Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Hongera kwa aliyewahi fundisha atakuelewa. Mi sio mwalimu ila nilipiga temple baada ya kumaliza form six. Majaribu yapo sana ila nami nilijiwekea nadhiri kama wewe kuwa sintatembea na wanafunzi. Inakupa na kukulindia sana heshima
 
Tukiacha utani ivi vitoto vya saiv ni wakubwa wenzetu jamani,kuna kisichana kilacha shule kinaenda keshea madudu uko nje, nikasema ngoja nikikamate nikifanyie intervuew lahaulah!!
 
Tukiacha utani ivi vitoto vya saiv ni wakubwa wenzetu jamani,kuna kisichana kilacha shule kinaenda keshea madudu uko nje, nikasema ngoja nikikamate nikifanyie intervuew lahaulah!!
Ikaweje?
 
Tatizo ya hiv vitoto ukila kamoja tu umeisha haribu kila kitu, kataenda kusimlia wenzake na wenzake nao watataka tu uwale.
Yan sijui huwa vinaoneana wivu
Na ndio maana sijawa mwalimu

Maana baada ya ku graduate nilikuwa mlinzi shule ya wasichana Kilimanjaro

Nilikula kuanzia matron wao ambaye alikuwa ni sister hadi wanafunzi wenyewe

Mungu anisamehe
 
Umeonesha udhaifu mkubwa mno......huwa tunawastua kijoti,kisha unasepa usiweke turubai.....wakimaliza shule huwa hawatakupa salammu......mtoto WA mwenzio mkubwa mwenzio......usipopiga utapigiwa Tu,hakuna namna
Ni kweli kabisa mkuu na vile maslahi yao duni na CWT wanawanyonya sana


Hayo ndiyo yanakuwa kama marupurupu yao
 
mkuu endelea kuomba sana mungu akuepushe la sivyo ukishaanza kuwajua ladha yao baada ya kuoa itakuwa kanyaga twende kila anayejilengesha unafyeka maan naona kama unaruka stage ya ukuaji wa mwili wako
 
Swali zuri. Wapo waliokuwa wanatumwa na utawala wa shule kama sehemu yao ya kunidodosa. Wapo waliokuwa wanatumwa na watesi wangu. Source ni watumwaji wenyewe walikuwa wananifungukia baadae agenda hizo za siri.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Umempokea Yesu kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako? Hai wanaowatuma hao mabinti hakika ni ma agent wa shetani.
 
mkuu endelea kuomba sana mungu akuepushe la sivyo ukishaanza kuwajua ladha yao baada ya kuoa itakuwa kanyaga twende kila anayejilengesha unafyeka maan naona kama unaruka stage ya ukuaji wa mwili wako
Ni kweli kuna mambo ni heri mtu usiyaguse hata kwa majaribio. Watu hawaogopi cha miaka 30 wala nini. Steji ya ukuaji itaangukia kwa nitakayemuoa.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Salaam wana JF,

Mimi ni mwanaume ambaye ninawiwa kutoka moyoni kujishughulisha na "Lishe ya ubongo" yaani Elimu. Ndoto zangu za maisha zimeegemea kwenye Elimu zaidi...
Nakupongeza sana sana maana hayo nimepitia mengi sana hata mimi sisi tunaodili na wfunzi tunapata majaribu mazito kama hayo lkn ukishinda ninraha sana mimi huwa hata sina hela silali njaa naletewa vyakula na wazazi wa watoto mara nyingi sana mzazi.

mmoja wa kiume alidiriki kusema wewe ni mwamba yani hujamtongoza mwanangu mzuri hv ukiwa na shida yoyote nione wengine wakataka hata niwaoe binti zao.

kwa kuwa walijua mm ni mwaminifu lkn sikuwahi kuwatamani hawa mabinti nimewalinda kama wanangu au dada zangu leo naheshima zangu hata kwa wazee hawwna wasiwasi kbsa lkn si rahisi ni kaazi sana bila Yesu aisee huwez kbsa...
 
Nakupongeza sana sana maana hayo nimepitia mengi sana hata mimi sisi tunaodili na wfunzi tunapata majaribu mazito kama hayo lkn ukishinda ninraha sana mimi huwa hata sina hela silali njaa naletewa vyakula na wazazi wa watoto mara nyingi sana mzazi.mmoja wa kiume alidiriki kusema wewe ni mwamba yani hujamtongoza mwanangu mzuri hv ukiwa na shida yoyote nione wengine wakataka hata niwaoe binti zao.kwa kuwa walijua mm ni mwaminifu lkn sikuwahi kuwatamani hawa mabinti nimewalinda kama wanangu au dada zangu leo naheshima zangu hata kwa wazee hawwna wasiwasi kbsa lkn si rahisi ni kaazi sana bila Yesu aisee huwez kbsa...
Safi sana. Umeamua kuchagua 'raha ya milele'. Hongera pia

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom