PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
Kiukweli kupokewa zawadi, vitu vya thamani, mshahara mkubwa, faida kubwa na most of all great attention and love..toka kwa watu ni kuzuri asikuambie mtu! Dunia imeshuhudia baadhi ya watu ambao wamefanikiwa kupata vyote hivyo kwa wingi sana...ila cha ajabu wengi kati yao wameonekana kutokuwa na furaha halisi ndani yao kiasi cha wengine kujaribu kujiua...ITS BECAUSE WE ARE SEEKING HAPPINESS IN WRONG PLACES. Kiukweli Mungu ameweka furaha kwenye hayo mambo lakini furaha kubwa kabisa kaiweka kwenye kutoa (It is more blessed to give than to receive acts 20:35)...watu wengi wanaojitoa kusaidia wengine utawaona walivyo na maisha mazuri!(not giving what you don't need although that is also good)..hebu msaidie mtu kitu ambacho kitakucost kiukweli kisha uone jinsi utakavyojisikia..have you ever fed a realy hungry kid with your own lunch money and sit back to let that warm feeling hit you... Nakuambia ukitoka hapo utajua jinsi ya kutunza mahusiano yako na spouse wako, jirani yako ana ndugu yako au yeyote mwingine(ambayo ili kuwa na uwezo huo inabidi uwe lifetime member wa jamii forums na usome vitabu 10 vya mahusiano)...Happy blue Monday(so they call it-though its never bluer than any other day)....