Ingawa mimi ni mwalimu wa watoto wadogo saana,,lakini nina wasi wasi sana na haya maelezo pamoja na ya mtoa mada,Ishanitokea sana. Kuna wakati mwanafunzi anakupa wakati mgumu hadi unaogopa kuingia kufundisha darasani coz mkigonganisha tu macho utauyaona maajabu. Mimi kuna mwanafunzi alinitesa sana tena no binti mdogo tu sema ana mwili mkubwa kipindi hicho akiwa 4m one sasa ikawa Mara kwa mara anakuja kuniletea maswali ya form two sasa nikawa namkazia kua haya maswali muda wake bado lakini haelewi kumbe alikua ananiwinda tu... Nashukuru Mungu nilikiepuka hicho kihunzi mbaya zaidi alipofika kidato cha 3 alijazwa mimba... Sitasahau huo msala maana ungeniangukia mimi maana yule dogo aliwahi kunipa barua kua anataka tuwe wapenzi!!!. Mikasa ningi sana
Mimi ninachojua ni kuwa ni ngumu sana mwanafunzi wa kike from no where akaanza kukutega tena akafikia point ya ya kukuandia barua bila ya kujua matokea yake yatakuaje ,,
Hapa tuwe wa kweli mkuu itakuwa kuna sehemu unafeli au ulirespond positively to her non_verbal communication tangu awali hivo akapata ujasili wa kupiga hatua ya pili,,tofauti na hapo ni ngumu saana yeye pekee kuanzisha izi issue