Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Ishanitokea sana. Kuna wakati mwanafunzi anakupa wakati mgumu hadi unaogopa kuingia kufundisha darasani coz mkigonganisha tu macho utauyaona maajabu. Mimi kuna mwanafunzi alinitesa sana tena no binti mdogo tu sema ana mwili mkubwa kipindi hicho akiwa 4m one sasa ikawa Mara kwa mara anakuja kuniletea maswali ya form two sasa nikawa namkazia kua haya maswali muda wake bado lakini haelewi kumbe alikua ananiwinda tu... Nashukuru Mungu nilikiepuka hicho kihunzi mbaya zaidi alipofika kidato cha 3 alijazwa mimba... Sitasahau huo msala maana ungeniangukia mimi maana yule dogo aliwahi kunipa barua kua anataka tuwe wapenzi!!!. Mikasa ningi sana
Ingawa mimi ni mwalimu wa watoto wadogo saana,,lakini nina wasi wasi sana na haya maelezo pamoja na ya mtoa mada,

Mimi ninachojua ni kuwa ni ngumu sana mwanafunzi wa kike from no where akaanza kukutega tena akafikia point ya ya kukuandia barua bila ya kujua matokea yake yatakuaje ,,

Hapa tuwe wa kweli mkuu itakuwa kuna sehemu unafeli au ulirespond positively to her non_verbal communication tangu awali hivo akapata ujasili wa kupiga hatua ya pili,,tofauti na hapo ni ngumu saana yeye pekee kuanzisha izi issue
 
Kuwa mwalimu ndo utajua. Kuna mwalimu alitaka kubakwa na wanafunzi wa kike, yasikie tu! Tena hiyo ya wanafunzi wa kike kujiachia wanayo sana. Wengine anategesha mwalimu yuko peke yake ofisini ndo anakuja kujifanya hajaelewa au kujiulizisha jambo!

Wanafunzi wengine wa kike wanakufuata hadi nyumbani kwako! Tena wakati mwingine binti mmoja anakuja kwako. Ni mzuri haswa mtoto kaumbika! Nasema hivi niliwahi kufundisha shule na vyuo. Acha tu unahitaji Neema ya Mungu.
Hongera mwalimu kwa kukwepa hayo yote!
Asante sana kwa ushuhuda wako.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ingawa mimi ni mwalimu wa watoto wadogo saana,,lakini nina wasi wasi sana na haya maelezo pamoja na ya mtoa mada,

Mimi ninachojua ni kuwa ni ngumu sana mwanafunzi wa kike from no where akaanza kukutega tena akafikia point ya ya kukuandia barua bila ya kujua matokea yake yatakuaje ,,

Hapa tuwe wa kweli mkuu itakuwa kuna sehemu unafeli au ulirespond positively to her non_verbal communication tangu awali hivo akapata ujasili wa kupiga hatua ya pili,,tofauti na hapo ni ngumu saana yeye pekee kuanzisha izi issue
Mwalimu nikukumbushe tuu

Katika vita kubwa ya hawa walimu ni kushinda dhidi y hila mbaya za barehe ya mabinti zetu
 
Ingawa mimi ni mwalimu wa watoto wadogo saana,,lakini nina wasi wasi sana na haya maelezo pamoja na ya mtoa mada,

Mimi ninachojua ni kuwa ni ngumu sana mwanafunzi wa kike from no where akaanza kukutega tena akafikia point ya ya kukuandia barua bila ya kujua matokea yake yatakuaje ,,

Hapa tuwe wa kweli mkuu itakuwa kuna sehemu unafeli au ulirespond positively to her non_verbal communication tangu awali hivo akapata ujasili wa kupiga hatua ya pili,,tofauti na hapo ni ngumu saana yeye pekee kuanzisha izi issue
Ulichokisema kinawezekana sana kutokea. Kwamba Mwalimu mwenyewe akawa ndiye kichocheo cha haya mambo. Kwa upande wangu nadhani nilikuwa naponzwa na ujana wangu,haiba yangu,na namna ninavyawajali hata kufikia mahali wengine wanakuwa huru kunishirikisha mambo yao ya siri sana hususani kiroho na kijamii.


