thamaki huyu

ikitururu

Member
Sep 19, 2010
8
0
kwa wanaojua kumla samaki, ili ujue bado ni mzima huwa unaanzia kichwani. nionavyo mimi samaki huyu ameoza kuanzia kichwa hivyo hafai kuliwa.......ila kusaidia wadudu hawa wasiendelee kuleta harufu, nijambo jema kuondoa baadhi ya viwiliwili kama njia ya awali, tuchemshe na baadae tumkaushe sehemu zitakazobaki kisha tumhifadhi darini au mtungini angalau kwa muongo mmoja......atakuwa amejifunza


Ni mtazamo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom