dunian hapa nchi gan ambapo hakuna mauaji Na utekaji ,
Saudi Arabia mnajua kilichompata Kasshog
,La msingi addressing ya matukio haiko proper ,inafanya upinzan uonekane kiuanaharakati zaid Na si kisiasa
Uanaharakati toka lini likawa jambo baya? Isingekuwa harakati tingepata uhuru?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pointless
Mkuu nakubaliana na wewe 100% huwezi kushinda vita bila mipango. Huyo Zitto anahangaika kupoteza muda kugombana na Speaker kwaajili ya CAG as if CAG hawezi kujitetea ama amemuomba awe wakili wake. Hapo unawasaidia lakini angalia wafuasi wake wanavyokujibu.

Tatizo hilo la matukio ndilo linampa kick JPM bila wao kujitambua. Kila mipango yao yote wanaifanya nabkuitekeleza kwa faida ya JPM. Wewe unawezaje kwenda mahakamani kufungua kesi ya kuuliza uhali wa speaker kumuita CAG wakati mmezuiliwa kufanya mikutano ambayo mnaruhusiwa kikatiba lakini hamujaenda Mahakamani.

Hapa upande wa upinzani hakuna wanasiasa zaidi wapigaji na wahuni. Siasa za Tanzania nadhani zinahitaji sana watu wa aina ya Magufuli hata kwa miaka 20 ijayo maana wengi wamekua exposed si ccm ama upinzani kuwa ni wapigaji tu.

Maana Waziri mkuu katembelea jimbo lake zaidi ya wabunge wa kawaida ambao hawana wajukumu ya serikali halafu uchaguzi ukifika wakipigwa chini wanalalamika kuibiwa kura.

NIONAVYO MIMI 2020 WENGI HAWARUDI DODOMA PANDE ZOTE CCM NA UPINZANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta hoja unatoa 'credit' nyingi kwa 'strategy' zisizo za kweli.

Unayemsifia sifa yake kuu ni.' Vitisho na Uonevu', zaidi ya hapo hana mkakati wowote. Huko unakokuita 'kugeuza na kuibua hoja' ni mapambio tu ku'justify' ulilolenga mwenyewe.

Lakini, nikubaliane na hoja yako kuhusu jinsi wapinzani walivyovurugwa kwa vitendo vingi vya uonevu wanavyofanyiwa.
Hesabu ni mara ngapi wamewekwa mahabusu, wamefunguliwa kesi za kubambikiziwa, hadi za mauaji. Kama hizi ndio mbinu unazotaka tumsifie nazo, hapo nitakubali, lakini sio kwa 'smart' unayoiandika hapa ambayo haionekani.

Na kwa vile vitendo hivi vya uonevu vimewavuruga wapinzani, ndio maana imewawia vigumu kuanzisha 'countermeasures' zozote kwa hayo unayomsifia kuhusu u'smart' wake.

Kwa maoni yangu, ajenda wanayopaswa kuwa nayo wapinzani sasa hivi inatakiwa iwe moja tu. Wasisambaze zaidi juhudi zao kwa kuwa wakati umekwishawatupa mkono, na huku vinguvu vyao vichache vilivyosalia haviwezi kurekebisha sehemu nyingi ambazo wamekwishasambaratishwa kwa kunyimwa uhuru na haki yao ya kufanya kazi za siasa. Hakuna lazima yoyote kwa sasa kujibu hoja yoyote inayotolewa na serikali, kwa sababu 'platform' ya kufanya hivyo hawana tena, si bungeni wala kwingineko, ambapo wakilazimisha matokeo ya nguvu watakayotupiwa itaendelea kuwadhoofisha zaidi. Hakuna haja tena kwa muda huu mfupi uliosalia kuendelea kujibishana na mwenye nguvu.

. Ajenda yao muhimu ni moja tu: "Chaguzi" zinazoanza mwaka huu na kumalizikia mwaka kesho. Hii ni ajenda ambayo tayari wamekwisha chelewa kuianza, huku wakiona mtesi wao tayari yupo uwanjani.

Hakuna anayezungumzia mazingira chaguzi hizi yatakavyokuwa. Kunyamaza kwao, huku wakijua mazingira ya kutokuwa na uchaguzi wa haki yaliyopo kunashangaza sio kidogo, maana hapa ndipo palipo na funguo za uwepo au kutokuwepo kwao baada ya chaguzi hizi. Dalili zote ziko wazi, lakini wao wako kimya kabisa utadhani kama wana mbinu za siri ambazo watazitumia wakati mwafaka kuondoa kikwazo hiki muhimu.