Kifupi mimi ni aina ya Mwalimu ambaye ninaamini sana kwenye kumjengea mwanafunzi uhuru wa kueleza mawazo yake ili kuchochea ubunifu katika fikra zake. Na kupitia hili huwa nagundua mambo adimu waliyo nayo kwenye fikra zao.

Ingawa pia hujitokeza aina ya wanafunzi walionifanya niandike huu uzi. Wanafunzi wanaotake advantage ya personality na treatment yangu kwao kwa kuniletea agenda zao nyeusi. Wapo ambao walikuwa wanapiga hesabu za kuja kuolewa nami kabisa.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ingawa mimi ni mwalimu wa watoto wadogo saana,,lakini nina wasi wasi sana na haya maelezo pamoja na ya mtoa mada,

Mimi ninachojua ni kuwa ni ngumu sana mwanafunzi wa kike from no where akaanza kukutega tena akafikia point ya ya kukuandia barua bila ya kujua matokea yake yatakuaje ,,

Hapa tuwe wa kweli mkuu itakuwa kuna sehemu unafeli au ulirespond positively to her non_verbal communication tangu awali hivo akapata ujasili wa kupiga hatua ya pili,,tofauti na hapo ni ngumu saana yeye pekee kuanzisha izi issue
Fact
 
Kuwa mwalimu ndo utajua. Kuna mwalimu alitaka kubakwa na wanafunzi wa kike, yasikie tu! Tena hiyo ya wanafunzi wa kike kujiachia wanayo sana. Wengine anategesha mwalimu yuko peke yake ofisini ndo anakuja kujifanya hajaelewa au kujiulizisha jambo!

Wanafunzi wengine wa kike wanakufuata hadi nyumbani kwako! Tena wakati mwingine binti mmoja anakuja kwako. Ni mzuri haswa mtoto kaumbika! Nasema hivi niliwahi kufundisha shule na vyuo. Acha tu unahitaji Neema ya Mungu.
Hongera mwalimu kwa kukwepa hayo yote!
Hahahahaaaaa. Umenikumbusha. Kuna mmoja ile narudi zangu nyumbani natoka kazini(shuleni) sina hili wala lile mara paap namkuta getini eti "naomba niingie nipaone kwako mwalimu" . Ikabidi nighairi kuingia ndani kwenyewe.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Salaam wana JF,

Mimi ni mwanaume ambaye ninawiwa kutoka moyoni kujishughulisha na "Lishe ya ubongo" yaani Elimu. Ndoto zangu za maisha zimeegemea kwenye Elimu zaidi.

Sasa katika harakati za kuwafundisha wanafunzi huko mashuleni na mtaani pia nimekuwa nikikutana na mitego ya hatari kutoka kwa wanafunzi wangu wa kike. Ni visa vingi sana kwa kweli. Lakini hakuna hata kimoja nilichonasa. Nimeruka mitego yote kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Kubwa kuliko ni pale binti mmoja(kidato cha pili wakati huo) akiwa amekaa dawati la mwisho kabisa aliwahi kuivuta sketi yake nusu ya mapaja yake, halafu akaichanua miguu yake kwa wastani wa nyuzi zaidi ya tisini(Obtuse angle) tena kimkakati kabisa na akahakikisha namuona na hakuonesha kushtuka kabisa zaidi zaidi alilegeza macho yake kwa matamanio ya kingono. Mazingira aliyokuwepo yalimpa ujasiri wa kufanya hayo yote bila wenzake kumshtukia. Lakini mimi niliendelea kufundisha hadi namaliza kisha nika-sign out.

