THE 3rd World war aleart

1974hrs

JF-Expert Member
Oct 27, 2014
741
535
Ndugu zangu wanajf
Ninafuatilia kwa ukaribu vita inayoonekana kuendelea duniani ikipewa jina la vita dhidi ya Ugaidi.Sasa naona South Korea nayo ipo njiani kuchafuliwa na marekani!Balaa ninaliohisi ni pale ambapo URUSI nayo imeingilia kati na kuweka ndege za kutupia makombora na helkopta zenye uwezo wa kudaka makombora ya adui katika pwani ya Korea kaskazini!Korea kusini inawaunga mkono waamerika.Sasa Huko kuna IS,ALQAEDA,BOKO HARAM nao wanawindwa na kuwinda.
Bado kuna SOUTH SUDAN,BURUNDI,SYRIA,YEMEN na AFGHANISTAN,PAKISTAN INDIA na KASHMIR.
Nahisi mwanzo wa vita ya 3 ya dunia inanukia!Nangoja kuiona Afrika inamuunga nani mkono na kumuacha nani!
Ooh GOD help the world
 
Ndugu zangu wanajf
Ninafuatilia kwa ukaribu vita inayoonekana kuendelea duniani ikipewa jina la vita dhidi ya Ugaidi.Sasa naona South Korea nayo ipo njiani kuchafuliwa na marekani!Balaa ninaliohisi ni pale ambapo URUSI nayo imeingilia kati na kuweka ndege za kutupia makombora na helkopta zenye uwezo wa kudaka makombora ya adui katika pwani ya Korea kaskazini!Korea kusini inawaunga mkono waamerika.Sasa Huko kuna IS,ALQAEDA,BOKO HARAM nao wanawindwa na kuwinda.
Bado kuna SOUTH SUDAN,BURUNDI,SYRIA,YEMEN na AFGHANISTAN,PAKISTAN INDIA na KASHMIR.
Nahisi mwanzo wa vita ya 3 ya dunia inanukia!Nangoja kuiona Afrika inamuunga nani mkono na kumuacha nani!
Ooh GOD help the world
Hii Vita kuu ya tatu naiombea usiku na mchana ije na tena iwe ya nyuklia maana sisi maskini ndo tutaneemeka hapo hapo, kutakuwa na fursa nyingi Sana za biashara na pesa zitakuwa bwelele mitaani, maana matajiri wata invest Kwa fujo mitaani ili waongezeze vipato.
itakuwa fujo juu ya fujo, eeh Vita kuu njoo mbona unachelewa?
 
Hii Vita kuu ya tatu naiombea usiku na mchana ije na tena iwe ya nyuklia maana sisi maskini ndo tutaneemeka hapo hapo, kutakuwa na fursa nyingi Sana za biashara na pesa zitakuwa bwelele mitaani, maana matajiri wata invest Kwa fujo mitaani ili waongezeze vipato.
itakuwa fujo juu ya fujo, eeh Vita kuu njoo mbona unachelewa?
Duh mkuu usiombe vita ni balaa.
Waulize wazee waliokuwepo 2nd world war watupe idea ya kipindi hicho
 
Ukisoma maandiko matakatifu na kuyadadavua utagundua kuwa hakuna Vita vya tatu vya Dunia. Kitakachotokea ni kuwa kutakuwa na Mtawala mmoja mwenye nguvu chini ya Utawala wa Marekani. South Korea na Nchi nyingine zinazojitutumua zitadhibitiwa na mwisho Binadamu wote watalazimishwa kuabudu siku mmoja. Mtawala huyo ndiye yule mnyama wa 666 aliyenenwa katika Ufunuo kuwa ole wake atakae pokea chapa yake.
 
Hii Vita kuu ya tatu naiombea usiku na mchana ije na tena iwe ya nyuklia maana sisi maskini ndo tutaneemeka hapo hapo, kutakuwa na fursa nyingi Sana za biashara na pesa zitakuwa bwelele mitaani, maana matajiri wata invest Kwa fujo mitaani ili waongezeze vipato.
itakuwa fujo juu ya fujo, eeh Vita kuu njoo mbona unachelewa?
Hujui unalosema unahisi tu
 
Hapo ujue kinatafutwa chanzo tu,
hehehe yani kikitokea hata kijibaiskeli kilichofungwa bomu then kikalipuka nje ya jengo la USA basi wote vichaa vitawapanda na wataanza kurusha makombora hovyo hovyo...
 
Hii Vita kuu ya tatu naiombea usiku na mchana ije na tena iwe ya nyuklia maana sisi maskini ndo tutaneemeka hapo hapo, kutakuwa na fursa nyingi Sana za biashara na pesa zitakuwa bwelele mitaani, maana matajiri wata invest Kwa fujo mitaani ili waongezeze vipato.
itakuwa fujo juu ya fujo, eeh Vita kuu njoo mbona unachelewa?
Sikulaumu coz vita itakua unaionea kwenye tv tu.
 
Hii Vita kuu ya tatu naiombea usiku na mchana ije na tena iwe ya nyuklia maana sisi maskini ndo tutaneemeka hapo hapo, kutakuwa na fursa nyingi Sana za biashara na pesa zitakuwa bwelele mitaani, maana matajiri wata invest Kwa fujo mitaani ili waongezeze vipato.
itakuwa fujo juu ya fujo, eeh Vita kuu njoo mbona unachelewa?
We hauko sawa kichwani subiri hizo pesa kama utazinona sasa
 
Kabla ya Kagera war, wanafunzi waliweza kulipiwa nauli na serikali, hospital zilikuwa zikitoa huduma bure bila kuangalia jina au dini, maisha hayakuwa magumu, yaani hatukuwa na system hii ya kibepari kwamba mjanja ndo anatoka, elimu ya chuo kikuu bure tena si kwa mkopo.
Vita ina athari ,si tu kwa mataifa husika bali na wategemez wake. Refer ww1&ww2.
Vita hata yule mshindi huathirika pia.

Anayeombea vita huku hata rehearsal moja ya kwata ya kijeshi hajaifanya si wakumlaumu
 
Ukisoma maandiko matakatifu na kuyadadavua utagundua kuwa hakuna Vita vya tatu vya Dunia. Kitakachotokea ni kuwa kutakuwa na Mtawala mmoja mwenye nguvu chini ya Utawala wa Marekani. South Korea na Nchi nyingine zinazojitutumua zitadhibitiwa na mwisho Binadamu wote watalazimishwa kuabudu siku mmoja. Mtawala huyo ndiye yule mnyama wa 666 aliyenenwa katika Ufunuo kuwa ole wake atakae pokea chapa yake.
Religious fanatism!! a lot of rhetorical
 
Ukisoma maandiko matakatifu na kuyadadavua utagundua kuwa hakuna Vita vya tatu vya Dunia. Kitakachotokea ni kuwa kutakuwa na Mtawala mmoja mwenye nguvu chini ya Utawala wa Marekani. South Korea na Nchi nyingine zinazojitutumua zitadhibitiwa na mwisho Binadamu wote watalazimishwa kuabudu siku mmoja. Mtawala huyo ndiye yule mnyama wa 666 aliyenenwa katika Ufunuo kuwa ole wake atakae pokea chapa yake.
Na vipi pale iliposemwa 'taifa dogo litainuka na kulipiga taifa kubwa'?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom