The 5 Richest Tanzanians You've Never Heard Of

Uhalali wa upataji wa mali zao,baadhi umetokana na mianya ya udhaifu wa mifumo ya kibiashara na ufisadi wa viongozi wetu:
[1].mianya ya mifumo ya usimamizi wa kodi enzi hizo,umewafanya sasa waonekane matajiri.
[2].Tuangalie ni nani kati ya hao aliyepata mali zilizobinafsishwa[mashirika au viwanda]?,hii 21st century? siyo viwanda MOROGORO.?
[3].Ukirudi nyuma,na kufuatilia baadhi ya kazi walizozifanya,zilikuwa na mikataba yenye kuwabeba na kudhulumu nchi,au mashirika ya Kiserikali.
 
Hizi takwimu hazikufanyiwa uhakiki wakutosha, maana hata wahusika hawakushirikishwa, Mzee Kitilya huu ni muda muafaka wa kuanza na kuimarisha Internal Control.
 
Ulitaka awe Mchagga,tena na pua kuubwaa awe anauza sura mno kwenye tv?.Hii damu ya ukabila nyie watu itawamaliza!
 
kUNA MATAJIRI AMBAO HAWAKUTAJWA HAPO MFANO GERVAS ANAEMILIKI WORLD OIL LTD HUYU ANA MALI WASTANI WA USD 500,000,000,
  • ANA DEPORT KUBWA SANA KWA UJAZO KULE KIGAMBONI AMBAYO AMEIKODISHA KWA KOBIL HII INATHAMANI YA ZAID YA USD 50M
  • ANA DEPORT NYENGINE KIGAMBONI ANAYOTUMIA MWENYEWE NA YO INA THAMANI KAMA YA JUU
  • ANA DEPOT KIGOMA NAYO NI KUBWA ZAIDI YA HIZZI ZA DAR
  • ANA DEPORT KULE LUBUMBASHI DRC
  • ANAMILIKI NYUMBA MBALI MBALI DAR NA SEHEMU NYENGUNE
  • ANA MAGARI ZAIDI YA 200 YA SCANIA MAPYA MATUPU
  • PATO LAKE KWA MWEZI NI ZAIDI YA DOLLA MILLION 5 KWA MWEZI
WAMO LAKINI HAWATAJWI
 
Kuna vingunge hawapo humo jamani, wadosi wote na viwanda vyao hawamo some thing must be wrong with that list. Mtaani wananchi wanakwambia kuna watu wanampunga hata bakhresa anaweza akawa wa pili au watatu hapahapa bongo kutokana na mtiririko wa viwanda vyao hasahasa wadosi hao hao.

Industry zote kuna leaders manake ukisema media zipo leading media houses, FMCG humu ndimo mtu kama Zakharia anaongoza kwa utajiri, MMI steel Subash Patel hayumo amezidiwa na Mafuruki?
 
hapa hawaongelei hela ulizonazo, wanaongelea "net worth" unaweza ukawa na pato kubwa ila running expenses inakula zote unabaki na zero
 
huyu SSB anahela zaidi ya hizo, siku anafanya valuation ya coy zake i.e for IPO atakuwa hata 10 africa,
 
SIJUI kwanini wanaweka PICHA ya MENGI wakati TAJIRI MKUBWA hadi FORBES anamtambua ni SAID BAHRESSA...

ALI MUFURUKI ndio NANI???

Yawezekana Bakhresa ndio ameandikwa kwenye FORBES lakini aliyeandikwa ndani ya mioyo ya Watanzania ni Reginald Mengi. Unapokuwa tajiri waangalie na wanaokuzunguka katika mahitaji yao nawe utaandikwa kwenye jarida la maana zaidi ya FORBES, MOYO
 
Wote hao hakuna hata mmoja kwenye orodha ya walipa kodi wakubwa nchini

Ni kweli mkuu jamaa mijizi tu hii inakwepa kodi kama nini. Hii nchi ni rushwa tu. Wanachangia CCM hawa ndo maana kodi hawalipi.
 
kuna comments jana mtu aliweka hapa jf simkumbuki jina !
alisema wakati yupo mdogo yeye na kaka yake walikuwa wakiona magari ya pita walikuwa wanagombania
mpaka leo hajui faida waliopata
sasa vijana badala ya kujituma kutafuta tunaongelea pesa za watu walizotafuta kwa jasho lao
mfano siku hizi kwenye magazeti na social media pendwa tz ,hot topic is about bakhressa wealth
sasa haya yanatusaidia nn?
 
Wenzetu Kenya wanakusanya sawa na Tshs. bilioni 200 kwa mwezi katika bandari yao ya Mombasa wakati sisi bandari yetu ya DAR inaingiza bilioni 32 tu kwa mwezi. Sasa nimefahamu sababu ni nini, kumbe Rostam Aziz anamiliki sehemu ya bandari yetu, lol hii kali. Jamaa kweli anaifilisi hii nchi maana kakamata sehemu zote nyeti. Yuko kwenye madini, kampuni ya simu na bandarini bila kusahau kampuni yake ya uwindaji haramu wa kuua tembo wetu, lol! Halafu nchi hii eti rais awe Lowasa, ndo kwisha kabisa.
 
Back
Top Bottom