Kwa hiyo mimi sioni huo u'smart' unaouandika wewe. Kama kuwa 'smart' ni kutumia mabavu ya vyombo vya serikali kuwaondosha wapinzani wako, basi uko sawa.
Ahsante mkuu, usmart siuoni zaidi ya mabavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za upinzani zimeathirika sana baada ya DR. SLAA kuondoka upande huo. Chadema pia imedorola kwani sio kile chama kilichokuwa kinachemka enzi za Dr. Slaa na hata huyo waliyempa nafasi ya Slaa amepwaya sana, hopefully huko mbele wataona mwanga na kumpa kijana Mnyika hiyo afasi kwani ameisha iva sasa ataweza kuimudu.
Taasisi hazifai kuwepo kama inaendelea kumtegemea mtu. Dr. alikuwepo wengine wanashika kijiti mambo yanasonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awamalize tuu, watu wenyewe kigeugeu. Pamoja na kuwa wapo baadhi wenye uelewa mkubwa na mpana wa siasa na uongozi bado sijaona ambaye yupo kwa ajili ya Tanzania. Pengine wakikua wataacha maana busara na hekima huongozana na umri. Salaam kwa mzee mamvi
Arguing with idiots is like playing chess with a pigeon…no matter how good you are, the bird is going to shit on the board and strut around like it won anyway!
 
N
Mkuu nakubaliana na wewe 100% huwezi kushinda vita bila mipango. Huyo Zitto anahangaika kupoteza muda kugombana na Speaker kwaajili ya CAG as if CAG hawezi kujitetea ama amemuomba awe wakili wake. Hapo unawasaidia lakini angalia wafuasi wake wanavyokujibu.

Tatizo hilo la matukio ndilo linampa kick JPM bila wao kujitambua. Kila mipango yao yote wanaifanya nabkuitekeleza kwa faida ya JPM. Wewe unawezaje kwenda mahakamani kufungua kesi ya kuuliza uhali wa speaker kumuita CAG wakati mmezuiliwa kufanya mikutano ambayo mnaruhusiwa kikatiba lakini hamujaenda Mahakamani.

Hapa upande wa upinzani hakuna wanasiasa zaidi wapigaji na wahuni. Siasa za Tanzania nadhani zinahitaji sana watu wa aina ya Magufuli hata kwa miaka 20 ijayo maana wengi wamekua exposed si ccm ama upinzani kuwa ni wapigaji tu.

Maana Waziri mkuu katembelea jimbo lake zaidi ya wabunge wa kawaida ambao hawana wajukumu ya serikali halafu uchaguzi ukifika wakipigwa chini wanalalamika kuibiwa kura.

NIONAVYO MIMI 2020 WENGI HAWARUDI DODOMA PANDE ZOTE CCM NA UPINZANI
Ni kweli ukiangalia Zitto kwa undani,hasaidii upinzani bali anaaibisha na kudhohofisha upizani.
Mchezo wake wa kurukia matukio bila kwanza kupanga mikakati mizito na vipaumbele ni vipi ni pigo kwa wapinzani.
Huyu Zitto anatafuta sifa katika imposible angle,badala ya kufunga magoli yalio wazi kabisa.
Kitu anachotafuta ni ukubwa wa kusikika kama kiongozi wa upnzani wakati yeye ni mdogo sana ndani ya upinzani.
Matatizo ya Lissu au Mbowe kwa sasa hayampi fursa ya kuwa kinara wa upinzani.
Ndani ya upinzani kumeingiliwa na kundi kubwa la wachumia tumboni na vinyonga(cameleon).
 
N
Ni kweli ukiangalia Zitto kwa undani,hasaidii upinzani bali anaaibisha na kudhohofisha upizani.
Mchezo wake wa kurukia matukio bila kwanza kupanga mikakati mizito na vipaumbele ni vipi ni pigo kwa wapinzani.
Huyu Zitto anatafuta sifa katika imposible angle,badala ya kufunga magoli yalio wazi kabisa.
Kitu anachotafuta ni ukubwa wa kusikika kama kiongozi wa upnzani wakati yeye ni mdogo sana ndani ya upinzani.
Matatizo ya Lissu au Mbowe kwa sasa hayampi fursa ya kuwa kinara wa upinzani.
Ndani ya upinzani kumeingiliwa na kundi kubwa la wachumia tumboni na vinyonga(cameleon).
Zitto ni kinyonga pia muangalie sana Fatuma Karume lazima kuna kitu anatafuta.. Ni agenda ya siri anayo
 
Back
Top Bottom