Nilikuwa napangua visa vyao kwa kutumia akili ya ziada sana maana na wao walikuwa wananitega kijanja mno(ingawa kuna ambao walikuwa wanatumwa kwa makusudi mahususi). Kiukweli kwa mwanaume asiye na uwezo wa kuudhibiti "uanaume wake" kuingia mkenge kwenye ile mitego ilikuwa ni kugusa tu.

Ndugu mwana JF, usidhani kwamba nilikuwa mjinga kuikwepa mitego ile katikati ya kizazi hiki cha zinaa. La hasha! nilikuwa najua manufaa ya nikifanyacho ambayo hadi leo nayafurahia kwa furaha ambayo sina maneno ya kuielezea nikaeleweka kwa namna ninavyotamani nieleweke.

Baadhi ya manufaa hayo ni;

1. Mungu alizidi kuniamini na kuwekeza zaidi talanta zake ndani yangu ambazo si kwa ajili yangu tu bali kwa ajili ya watu wengine pia wake kwa waume.

(Hili alikuwa ananiambia na kunithibitishia kwa kinywa chake mwenyewe). Alikuwa ananivika furaha ya ajabu moyoni mwangu yenye kuashiria kwamba anapendezwa na maamuzi yangu hayo(Ni kawaida Mungu kunipongeza kwa style hii)

2. Kuepuka kutembea na mwanafunzi mmoja nyumbani kwao(baada ya yeye kuvizia tupo mimi na yeye tu akaniwekea bonge ya mtego wa kingono ngono), kumenitengenezea connection ya kupata zaidi ya shilingi milioni 9 (Baba yake ndiye kawa connector). Naamini ningejifanya chizi na kudiriki kuanza kutembea na binti yake kuna siku angeshtukia mchezo na kwa vyovyote tungekuwa maadui na ningeukosa msaada wake huu muhimu.

3. Wanajamii wanaonizunguka wananiheshimu kipekee sana hasa baada ya kujiridhisha kwamba mwanafunzi mikononi mwangu anakuwa salama kiroho, kiakili na kimwili pia. Hata wahuni hapa mtaani wananiheshimu sana na huwa wananitania wakisema "yaani ningekuwa ndio wewe vitoto vikijilengelesha ningekuwa navifyatua sana, unakwama wapi
ticha?". Mimi huwa nawajibu " Ni kwa sababu mmechagua kuishi maisha ya kujikinai".

4. Imeniongezea kujiamini zaidi.

NB: Namshukuru sana Mungu kwa kutupa sisi wanadamu uhuru wa kuchagua either "raha ya muda mfupi" au "raha ya milele" ili mwisho wa yote kila mtu awajibike kwa maamuzi yake.

Mbarikiwe sana!
Ila katika mtihai mkubwa tulio pewa sisi Wanaume ni mtihani wa Wanawake. Ila njia nzuri kabisa ambayo mimi niliitumia miaka hiyo nafundisha fundisha watoto wa watu kwenye majumba ya matajiri baada ya kuona mitihani hiyo inakuwa mingi, nikasitisha kabisa zoezi la kufundisha watoto wa kike, mpaka kesho nikasema nitawafundisha wanangu tu nyumbani nikiwa na muda.

Kingine unatakiwa ujitathmini.

Watoto wa kike halafu wadogi ujasiri sijui huwa wanaupata wapi aisee...
 
Dah hii mm ilinikuta sana.hahaa mimi kiukwel na robo zaif sana.
Na vile na kaumbo kadogo bas vyanafunz vya kike vilikuwa vinaniona kama mwanafunzi mwenzao.
Mpk vilikuwa vinanitongoza kabsa.
Ila dah, nili feli kias kiduuchu.

Lakin nakushauri uoe mapema.
Vinginevyo 30 itakuhusu.hahaaa
 
Umeonesha udhaifu mkubwa mno......huwa tunawastua kijoti,kisha unasepa usiweke turubai.....wakimaliza shule huwa hawatakupa salammu......mtoto WA mwenzio mkubwa mwenzio......usipopiga utapigiwa Tu,hakuna namna
Ukijijua kwamba una 'nguvu' sio lazima kuwatambia watu. Ile kuzijua tu 'nguvu' ulizo nazo yatosha. Sina sababu ya kuwa mtu wa kufunua kila sketi eti ili kuwaonesha walimwengu kwamba nina 'nguvu'. So,what?.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ila katika mtihai mkubwa tulio pewa sisi Wanaume ni mtihani wa Wanawake. Ila njia nzuri kabisa ambayo mimi niliitumia miaka hiyo nafundisha fundisha watoto wa watu kwenye majumba ya matajiri baada ya kuona mitihani hiyo inakuwa mingi, nikasitisha kabisa zoezi la kufundisha watoto wa kike, mpaka kesho nikasema nitawafundisha wanangu tu nyumbani nikiwa na muda.

Kingine unatakiwa ujitathmini.

Watoto wa kike halafu wadogi ujasiri sijui huwa wanaupata wapi aisee...
May be because of my personality plus my caring attitude!. Hii huwafanya wanakuwa huru kunishirikisha hata mambo yao ya siri hasa ya kiroho. Ingawa kwenye msafara wa Mamba na Kenge wamo. Uzuri kwa msaada wa Roho wa Mungu na maarifa ya Neno lake huwa nakuwa sharp kubagua nani Mamba nani Kenge.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Dah hii mm ilinikuta sana.hahaa mimi kiukwel na robo zaif sana.
Na vile na kaumbo kadogo bas vyanafunz vya kike vilikuwa vinaniona kama mwanafunzi mwenzao.
Mpk vilikuwa vinanitongoza kabsa.
Ila dah, nili feli kias kiduuchu.

Lakin nakushauri uoe mapema.
Vinginevyo 30 itakuhusu.hahaaa
Mkuu kuoa sio suluhisho la kudumu. Kuna ambao wameoa,ikitokea wamevurugwa au kuvurugana na wake zao wanaenda kujipooza kwa 'wanafunzi'. Mke atashangaa tu mume wake anarudi mpoleeee. Hata akitukanwa ye tuliii.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ila katika mtihai mkubwa tulio pewa sisi Wanaume ni mtihani wa Wanawake. Ila njia nzuri kabisa ambayo mimi niliitumia miaka hiyo nafundisha fundisha watoto wa watu kwenye majumba ya matajiri baada ya kuona mitihani hiyo inakuwa mingi, nikasitisha kabisa zoezi la kufundisha watoto wa kike, mpaka kesho nikasema nitawafundisha wanangu tu nyumbani nikiwa na muda.

Kingine unatakiwa ujitathmini.

Watoto wa kike halafu wadogi ujasiri sijui huwa wanaupata wapi aisee...
Uliamua kwa busara ili kuinusuru heshima yako. Hongera.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ulichokisema kinawezekana sana kutokea. Kwamba Mwalimu mwenyewe akawa ndiye kichocheo cha haya mambo. Kwa upande wangu nadhani nilikuwa naponzwa na ujana wangu,haiba yangu,na namna ninavyawajali hata kufikia mahali wengine wanakuwa huru kunishirikisha mambo yao ya siri sana hususani kiroho na kijamii.


Kifupi mimi ni aina ya Mwalimu ambaye ninaamini sana kwenye kumjengea mwanafunzi uhuru wa kueleza mawazo yake ili kuchochea ubunifu katika fikra zake. Na kupitia hili huwa nagundua mambo adimu waliyo nayo kwenye fikra zao.

Ingawa pia hujitokeza aina ya wanafunzi walionifanya niandike huu uzi. Wanafunzi wanaotake advantage ya personality na treatment yangu kwao kwa kuniletea agenda zao nyeusi. Wapo ambao walikuwa wanapiga hesabu za kuja kuolewa nami kabisa.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Ok,,hapo sasa nimekuelewq boss,,
 
Back
Top Bottom